Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
- Thread starter
- #61
Kujibu swali lako hapo mwisho kuwa tunapo-date wasichana tusio na mpango nao...........mimi binafsi huwa nawaeleza ukweli kuwa sina mpango wa kuoa, lakini namtreat kama ambavyo ningemtreat mtarajiwa wangu
oooh! Kwahyo ukifika muda wa kuoa unabwaga huyo unatafta pengine?