Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Kwa chuki, kwa moyo....utaipendaa utaipendaa utaipendaa!!!

Hivi yule mama wa mafikizolo na Jaydee wanatofauti eee???!!
Inshort vibibi ndio vyenyewe sasa tena inabidi uvihemu we mjukuu usije ukakosa kikoi cha kumzawadia mwali wako bure! Lol


teh teh teh teh,mara mama mafikizolo mara nn sijui,mnahanyahanya tu humu
 
Mwanzoni nilihisi labda kiukweli hujaipenda tu coz kila mtu na mapenzi yake na mtazamo wake. But kwa hii comment mi naona we anti- jide una hate tu heheheee endelea kusubiri afulie ndo usherehekee sijui mwaka gani!!

For your info watu kama nyie na maneno yenu ni kama kinyesi cha ng'ombe shambani (natanguliza samahani kama huu mfano utakukera). Kinamwagwa shambani ili mazao yastawi vizuri!
As hata ua halihitaji kumwagiliwa maziwa ili likuwe vizuri.

Like yule jamaa wa mawingu efemee alivyomfungia nyimbo zake mawinguni alidhani anamkomoa jide kumbe ndo kwaaanza anampa hasira ya nini afanye ili atoboze zaidi....chezea akili kubwa!
Hilo linamhusu sana! Jamaa kabeba dvd yake ila movie bado inasomeka kama kawa. Utaipenda tu JaydeeNation


teh teh teh tehhhhh,jideeee,we sasa hv unafaa uimbe taarabu,bongo fleva ishakushinda,waachie watoto wakare na wabichi kama kina vanessa
 
Utaonekana mwanga bure... Bora ukae kimya tu.... Kila unapo hesabu sekunde moja ndo umri unavyo zidi sogea... Na ashukuriwe Mungu kama Jide anapata bahati ya kuitwa ajuza... Huku mitaani kila siku tunawazika vijana. Maisha anayatafuta yeye wewe umpangie!!!


ajuza arudi kwao musoma akalee wajukuu,mziki ushamshinda na ndio maana anatafuta kick kupitia x hubby wake,akubali tu kaachika ingawa kibibi mwenyewe anajiboost eti yeye ndo kaacha,awadanganye wajinga wenzie kama nyie,sasa hv anatongoza viserengeti boy tu,kuisha kubaya sana
 
ajuza arudi kwao musoma akalee wajukuu,mziki ushamshinda na ndio maana anatafuta kick kupitia x hubby wake,akubali tu kaachika ingawa kibibi mwenyewe anajiboost eti yeye ndo kaacha,awadanganye wajinga wenzie kama nyie,sasa hv anatongoza viserengeti boy tu,kuisha kubaya sana
Siku ya jana ilikua ya furaha sana kwangu😀😀😀😀😀 the ndindindi...... Sema usemavyo wapenzi wa jide sisi waaaalaaaa... Control masikio yako mana ndindindi itakufanya chizi
 
I like this... Gadner ni MWANAUME.... A REAL MAN.... na hakuna kitu kibaya kama mbaya wako anakuwinda..anakuletea fyokofyoko alafu wampotezea... anajiona choo.. yanni GADNER 3 JIDE 0.
Mbona alivyo timuliwa kaambulia box la CD tu!? Wanaume ndo wanakuaga ivyo?!?? Jide atabaki kuwa jide... Baaasi
 
Siku ya jana ilikua ya furaha sana kwangu😀😀😀😀😀 the ndindindi...... Sema usemavyo wapenzi wa jide sisi waaaalaaaa... Control masikio yako mana ndindindi itakufanya chizi

mi naona ndundundu tu hapa
 
Judy ni mwanamke flani mwenye tabia ambazo hakuna gentleman ataweza kuvumilia,ataishia kuoata wanaume marioo siku zotee km hatobadilika..kwanza alimuiba Gadna kwa mwanamke mwenzie akategemea anaweza kumfanya awe wake milele kwa kumpa pesa na mali hatimae ikawa kinyume ,kwa ufupi ni mwanamke mkalii,mbabe ana wivu uliopitiliza ana maukorofi ya kikurya ya huko kwao rorya na mbaya zaidi nu mtu wa kutarajia makubwa mnoo kutoka kwa mwenzi wake huku yy binafsi akisahau kasoro alizonazo,yani ana tabia km za Queen Nzinga na ndiyo maana anaumizwa na mapenzi ,anasahau hata awe na pesa Kiasi gani siku zote mke lazima awe mwanamke sio tu kwa maumbile lakini pia kwa maneno na matendo na tabia pia...asipobadilika ataishia kulia lia kny nyimbo zake kila siku huku akitaka kuaminisha jamii kuwa yy si mkosaji....na atalia mpk utimilifu wa dahari,loooh mwanamke ana kisasi utasema mfannyabiashara wa madin
 
Judy ni mwanamke flani mwenye tabia ambazo hakuna gentleman ataweza kuvumilia,ataishia kuoata wanaume marioo siku zotee km hatobadilika..kwanza alimuiba Gadna kwa mwanamke mwenzie akategemea anaweza kumfanya awe wake milele kwa kumpa pesa na mali hatimae ikawa kinyume ,kwa ufupi ni mwanamke mkalii,mbabe ana wivu uliopitiliza ana maukorofi ya kikurya ya huko kwao rorya na mbaya zaidi nu mtu wa kutarajia makubwa mnoo kutoka kwa mwenzi wake huku yy binafsi akisahau kasoro alizonazo,yani ana tabia km za Queen Nzinga na ndiyo maana anaumizwa na mapenzi ,anasahau hata awe na pesa Kiasi gani siku zote mke lazima awe mwanamke sio tu kwa maumbile lakini pia kwa maneno na matendo na tabia pia...asipobadilika ataishia kulia lia kny nyimbo zake kila siku huku akitaka kuaminisha jamii kuwa yy si mkosaji....na atalia mpk utimilifu wa dahari,loooh mwanamke ana kisasi utasema mfannyabiashara wa madin
I like this too.
 
We ulitakaje idumu muda gani kwan? It's normal nyimbo zinapita! Km Sera ya kuachiana vijiti anaihubiri ruge nae awape kijiti E FM! Au mkuki kwa nguruwe! Kwa taarifa yako hii nyimbo itamshusha gadna na jahazi lake! Mmesumbua watu xana, #huu mchezo hautaki hasira#
True imemuharibu gadna saikojikal! Na video ndio mbaya zaid mana jide aliwahi sema yeye akipiga shoo gadna alikuw anawashika wamawake makalio na kwenye video kaonyesha pale alipokuw club....hii n mbaya sana kwa gadna sna hasa akiwa peke yake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom