steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 11,344
- 13,367
Gardener katika ubora wako![]()
![]()
Ndi ndi ndi mpaka mtaama mji
nyie jifanyeni mnampa kichwa huyo ajuza wenu kumbe mnampoteza
Gardener katika ubora wako![]()
![]()
Ndi ndi ndi mpaka mtaama mji
![]()
![]()
kumbuka mmeambulia dvd tu sasa sijui yeye na nyie nani hana kitu! Jide pa kukojolea anapo! Si kabaki na mali zake sasa nyie/gadna atakojoa kwenye zile box ama choo cha manispaa.??....!!!!
Huu mchezo hauitaji HASIRA.............legendary nani?? kwi kwi kwi kweli wewe umeishiwa mkuu, uliza gadner katambulika kwa ajil ya nani mbuzi wewe, acha shobo dund utapigwa mashine
Acha chuki binafsi looh... Team Ruge utawajua tuuuu
Kwa Gadner, life goes on, no matter watu watasema nini.......... Yupo zake Clouds FmWimbo mzuri na video tamu sana,hata alivyokuwa anahojiwa na kujibu alikuwa yuko makini sana na anajua kujieleza. Hiyo ya kumpiga "dongo" Gadna lipo wazi kabisa kwenye hiyo video yake. Gadna hayupo ziro kiasi cha kujuta sana, ana maisha yake si mabaya japo muda alioutumia kwa Jide ndio atakao kuwa anaujutia na kuna vitu kachuma nae lakini Gadna kapotezea tu. Hii inaonyesha kuwa kumbe bado Jide ana kilio cha kuachana. Inaonyesha Gadna alijitolea jumla kwa Jide ( kumbuka alikuwa meneja wake sijui walikuwa wanafanyaje kwenye malipo) wakati Jide yeye alikuwa anamuangalia kwenye saiti mira tu.
Kwa sababu kapondwa kidume.........mademu wengi wameipenda hii video, sijaelewa wameipenda coz ni kali au sababu kuna kidume kapondwa
mademu wengi wameipenda hii video, sijaelewa wameipenda coz ni kali au sababu kuna kidume kapondwa
Kipenda roho mkuu... Kama kakugusa bora uvumilie maana ndo kwaanza alfajiri ya the ndindindi... Au sikiliza mawingu mwanzo mwisho huko hauta msikia....teh teh teh,hivi huyo ajuza kawalipa sh.ngapi?
kwani lini gadna alikuwa juu,yeye ni mtu normal na watu tulikuwa tunamkubali kabla hajahongwa na huyo kibibi ili awe naye,huyo kibibi wenu anajua fika kabisa bila kumuua gadna hawezi kupata attention kwa watu,siku hz kuna wakali kama kina rubi,sio huyo ajuza
Kipenda roho mkuu... Kama kakugusa bora uvumilie maana ndo kwaanza alfajiri ya the ndindindi... Au sikiliza mawingu mwanzo mwisho huko hauta msikia....
Waaat a come back? Jide yuko sawa sana.
Uajuza mnaujua wewe na wenzako tu mkuu.
Jide sio upepo wa msimu mazee.
Hahahaa alafu mkuu utani wako sio mzuri ujue!
Yaani Rubi nae ndo unamfananishia kwa Jaydee??
Hata Vanessa tu bado saaaana haijalishi huyo Rubi anakubamba kiasi!
Utaonekana mwanga bure... Bora ukae kimya tu.... Kila unapo hesabu sekunde moja ndo umri unavyo zidi sogea... Na ashukuriwe Mungu kama Jide anapata bahati ya kuitwa ajuza... Huku mitaani kila siku tunawazika vijana. Maisha anayatafuta yeye wewe umpangie!!!teh teh teh teh,hc huyo ajuza anajua kuimba sana eeeh?????,mi nikimweka na vanessa tu namwona ni kama ardhi na mbingu vile,kachoka huyo,ale pesa zake tu zikiisha akajiuze kwa mababu wa kitasha kule mbefele
teh teh teh teh,hc huyo ajuza anajua kuimba sana eeeh?????,mi nikimweka na vanessa tu namwona ni kama ardhi na mbingu vile,kachoka huyo,ale pesa zake tu zikiisha akajiuze kwa mababu wa kitasha kule mbefele
hihihihiiiiiiiii,ujue we mkuu una utani sana,yaani huyo ajuza hakuna hata mmojawapo kati ya uliowataja anayekaribiana naye kiuwezo,kibibi kimechoka hicho kinalazimisha tu game,halafu nahisi kama wewe ndo huyo ajuza vile,kashakuwa wa mchangani huyo,vanessa ni wa kimataifa
I like this... Gadner ni MWANAUME.... A REAL MAN.... na hakuna kitu kibaya kama mbaya wako anakuwinda..anakuletea fyokofyoko alafu wampotezea... anajiona choo.. yanni GADNER 3 JIDE 0.Wimbo mzuri na video tamu sana,hata alivyokuwa anahojiwa na kujibu alikuwa yuko makini sana na anajua kujieleza. Hiyo ya kumpiga "dongo" Gadna lipo wazi kabisa kwenye hiyo video yake. Gadna hayupo ziro kiasi cha kujuta sana, ana maisha yake si mabaya japo muda alioutumia kwa Jide ndio atakao kuwa anaujutia na kuna vitu kachuma nae lakini Gadna kapotezea tu. Hii inaonyesha kuwa kumbe bado Jide ana kilio cha kuachana. Inaonyesha Gadna alijitolea jumla kwa Jide ( kumbuka alikuwa meneja wake sijui walikuwa wanafanyaje kwenye malipo) wakati Jide yeye alikuwa anamuangalia kwenye saiti mira tu.