Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

huyu mwanamke kweli kafulia,anatafuta kick kupitia gadna,naipa hii nyimbo miezi miwili tu kwishnei
 
Dua la kuku #team clouds polen


narudia tena mkuu,hii nyimbo hakika itaishia kujadiliwa humu humu tu,huyu mwanamke hana kitu,zama zake zishakwisha ndio maana anatafuta kick kupitia legendary gadna,huyu bibi akakojoe akalale tu na kulialia kwake
 
narudia tena mkuu,hii nyimbo hakika itaishia kujadiliwa humu humu tu,huyu mwanamke hana kitu,zama zake zishakwisha ndio maana anatafuta kick kupitia legendary gadna,huyu bibi akakojoe akalale tu na kulialia kwake
legendary nani?? kwi kwi kwi kweli wewe umeishiwa mkuu, uliza gadner katambulika kwa ajil ya nani mbuzi wewe, acha shobo dund utapigwa mashine
 
Huyu jide ana vihoja sana, yani miaka yote hiyo kwenye nahusiano pamoja nakuchezea dushe haswa watu wanaachiwa dvd.... Gadna kapotezewa sana muda, kuna kipindi Gadna alipata shavu sijuwi ilikuwa ni Nairobi kwa deal la utangazaji teba kwa pesa nzuri tu lakini jide alimkataza gadna asiende kwa vijisababu abaki karibu na familia, na gadna akaweka mahaba mbele kuitikua wito wa jide sahivi things fall apart Ndi ndi ndi
 
narudia tena mkuu,hii nyimbo hakika itaishia kujadiliwa humu humu tu,huyu mwanamke hana kitu,zama zake zishakwisha ndio maana anatafuta kick kupitia legendary gadna,huyu bibi akakojoe akalale tu na kulialia kwake
kumbuka mmeambulia dvd tu sasa sijui yeye na nyie nani hana kitu! Jide pa kukojolea anapo! Si kabaki na mali zake sasa nyie/gadna atakojoa kwenye zile box ama choo cha manispaa.??....!!!!
 
Jide alipora MUME wa mtu, huyo mume kuendelea na tabia yake ya usaliti imemuuma yeye, hakika huyu ni binadamu wa ajabu sana bora angetoa visingizio vyote hili la kuchepuka aache maana kamfundisha yeye.
 
narudia tena mkuu,hii nyimbo hakika itaishia kujadiliwa humu humu tu,huyu mwanamke hana kitu,zama zake zishakwisha ndio maana anatafuta kick kupitia legendary gadna,huyu bibi akakojoe akalale tu na kulialia kwake
Gardener katika ubora wako Ndi ndi ndi mpaka mtaama mji
 
Jide style yake kila anapotoa albam au nyimbo Ni kutafuta huruma kwa wananchi. Kila Mara anawachezea watu akili kwamba yeye Ni victim. Style yake Ni kuwapaka wenzie matope ili apate kiki lakini wenye akili tumeshtuka. Mwanzo kina Joe Kusaga na Ruge, sasa hivi X-husband, sasa albam nyingine sijui atakuwa nani? Muogopeni huyu mama kama ukoma, hata akikutongoza Kimbia mpaka mguu uvunjike.
 
Huyu dada haishagi kinyongo maisha yake ki mziki ni kulalamika tu kutwa ye analo la rohoni,we angalia mambo anayoimba mfano:ile truck siku hazigandi,na hii ndo ndo ndo.. analalamika tu kama unampenda gadner mrudiane bhana ndi ndi ndi ndi ndi...A!
 
Kwa mwanaume anayependa kitonga tena mtu mzima lazima video imuume! Haswa nasikitika pale itakapokuwa inapigwa mnakimbilia kuzima tv .....ze ndii ndii # team gadna #team DVD polen?
Wewe ney sio hivyo, sometime turudini kwenye ubinadamu tuache ushabiki,

Huyu jide ana vihoja sana, yani miaka yote hiyo kwenye nahusiano pamoja nakuchezea dushe haswa watu wanaachiwa dvd.... Gadna kapotezewa sana muda, kuna kipindi Gadna alipata shavu sijuwi ilikuwa ni Nairobi kwa deal la utangazaji teba kwa pesa nzuri tu lakini jide alimkataza gadna asiende kwa vijisababu abaki karibu na familia, na gadna akaweka mahaba mbele kuitikua wito wa jide sahivi things fall apart Ndi ndi ndi
 
Nisaindieni Ndi ndi ndi maana yake nini maana katika wimbo nimependa sauti maana yake halisi zero
Ndii-mimi ni kitu
Toli-wewe si chochote
Ndi ndi ndi ni swaga ya nyimbo ila ndiii ya mwisho ndio yenye maana
 
narudia tena mkuu,hii nyimbo hakika itaishia kujadiliwa humu humu tu,huyu mwanamke hana kitu,zama zake zishakwisha ndio maana anatafuta kick kupitia legendary gadna,huyu bibi akakojoe akalale tu na kulialia kwake
We ulitakaje idumu muda gani kwan? It's normal nyimbo zinapita! Km Sera ya kuachiana vijiti anaihubiri ruge nae awape kijiti E FM! Au mkuki kwa nguruwe! Kwa taarifa yako hii nyimbo itamshusha gadna na jahazi lake! Mmesumbua watu xana, #huu mchezo hautaki hasira#
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom