Ayanda85
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 629
- 567
Gadna bonge la gentleman..pamoja na mabaya yake kuwa exposed na madam ndi ndi ndi ye hajataka kulipa ubaya kwa ubaya kwa kumu expose madam!!! Siamini kwamba Judith hana makosa ila ndo hivyo jamaa kachukua CD zake anasikilizia kwenye "garrrri" alodhaminiwa na baba Juju na Shubi