Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Mimi huwa natofautiana sana tena sana kwenye mambo mengi na Jide lakini linapokuja swala la kuimba hapo ndipo hunishinda kabisa!

Sasa kwenye hii Tobiii ndi ndi ndi...kaniacha hoi kabisa nimemkubali hakika nimejikuta nausikiliza kila muda!

Hongera Jide..

Umefurahia mwanaume mwenzio Gardner anavyopigwa madongo?
 
Yani im very disappointed in Jide. Mziki wa bongo flavor umefika mbali sana. Mipasho amuachie Neema ambae tulishamzoea.

Hakustahili fanya alichofanya. Ila ataelewa tu...hapa ndipo tunaponyooshana.
Ila naamini akiimba taarab atatoka tena. Mipasho anaijua sana.
 
Kwanza sijawahi kukununia,ever!
Ila huwa nakupuuza maana nalijua povu lako kama hivi tu tayari ushajaa upepo.

Bado tu unaendelea kunihisihisi?
Siku hizi nimeacha ile kazi ya reception hotelini uliyonipa?
Huyo amenunua hana lolote. Wewe huoni mpaka ameleta hiyo link ya jide akisema yeye ni team miba

Wala asikupe tabu just mpotezee tu
 
The good thing about jide ni kuwa she just does good music.....It doesnt matter what the nigerians and south africans want...She gives us good music... Sasa wale wabongo wanaosubiri approval toka nigeria na south africa ili wauone mziki mzuri wakae kimya tu and let us enjoy good music....Ndi Ndi Ndi.....This shit is fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
The good thing about jide ni kuwa she just does good music.....It doesnt matter what the nigerians and south africans want...She gives us good music... Sasa wale wabongo wanaosubiri approval toka nigeria na south africa ili wauone mziki mzuri wakae kimya tu and let us enjoy good music....Ndi Ndi Ndi.....This shit is fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
The ndi ndi ndi...khaaa huyu mwanamke ni mchawi asiee, yeye hana papara anaimba tu
 
Acha kiburi wewe kasichana.Siku zote mwananmke atabaki mwanamke tu,ndo maana una chuchumaa.Ulikuwa umeshafika mbali,lounge,band,majumba etc.Sasa hivi umerudi zero tena
 
ndi natori=mimi ni kitu, wewe sio kitu! bango kwa gadner!, then jide says... milembe nimekushusha, na geti limefungwa! naondoka ndi ndi ndi!
 
Kumbaff kweli, wenzake wanaweka vitu hewani na kuhamasisha tuvipakie yeye ana block!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom