Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Kujibu swali lako hapo mwisho kuwa tunapo-date wasichana tusio na mpango nao...........mimi binafsi huwa nawaeleza ukweli kuwa sina mpango wa kuoa, lakini namtreat kama ambavyo ningemtreat mtarajiwa wangu

oooh! Kwahyo ukifika muda wa kuoa unabwaga huyo unatafta pengine?
 
I am too busy" hilo ndo jibu langu kubwa kwa wadada nisiowapenda,, sometimes tuna approach girls just for fun kufanya mazoezi ya kumwaga sera za kumtafutia wife siku tutapokutana, na nachoshangaa hawa wa for fun hawataki kuelewa hata ukiwaambia upo busy vipi wana wewe simu hadi usiku wa manane, sijui ni (kamkweche) kagari kangu haka kipya cha mkopo nilichonunua juzi au mitumba nayovaa he he he,,

wadada sometimes sio vizuri ku force relationship kama mtu anakupenda utajua tu maana wasichana mna nguvu zaidi ya sisi hasa ukiwa right woman for him, yaani utaona hata huruma kwa mwanaume jinsi atavyohakikisha unakuwa na furaha mda wote hata kama hana uwezo but ukiwa wa kupita tarajia am too busy nyingi, text kutojibiwa ukija ofisin anaambiwa receptionist akujibu nipo kwenye kikao na mengineyo mengi ya kukunyima furaha

ahsante kwa kuwa muwazi.
 
Hivi kwa nini kichwa cha mada kipo kwenye lugha ya Kingredha halafu mwili wa mada upo kwa Kiswahili?
 
Husninyo,sijaona mahali umezungumzia kwa siye wenye nyumba ndogo, au tunakuwa covered na ile katiba yetu?:shock::A S embarassed::A S-coffee:

una matatizo ya macho? Nimezungumzia wadada waliopo kwenye mahusiano na wanaume waliooa.
 
Sasa kama hujamtumia credit ataboreshaje? Wewe mwenyewe bahili, hujaona kuna mdau hapo juu kasema wanawake tumeumbwa kupokea?...afu kisheria mwanaume ndie unatakiwa ujipendekeze kwa mwanamke hata asipojituma we jitume tu, thawabu zako utazikuta kesho kwa Mungu.
Nimemaliza....



Sekretari wa rais wa wabeba maboksi!

Yaani mimi nimetoa mfano wa mawasiliano (maongezi) nyinyi mumeibadilisha to vocha. Khaaa!
Mimi bana nasema mtu unaweza ukawa boring katika maongezi na ndio ikawa sababu ya mawasiliano duni na mwenza wako (hata kama vocha anakununulia). Kuna mdada nilisoma nae kidato, huyo mdada alikuwa yeye akikaa anasifia kula tu mpaka inaboa, sasa kuna siku akajileta kwangu eti kanimaindi hehehe nilihama shule
 
Wewe mbona unachakachua za watu? hehehe eniwei bandiko lako limetulia sana lakini mimi kama Mbunge wa upinzani naomba nirembee hoja binafsi.

HIVI KWA NINI MARA NYINGI TUNAPIMA MAPENZI KWA KUMUANGALIA, KUMCHUNGUZA NA KUMTATHMINI MWENZA? Je sisi binafsi tuna nafasi gani katika hii sredi?

Sijachakachua apo

Nimemaliza

nimeongelea sisi wanawake ambao tumeshapenda lakini upande wa pili unaonekana kama una wasiwasi. Kama ungekuwa mwanamke ungeweza kuendelea na mahusiano katika hali kama hizo? Nini hatma ya mahusiano hayo?
 
Spot on... infact kwa mke chake chake na cha mume chake ndio wanaume wa ukweli wanautekeleza. Serious ly, mwanaume bora ni yule anayenunulia mkewe vocha hata kama mke hampigii simu. Anayebeep apigiwe au hadi awe beeped ndio apige sio mwanaume.
Kweli kabisa FA.... Mume/Mwanaume bora ni yule asiyesubiri kuombwa...unajua mpenzi wako ana simu why usimtumie vocha?(afu sio atume buku lol)... Mke/ Mpenzi sharti apewe pocket money japo mara 1 kwa week, mahitaji yetu ni mengi ati....
 
Wewe mbona unachakachua za watu? hehehe eniwei bandiko lako limetulia sana lakini mimi kama Mbunge wa upinzani naomba nirembee hoja binafsi.

HIVI KWA NINI MARA NYINGI TUNAPIMA MAPENZI KWA KUMUANGALIA, KUMCHUNGUZA NA KUMTATHMINI MWENZA? Je sisi binafsi tuna nafasi gani katika hii sredi?

Sijachakachua apo

Nimemaliza

swala la kutoa au kusaidiana ni la wote.
 
nimeongelea sisi wanawake ambao tumeshapenda lakini upande wa pili unaonekana kama una wasiwasi. Kama ungekuwa mwanamke ungeweza kuendelea na mahusiano katika hali kama hizo? Nini hatma ya mahusiano hayo?

Nimekupata vizuri sana sweetheart na yep sredi ni nzuri sana kwa wadada lakini nilikuwa najaribu kuishibisha kile kilichokosekana tu kwamba kabla kuchunguza upande wa pili ni vyema first priority ikawa kujichunguza wenyewe.
Unaonaje apo?
 
kiukweli huwa nakufagilia xaaana @husninyo... hapa ndo umenimaliza kabisaaaa.... so so useful and a very trustworth post!!!

ahsante, waambie na dada zetu wa nyumbani wapitie hapa. Lol.
 
Kweli kabisa FA.... Mume/Mwanaume bora ni yule asiyesubiri kuombwa...unajua mpenzi wako ana simu why usimtumie vocha?(afu sio atume buku lol)... Mke/ Mpenzi sharti apewe pocket money japo mara 1 kwa week, mahitaji yetu ni mengi ati....

Of course, tena hiyo pocket money iwe ya kutosha, si unajua tena siku hizi tshs laki moja si pesa.
 
Kweli kabisa FA.... Mume/Mwanaume bora ni yule asiyesubiri kuombwa...unajua mpenzi wako ana simu why usimtumie vocha?(afu sio atume buku lol)... Mke/ Mpenzi sharti apewe pocket money japo mara 1 kwa week, mahitaji yetu ni mengi ati....

kweli swahiba, kuomba omba kwa wanawake kunashusha thamani ya penzi. Mwanaume anaewajibika katika hilo bila kuambiwa ndio wa ukweli.
 
Yaani mimi nimetoa mfano wa mawasiliano (maongezi) nyinyi mumeibadilisha to vocha. Khaaa!
Mimi bana nasema mtu unaweza ukawa boring katika maongezi na ndio ikawa sababu ya mawasiliano duni na mwenza wako (hata kama vocha anakununulia). Kuna mdada nilisoma nae kidato, huyo mdada alikuwa yeye akikaa anasifia kula tu mpaka inaboa, (sasa kuna siku akajileta kwangu eti kanimaindi hehehe nilihama shule)
Hehehe! Hapo kwenye mabano tunaomba ushahidi wa kimaandishi.
 
Back
Top Bottom