Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Umetupiga marufuku tusisome halafu mwishoni unatuuliza swali.. Sasa niruhusu nisome kisha nitakuja na majibu..!
 
Thanx alot Husninyo..it is indeed a useful post kama alivyosema Mwana-JF hapo juu...Inafungua macho na akili pia,naamini kwa wadada waliosoma hiyo post ambao wapo kwenye r-ship kila kipengele alichokuwa akipitia alikuwa aki-reflect mahusiano yake na mwenza wake. Hata hivyo kuna wadada wamejaaaliwa kupenda na kung'ang'ania,unaweza kukuta asilimia 90 ya vitu vilivyotajwa hapo wala havi-apply katika mahusiano yake lakini bado yumoo tu na jamaa...wala hagundui kama anapotezewa muda..its really sad kwa kweli!
 
Kujibu swali lako hapo mwisho kuwa tunapo-date wasichana tusio na mpango nao...........mimi binafsi huwa nawaeleza ukweli kuwa sina mpango wa kuoa, lakini namtreat kama ambavyo ningemtreat mtarajiwa wangu
 
I am too busy" hilo ndo jibu langu kubwa kwa wadada nisiowapenda,, sometimes tuna approach girls just for fun kufanya mazoezi ya kumwaga sera za kumtafutia wife siku tutapokutana, na nachoshangaa hawa wa for fun hawataki kuelewa hata ukiwaambia upo busy vipi wana wewe simu hadi usiku wa manane, sijui ni (kamkweche) kagari kangu haka kipya cha mkopo nilichonunua juzi au mitumba nayovaa he he he,,

wadada sometimes sio vizuri ku force relationship kama mtu anakupenda utajua tu maana wasichana mna nguvu zaidi ya sisi hasa ukiwa right woman for him, yaani utaona hata huruma kwa mwanaume jinsi atavyohakikisha unakuwa na furaha mda wote hata kama hana uwezo but ukiwa wa kupita tarajia am too busy nyingi, text kutojibiwa ukija ofisin anaambiwa receptionist akujibu nipo kwenye kikao na mengineyo mengi ya kukunyima furaha
 
Mbona ulikuwa unasema mimi unanielewa halafu hebu kaibandike hii kule chumbani kwetu itatusaidia tukigombana

Nahitaji mkate wangu wa kila siku..
Nikisema mi sikuelewi si utapandisha mashetani
ya tutu. Bala sitaki..

Naelewa vitu vingi kuhusu wewe lakini si kila kitu..:poa
 
Kujibu swali lako hapo mwisho kuwa tunapo-date wasichana tusio na mpango nao...........mimi binafsi huwa nawaeleza ukweli kuwa sina mpango wa kuoa, lakini namtreat kama ambavyo ningemtreat mtarajiwa wangu

Loh! hiyo yako mbaya..maana kwa yale mazuri unayomtendea anaweza akasema "mmmh,huyu katavi wala hakumaanisha alichosema"..mwisho wa siku ana-fall for you then wewe unammimina....mbaya sana..
 
Loh! hiyo yako mbaya..maana kwa yale mazuri unayomtendea anaweza akasema "mmmh,huyu katavi wala hakumaanisha alichosema"..mwisho wa siku ana-fall for you then wewe unammimina....mbaya sana..
Bahati nzuri ninaokutana nao wanakuwa waelewa, sijawahi kutana na king'ang'anizi...
 
asante husninyo kwa somo zuri.ila hicho kipengele sijakuelewa ni sehemu gani mwanaume wako anatakiwa akuhudumie ili uone kweli huyu sio bahili ? maana kuna wapenzi wengine mwanamke nae ana uwezo,wa kuvaa .kwenda saluni etc au anatakiwa tu akuhudumie haijalishi una hela au lah?
kukuhudumia pale unapokwama smile, kama unajiweza ina maana hutahitaji msaada wake wa kifedha bali ukaribu wake zaidi wakati upo na shida.
 
Mimi sijachungulia ila nimesoma between line na hii Post yako ni useful kwa kila mtu, unajua kwa upande wangu huwa nina date na msichana mwingine ninapoona kero na maudhi yamezidi kwa GF wangu wa ukweli kwa hiyo huwa nafanya hivyo kupunguza stress... na muda mwingine kuna mabinti ambao huwa wanazimika wenyewe ingawa wanajua mimi nina kifaa changu tayari huwa najitahidi sana kuwapotezea lakini inakua ni ishu mwisho wake hua tunajikuta kwenye maugomvi na chuki zisizo na msingi.
Mimi ni mstaarabu kwa GF hata kama na date na demu wa nje siwezi kupotelea huko kabisa

ahsante kwa ushuhuda. Haya mambo yanaumiza wanawake wanapopenda wasipopendwa.
 
Dah! Genuinely I am lost at words...... Husny my niece... I LOVE this post... MARVELOUS!!!

ahsante aunt, kuna kipengele chenu cha wanandoa ila naona umekikimbia. Nimekumiss halafu(usichakachue thread lakini.). Lol
 
ubahili wakti mwingine unaleta maana kuna mshikaji wangu ana demu wake, demu mam safi mshikaji mambo yake kawaida anategemea mshahara halafu na mzigo wa kuwatunza ndugu na jamaa zake upo juu yake lakini demu wake ana matumizi ya ovyo ile mbaya lakini demu hajali, unakuta demu anaomba elfu 50 kwa ajili ya kwenda kununua top ya kuvaa, mshikaji ana mdogo wake anaomba elfu 20 ya tuition inakua ishu.

manyanza nafikiri kwenye ubahili hujanielewa kidogo. Nimemaanisha kwa mdada mwenye mpenzi ambae ana uwezo mzuri kifedha lakini hata shida ndogo kiasi gani hayupo tayari kusaidia.
 
Back
Top Bottom