Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Jide style yake kila anapotoa albam au nyimbo Ni kutafuta huruma kwa wananchi. Kila Mara anawachezea watu akili kwamba yeye Ni victim. Style yake Ni kuwapaka wenzie matope ili apate kiki lakini wenye akili tumeshtuka. Mwanzo kina Joe Kusaga na Ruge, sasa hivi X-husband, sasa albam nyingine sijui atakuwa nani? Muogopeni huyu mama kama ukoma, hata akikutongoza Kimbia mpaka mguu uvunjike.
Kumbe we Gardner ndo unatumia hii ID eee, ntakuwa nakufatilia, Yan mtu uvunjike kiss unamkimbia mtu
 
Jide style yake kila anapotoa albam au nyimbo Ni kutafuta huruma kwa wananchi. Kila Mara anawachezea watu akili kwamba yeye Ni victim. Style yake Ni kuwapaka wenzie matope ili apate kiki lakini wenye akili tumeshtuka. Mwanzo kina Joe Kusaga na Ruge, sasa hivi X-husband, sasa albam nyingine sijui atakuwa nani? Muogopeni huyu mama kama ukoma, hata akikutongoza Kimbia mpaka mguu uvunjike.
Acha unafiki wewe inamaana kabla ya bifu hakuwa na nyimbo Kali!?na collabo vp! Huyo ruge kajaribu kushusha watu wengi sana kupitia media yake na sasa hv wote wanaungana hlf ukweli wasanii wengi hawampendi sema ndo hamna namna maana hawana akili na shule!
 
Jide alipora MUME wa mtu, huyo mume kuendelea na tabia yake ya usaliti imemuuma yeye, hakika huyu ni binadamu wa ajabu sana bora angetoa visingizio vyote hili la kuchepuka aache maana kamfundisha yeye.
mbona mke aliyeporwa mume ajajitokeza asha uccm
 
hii video youtube sangap maana dada jide siion account yake ya youtube
 
mbona mke aliyeporwa mume ajajitokeza asha uccm
We utakuwa mgeni mjini, ajitokeze mara ngapi? unajua kuwa Gadna alienda kumuiba mtoto mwanza na mwanamke akamzuia air port mpaka suluhu kupatikana ndio gadna akaja na mtoto Dar? na baada ya Jide kuanza kumfunisha mtoto kuimba mziki mama wa mtoto akakataa ikabidi mtoto akalelewe na bibi yake mzaa baba Tanga, na amepata malezi bora sasa hivi ni mwana chuo? Wewe utakuwa mchepuko si bure.
 
I don't understand whats good about this song kwa kweli. Sifa zinazomwagwa na mie navyouona mmh, acha nipite kushoto.
 
Jide alipora MUME wa mtu, huyo mume kuendelea na tabia yake ya usaliti imemuuma yeye, hakika huyu ni binadamu wa ajabu sana bora angetoa visingizio vyote hili la kuchepuka aache maana kamfundisha yeye.

Mungu asingeacha chozi la aliyesalitiwa lipite bure, siku zote wasaliti hawadumu. Yani always ALWAYS wanaosaliti wenza wao waliokuwa nao muda mrefu wanaumbukaga vibaya mnoooo! Tena hawa wamejitahidi kukaa muda mrefu mbona. Kitu huwa hakizidi miaka miwili chaliii!
 
Mungu asingeacha chozi la aliyesalitiwa lipite bure, siku zote wasaliti hawadumu. Yani always ALWAYS wanaosaliti wenza wao waliokuwa nao muda mrefu wanaumbukaga vibaya mnoooo! Tena hawa wamejitahidi kukaa muda mrefu mbona. Kitu huwa hakizidi miaka miwili chaliii!
Umejuaje Boss??
 
Nampenda huyu Dada mpaka basi

Acha kabisa. Jide yuko juu bhana!
Yale mavazi jee??!! Duuuh tukubali tu kuna watu kuja kushuka kimuziki ni mpaka waamue wenyewe mfano Jide alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo.

Waliokuwa wanamdis kwamba kafulia siwapatii picha walivyobaki midomo wazi!
 
Acha kabisa. Jide yuko juu bhana!
Yale mavazi jee??!! Duuuh tukubali tu kuna watu kuja kushuka kimuziki ni mpaka waamue wenyewe mfano Jide alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo.

Waliokuwa wanamdis kwamba kafulia siwapatii picha walivyobaki midomo wazi!
Huyu Dada sio wa kushuka Leo wala keshooo team DVD Kazi wanayooo .. Huumchezohauhitajihasira teamkuziogaaa
 
Kwa mwanaume anayependa kitonga tena mtu mzima lazima video imuume! Haswa nasikitika pale itakapokuwa inapigwa mnakimbilia kuzima tv .....ze ndii ndii # team gadna #team DVD polen?
ww na mumeo nani ana miliki mali?,if mkiachana utakubali kuondoka na nguo zako ulizokuja nazo?,au utataka mgawanyo wa vile vitu mlivyochuma wote?,
 
Mungu asingeacha chozi la aliyesalitiwa lipite bure, siku zote wasaliti hawadumu. Yani always ALWAYS wanaosaliti wenza wao waliokuwa nao muda mrefu wanaumbukaga vibaya mnoooo! Tena hawa wamejitahidi kukaa muda mrefu mbona. Kitu huwa hakizidi miaka miwili chaliii!
Kweli kabisa, usitumie uwezo wako kuwaumiza wengine, Jide alifanikiwa kumteka Gadna kwa pesa zake, leo analia kusalitiwa? Kweli kusahau ni kwepesi sana.
 
Wimbo mzuri na video tamu sana,hata alivyokuwa anahojiwa na kujibu alikuwa yuko makini sana na anajua kujieleza. Hiyo ya kumpiga "dongo" Gadna lipo wazi kabisa kwenye hiyo video yake. Gadna hayupo ziro kiasi cha kujuta sana, ana maisha yake si mabaya japo muda alioutumia kwa Jide ndio atakao kuwa anaujutia na kuna vitu kachuma nae lakini Gadna kapotezea tu. Hii inaonyesha kuwa kumbe bado Jide ana kilio cha kuachana. Inaonyesha Gadna alijitolea jumla kwa Jide ( kumbuka alikuwa meneja wake sijui walikuwa wanafanyaje kwenye malipo) wakati Jide yeye alikuwa anamuangalia kwenye saiti mira tu.
 
We utakuwa mgeni mjini, ajitokeze mara ngapi? unajua kuwa Gadna alienda kumuiba mtoto mwanza na mwanamke akamzuia air port mpaka suluhu kupatikana ndio gadna akaja na mtoto Dar? na baada ya Jide kuanza kumfunisha mtoto kuimba mziki mama wa mtoto akakataa ikabidi mtoto akalelewe na bibi yake mzaa baba Tanga, na amepata malezi bora sasa hivi ni mwana chuo? Wewe utakuwa mchepuko si bure.
wewe utakuwa ni mbulula kwanza tambua gadna syo mtu watanga na wazaziwake hawapo tanga wako mkoani Kilimanjaro wilaya ya rombo kata ya tarakea makombero acha wizi
 
wewe utakuwa ni mbulula kwanza tambua gadna syo mtu watanga na wazaziwake hawapo tanga wako mkoani Kilimanjaro wilaya ya rombo kata ya tarakea makombero acha wizi
Acha kutukana kama huna hoja, kuwa mchaga haimaanishi lazima uishi uchagani fanya tafiti kabla kujajibu hoja, kama mie ni mbururla kwa maono yako na kwa uelewa wako, ninalipokea vizuri tu hilo.
 
Kumbe we Gardner ndo unatumia hii ID eee, ntakuwa nakufatilia, Yan mtu uvunjike kiss unamkimbia mtu
Hahahahahah mkuu umenichekesha hadi nikatoa machozi, kumbe yy ndo Gardner teheheheh
 
Acha kutukana kama huna hoja, kuwa mchaga haimaanishi lazima uishi uchagani fanya tafiti kabla kujajibu hoja, kama mie ni mbururla kwa maono yako na kwa uelewa wako, ninalipokea vizuri tu hilo.
acha wizi
 
Mm pia nmeona clip, kiukweli nahisi itakuwa video moja nzuri sana, jamaa anabebelea maboksi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom