intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 306
- 406
Mbona mimi inagoma kucheza naambia copyright owner ame block any other link please
Aisee....nilisema wimbo hauvuki boda huu....Mbona mimi inagoma kucheza naambia copyright owner ame block any other link please
tulishaupakua mdaa... haisaidiiMbona mimi inagoma kucheza naambia copyright owner ame block any other link please
Jide Kiboko kabisa...kumahaja ya petition kuishinikiza mawingu radioo kucheza nyimbo zote bila ubaguzi[/
Alikataa .wenyewe kuwa wasicheze nyimbo zake na akifa wasiende kumzik,she's so arrogant,Hapendi Suluhu,hii mbingu tunayoitafuta sijui ni mbingu gani
chizi huwa haponiAisee....nilisema wimbo hauvuki boda huu....
Mkuu kumbe unazijua nyimbo zinazodumu wewe huyu mwanadada namkubali sana huwa anauchuna akitoka na kitu kinakuwa cha ukweli sana sio kama wale wanaotupigia makelele tuThe crown is yours mama.......
Jide haimbi wimbo ambao utausahau kirahisi maana yakikukuta lazma utautafuta NA ndio maana wimbo wake wa machozi hauifi kwa kuwa ukipigwa NI kama uliitolewa jana...
Wimbo NI mzuri sana huu kwa sauti, ala na ujumbe wake..
Nilikuwa nimeshachoka na nyimbo za wasanii wa sasa.mapenzi tuuu kama tunapeana lecture darasani na swaga zao za Nigeria..hii ni ladha ya bongo flavour..AHSANTE JIDE
SHE IS A SOUL MATE SONGTRESS
Kwani sisi tumeusikia huko kwa hao wachawi?Jide ni balaa usipopigwa kwa radio utapigwa kwa TVUko powa waipe promo tu, gadna akikaza pale e FM huku ruge km kawaida yake inaweza isifike mbali
Nguvu kubwa kivipi Mkuu?usije ukalinganisha na kazi yako ya kubeba zege Mkuu?kule ni maufundi na kipaji mkuuNaona Jide anatumia nguvu kubwa sana kurudi. Mbona tu kama angetoa singo ya kueleweka watu wangetambua tu. Oooh naamka tena, nani alisema amelala?
Ujuaji ukizidi mwisho huwa fala....................Nyimbo haina kichwa wala mguu...eti chizi hua haponi ..sijui mirembe nakushusha....!!?!?!?!?!....ndo umeamka tena haaaa haaaa haaa kazi kweli kweli![]()
![]()
Umejielewa sasa ... hutakuja pona kamwe tabia zako za kishoga....chizi huwa haponi
Uweke hapa sasatulishaupakua mdaa... haisaidii
Niliwahi kuweka post hapa kwamba Jaydee ana tabia ya kuwatungia nyimbo watu anaogombana nao nikatoa na mifano hai lakini #Team jide hasa wale waliokuwa wanaenda kuliwazwa na bendi yake pale Zhong hua garden karibu na Morroco waliniandama mno...!
Sasa baada ya kimya kingi na misuko suko mingi katoka na wimbo wa ndii ndii ndiii humo ni full kulialia
Nyimbo = wingiNyimbo nzuri
Sio kanyimbo... sema kawimbo.Kanyimbo kamsweet bana, tatizo ruge akibana na marioo akikaza efm... ndio tutakasahau hivoo...