Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Inanichomaje hadi nijinyonge kwa mfano, hayo ni mawazo yangu na si sheria wala biblia au msahafu ni juu yake/yako kuyaamini au kutokuyaamini. Hebu tuyaache hayo, vipi mimba feki imeishia wapi ??? ( mimba ya wema a.k.a bosi wako na wewe kama " wema replies" jina unalotumia Instagram, siamini kama utanuna kama ulivyoninunia na leo bahati mbaya ume quote )
Kwanza sijawahi kukununia,ever!
Ila huwa nakupuuza maana nalijua povu lako kama hivi tu tayari ushajaa upepo.

Bado tu unaendelea kunihisihisi?
Siku hizi nimeacha ile kazi ya reception hotelini uliyonipa?
 
Kwanza sijawahi kukununia,ever!
Ila huwa nakupuuza maana nalijua povu lako kama hivi tu tayari ushajaa upepo.

Bado tu unaendelea kunihisihisi?
Siku hizi nimeacha ile kazi ya reception hotelini uliyonipa?
Ufafanuzi hapo red,halafu hiyo ya povu ndio nilivyo maana nakuachaje kwa mfano??? wakati niko full salio na nipo ofisini kwangu mi na laptop yangu DELL LATITUDE E5410.
 
Komando yuleeee enzi zile nikiwa bwana mdogo ndio huyu sasa! Nina lisaa la pili nasikiliza huu wimbo na bado naendelea mpaka usiku mnene....... Nirecall mambo mbali mbali
 
Nyimbo nzuri,ila mwisho wake utaishia hapa kama bado ataendelea nao ( eti wewe ni msanii tena wabongo hii hii halafu unasema mimi ni timu fulani )Lady Jay Dee: Mimi ni Team Kiba
Angetaja timu yako ungekaa kimya. Tatizo liko wapi kua tim kiba... Kwanza Ndo wanaendana.... Nyimbo nzuri, zimetulia na mafundisho awatanui misuli waki imba
 
Mimi ni shabiki mkubwa wa Jide ila hii aimwachi salama. Watu wameitafsri kama dharau.
Utakua ww. Ivi amuishiwagi maneno nyie... Kila siku kuwaombea wenzenu mabaya tu. Ebu pumzisha akili zako kwa amani cse kama mpaka leo dunia aikutambui... Utabaki ivyo ivyo.... Mchawi wewe
 
Naona Jide anatumia nguvu kubwa sana kurudi. Mbona tu kama angetoa singo ya kueleweka watu wangetambua tu. Oooh naamka tena, nani alisema amelala?
Kama aukuelewa wewe wenzako ishaingia damuni. Acha wivu ..... Kama aumpendi sio lazima umsemee... Fanya yako
 
...kwan jamii forum umeisahau?
humu watu wanaongozwa na mahaba.
hata mie nimeusikia ni wa kawaida sana watoto lazima waendelee kumkalisha.
Mmmmmh!!!!! Maneno yako sio ukuta wa kumfanya asisonge mbele. We piga domo yy maisha yaleee. Rip wivu
 
Komando on duty. Hajawahi kuharibu kazi yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom