Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

swala la kutoa au kusaidiana ni la wote.
Binafsi mimi kumuomba hela au kitu mwanamke ni mwiko (labda ile kitu yetu ya burudani uloninyima wewe lol) , this is me as me, sio kwamba namzarau lakini naelewa kwamba ni sehemu ya menhood kuwa provider kwa mwanamke. Zawadi ni exceptional
 
Binafsi mimi kumuomba hela au kitu mwanamke ni mwiko (labda ile kitu yetu ya burudani uloninyima wewe lol) , this is me as me, sio kwamba namzarau lakini naelewa kwamba ni sehemu ya menhood kuwa provider kwa mwanamke. Zawadi ni exceptional

Ngoja wale feminists waje.
 
Nimekupata vizuri sana sweetheart na yep sredi ni nzuri sana kwa wadada lakini nilikuwa najaribu kuishibisha kile kilichokosekana tu kwamba kabla kuchunguza upande wa pili ni vyema first priority ikawa kujichunguza wenyewe.
Unaonaje apo?

kloro kuna wadada wengi nawaona wanatesa na mapenzi tena wengine wakiwa ni watu wangu wa karibu. Mdada kila siku yeye ndio mstari wa mbele kupiga simu, asipopiga mpenzi nae anamute.
Mdada yupo na mpenzi lakini hajui ndugu wa jamaa hata mmoja pamoja na jitihada zote anazofanya kulilinda na kuboresha penzi. Hivi hapo mdada utasema unapendwa kweli? Kuna rafiki yangu nae alikuwa na mwanaume lakini hapajui anapoishi. Miezi 6 ya mwanzo wamesumbuana sana hatimae mwanaume akampeleka anapoishi. Muda si mrefu akagundua kuna mwanamke huwa anaenda kupika, kupakua na sometimes kulala hapo hapo.
 
Hus,

Vitu vingi ulivyovitaja ni vya kweli ila inabidi wajukuu zangu muwe waangalifu...Kuna vitu vingine vina-apply kwa mtu ambaye keshapata dozi ya kutosha. Ukiviangalia kwa mtu anayefukuzia, basi utauvaa mkenge kwa sababu huwa wanatimiza karibia yote hayo ili walau watunukiwe mara moja!
 
Safi sana.
Binafsi mimi kumuomba hela au kitu mwanamke ni mwiko (labda ile kitu yetu ya burudani uloninyima wewe lol) , this is me as me, sio kwamba namzarau lakini naelewa kwamba ni sehemu ya menhood kuwa provider kwa mwanamke. Zawadi ni exceptional[/QUOTE
 
Binafsi mimi kumuomba hela au kitu mwanamke ni mwiko (labda ile kitu yetu ya burudani uloninyima wewe lol) , this is me as me, sio kwamba namzarau lakini naelewa kwamba ni sehemu ya menhood kuwa provider kwa mwanamke. Zawadi ni exceptional

kama upo hivyo kweli hongera.
 
Hus,

Vitu vingi ulivyovitaja ni vya kweli ila inabidi wajukuu zangu muwe waangalifu...Kuna vitu vingine vina-apply kwa mtu ambaye keshapata dozi ya kutosha. Ukiviangalia kwa mtu anayefukuzia, basi utauvaa mkenge kwa sababu huwa wanatimiza karibia yote hayo ili walau watunukiwe mara moja!

babu ndio maana nikasema kigezo kimoja hakitoshi kuconclude kama huyo mtu anakupenda au lah. Wajukuu wengine hadi tugawe tunda ni mpaka vigezo na masharti yote yazingatiwe. Lol.
Vigezo vingi vipo applicable hata kama mtu anafukuzia. Mfano; kama mwanaume ameoa, hawezi kukutambulisha kwa ndugu zake, kukupeleka kwake, kunakuwa na limitation ya muda wa kuwasiliana. Mpaka hapo mjukuu unastuka aisee.
 
You must be a queen to understand me that deep.

Just being real katika kuweka mipaka ya uanamke na uanaume. Bajeti inapangwa na wote, ila ukumu la mwanaume ni kutoa na kumeet bajeti na mwanamke anapokea na kutumia kutokana na bajeti iliyopangwa kwa manufaa ya familia.

Tatizo wanawake kwa kupanga bajeti ndogo au kukubali pendekezo la bajeti ndogo ambayo hailingani na hali halisi.
 
Thread hii ni maalum kwa wadada hasa waliopo kwenye mahusiano ila bado hawajaolewa na wana mpango endelevu na wenza wao

Wadada wengi wanashindwa kutambua wapi wanapendwa na wapi wanadanganywa. Vigezo vifuatavyo vitakusaidia kutofautisha mwanaume anayekupenda na mwenye mpango wa kukuoa na Yule anaekutumia tu ila hana mpango na wewe.
Mawasiliano:
Mwanaume anaekupenda hawezi kumaliza siku bila kuwasiliana na wewes (kama hakuna external factors zinazosababisha mawasiliano yawe mabovu). Kama wewe ni mtu wa kupiga simu kila siku, kutuma emails lakini mwenzio haoneshi ushirikiano ujue hapo kuna utata.
Ushirikishwaji:
Anaekupenda ni lazima atakushirikisha mambo yake mengi yawe makubwa au madogo. Unaweza shirikishwa kwa namna ya kuombwa ushauri au kupewa taarifa. Kama upo kwenye uhusiano ila unashangaa mambo yanafanyika tu bila kuelewa ujue haupo myoni mwake, haoni kama waweza mshauri la maana na haoni kuna umuhimu wa wewe kujua.
Utambulisho.
Jiangalie kama unatambulika kwa ndugu, rafiki na jamaa zake wa karibu. Kama muda wa kutambulishana rasmi kwa wazazi haujafika, vipi kwa marafiki, wafanyakazi wenzie au makaka na madada!!. Unawafamu marafiki zake wawili wakati anao 30? Utambulisho huwa ni swala gumu kama mwanaume hakupendi na hajivunii kuwa na wewe. mwanaume ambae tayari ana mpenzi mwingine na anatambulika kwa watu wake wa karibu ni mzito kukutambulisha na wewe. inabidi ustuke hapo.
Mazingira.
Unapafahamu anapoishi? Anapofanya kazi? Maeneo anayopenda kutembelea? Kama jibu ni hapana, unahisi ni kwa nini? Kuna sababu nje ya uwezo wenu zinazosababisha usifahamu hayo ulishamwomba ufahamu ila alikataa? Hapa nakuachia utafakari mwenyewe.
Anakufahamu kiasi gani?
Kama upo na mpenzi lakini haoneshi interests za kutaka kukufahamu zaidi inabidi ujiulize mara mbili mbili. Kwa mfano, mpenzi wako anajua jina lako na mahali unapoishi tu. Hajui mazingira unayoishi, kazi unayofanya, hajui ndugu zako hata kwa kuwasikia ujue huyo mwanaume hakupendi. Anaekupenda ataandika kitabu kizima kukudescribe lakini asiyekupenda hata page 1 haitojaa.
Ubahili/ubinafsi
Hapa ni kwa wenye wapenzi wenye uwezo mzuri kifedha. Angalia kama anasikiliza shida zako na kujaribu kuzitatua. Inawezekana hakujali na hakuhudumii kipesa kwa sababu ana mpenzi mwingine ambae ameelekeza huko matumizi yake. Pengine hakuamini, anahisi hata akikuhudumia utamtosa; ila kama anashindwa kukuamini anawezaje kukupenda? Mtu wa hivyo hata upendo wake ni wa mashaka. Kama hana uwezo kifedha je anakuwa na wewe bega kwa bega unapokuwa na shida? Anayekupenda atakujali wakati wa shida na raha.
Ameoa.
Kama Unahitaji life partner halafu una date mume wa mtu ujue umepotea. Cha mtu ni cha mtu na mwanaume haoi kwa bahati mbaya. Probability ya kuolewa na huyo mwanaume ni 0.000000000000001. hapa huitaji kuambiwa jua linawaka au mvua inanyesha. Akili kichwani mwako.
NB: kigezo kimoja hakitoshi kuconclude kuwa hupendwi. Usisubiri mpaka mwanaume akutamkie kuwa hakupendi. Katika vigezo vyote hivyo nina mifano ya ukweli ambayo imewahi kunikuta mimi, ndugu zangu na marafiki.
KWA WALIOOLEWA:
Mnaweza kutuambia mlipima vipi upendo wa wenzi wenu hadi kuona kuwa wanafaa kuwa husbands.
KWA WANAUME:
Haina ubishi kwamba mmekuja kuchungulia, haya semeni kama una date na binti ambae huna mpango wa kumuoa huwa mnabehave vipi? Au kaka zenu na marafiki wanawatreat vipi wapenzi wao wa mpito( najua huwa mnahadithiana. Lol)
Nakaribisha maoni, nyongeza, masahihisho etc. karibuni, jisikieni kama mmeuanza mwaka mpya wa2012, anaetaka vinywaji achukue kwenye jokofu.

nimeona bora niseme tu nimesoma japo hainihusu.

yaani unaakili sana. siku nikiwa mkuu wa chuo cha jamii forums -( JF university )nitakupa degree, ambayo itaitwa Doctor of love ( Honoris Causa ). hii hakuna chuo amewai kutoa hapa duniani.

Akina dada wengi hawazingatii hayo uliyo andika , tena ni rahisi mno kuona hayo kama hujamfuata mtu kwa msukumo wa muonekano au status yake- hayo yote hakuna mwanaume anaweza ku-pretend.
 
babu ndio maana nikasema kigezo kimoja hakitoshi kuconclude kama huyo mtu anakupenda au lah. Wajukuu wengine hadi tugawe tunda ni mpaka vigezo na masharti yote yazingatiwe. Lol.
Vigezo vingi vipo applicable hata kama mtu anafukuzia. Mfano; kama mwanaume ameoa, hawezi kukutambulisha kwa ndugu zake, kukupeleka kwake, kunakuwa na limitation ya muda wa kuwasiliana. Mpaka hapo mjukuu unastuka aisee.

Hus,

Nami nakupa ma uzoefu 2 tu:

Mawasiliano....Kama jamaa ndo bado anafukuzia, anaweza kupiga simu kila baada ya dak 15!...Ukilewa na sifa hiyo...jamaa anatafuna chap chap na kuanza mbele....

Ili kujua kama jamaa kweli ana kufeel na ndio maana anakupigia au kukuttext kila mara inakuwa vigumu hadi akishakata kiu!!

Ubahiri...Kwa jamaa ambaye bado anatafuta, hili unaweza usilione. Siyo kutoa pesa tu, bali hata ahadi zenye thamani zaidi ya yale mapesa ya afande wetu (3tril) unaweza kupewa. Akishachungulia ikuli kama mara 1 hadi 10 hivi, ndio unamjua. Kama ni mtu wa kukaa au mpita njia!

Please, tahadhari za babu ni muhimu sana kuziangalia, tena kwa makini!
 
Back
Top Bottom