sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kweli mpendwa...lol. 'Laki si pesa'..hiyo haitoshi hata kwenda saluni...Of course, tena hiyo pocket money iwe ya kutosha, si unajua tena siku hizi tshs laki moja si pesa.
Kweli mpendwa...lol. 'Laki si pesa'..hiyo haitoshi hata kwenda saluni...Of course, tena hiyo pocket money iwe ya kutosha, si unajua tena siku hizi tshs laki moja si pesa.
Kweli mpendwa...lol. 'Laki si pesa'..hiyo haitoshi hata kwenda saluni...
Kama shemeji uporoto...lol. Ntakutafuta baadae unambie ulicopy hii mada afu ukaipestia jf... Ya ukweli sana swahiba.kweli swahiba, kuomba omba kwa wanawake kunashusha thamani ya penzi. Mwanaume anaewajibika katika hilo bila kuambiwa ndio wa ukweli.
Lol, itasaidia ila haimalizi tatizo... Khanga moko navalia chumbani.Laki si pesa, milioni itasaidia. Unavaaga khanga moko?
Hus,
Nami nakupa ma uzoefu 2 tu:
Mawasiliano....Kama jamaa ndo bado anafukuzia, anaweza kupiga simu kila baada ya dak 15!...Ukilewa na sifa hiyo...jamaa anatafuna chap chap na kuanza mbele....
Ili kujua kama jamaa kweli ana kufeel na ndio maana anakupigia au kukuttext kila mara inakuwa vigumu hadi akishakata kiu!!
Ubahiri...Kwa jamaa ambaye bado anatafuta, hili unaweza usilione. Siyo kutoa pesa tu, bali hata ahadi zenye thamani zaidi ya yale mapesa ya afande wetu (3tril) unaweza kupewa. Akishachungulia ikuli kama mara 1 hadi 10 hivi, ndio unamjua. Kama ni mtu wa kukaa au mpita njia!
Please, tahadhari za babu ni muhimu sana kuziangalia, tena kwa makini!
Hus,
Vitu vingi ulivyovitaja ni vya kweli ila inabidi wajukuu zangu muwe waangalifu...Kuna vitu vingine vina-apply kwa mtu ambaye keshapata dozi ya kutosha. Ukiviangalia kwa mtu anayefukuzia, basi utauvaa mkenge kwa sababu huwa wanatimiza karibia yote hayo ili walau watunukiwe mara moja!
Fact!.......Hus,
Nami nakupa ma uzoefu 2 tu:
Mawasiliano....Kama jamaa ndo bado anafukuzia, anaweza kupiga simu kila baada ya dak 15!...Ukilewa na sifa hiyo...jamaa anatafuna chap chap na kuanza mbele....
Ili kujua kama jamaa kweli ana kufeel na ndio maana anakupigia au kukuttext kila mara inakuwa vigumu hadi akishakata kiu!!
Ubahiri...Kwa jamaa ambaye bado anatafuta, hili unaweza usilione. Siyo kutoa pesa tu, bali hata ahadi zenye thamani zaidi ya yale mapesa ya afande wetu (3tril) unaweza kupewa. Akishachungulia ikuli kama mara 1 hadi 10 hivi, ndio unamjua. Kama ni mtu wa kukaa au mpita njia!
Please, tahadhari za babu ni muhimu sana kuziangalia, tena kwa makini!
Lol, itasaidia ila haimalizi tatizo... Khanga moko navalia chumbani.[/QUOTE]
Khaaaa! tumeambiwa tuschakachue sredi lakini hapo red pamesababisha klorokwini junior kuamka. Mdogo mdogo wajameni wengine tuko kwenye swaumu
babu nakukubali. Nilishakumbana na jamaa kwenye mawasiliano alikuwa njema sana. Kila dakika kama sio simu msg, mpaka mavocha nilikuwa natumiwa ila mengine yote hakuweza kupretend. Nikabwaga hukoooo. Sijui limefia wapi.
Salaam alekum, nimepita tu kusalimia, nipo kwenye biriani la kukata na shoka kwa Hamza Kasongo. Kuna yoyote wa JF hapa nimsalimie? Amuone ff live.
oops! Pole mpendwa. Mambo mabaya?
Mawasiliano:
Mwanaume anaekupenda hawezi kumaliza siku bila kuwasiliana na wewes (kama hakuna external factors zinazosababisha mawasiliano yawe mabovu). Kama wewe ni mtu wa kupiga simu kila siku, kutuma emails lakini mwenzio haoneshi ushirikiano ujue hapo kuna utata.
Ushirikishwaji:
Anaekupenda ni lazima atakushirikisha mambo yake mengi yawe makubwa au madogo. Unaweza shirikishwa kwa namna ya kuombwa ushauri au kupewa taarifa. Kama upo kwenye uhusiano ila unashangaa mambo yanafanyika tu bila kuelewa ujue haupo myoni mwake, haoni kama waweza mshauri la maana na haoni kuna umuhimu wa wewe kujua.
Haina ubishi kwamba mmekuja kuchungulia, haya semeni kama una date na binti ambae huna mpango wa kumuoa huwa mnabehave vipi? Au kaka zenu na marafiki wanawatreat vipi wapenzi wao wa mpito( najua huwa mnahadithiana. Lol)Utambulisho.
Jiangalie kama unatambulika kwa ndugu, rafiki na jamaa zake wa karibu. Kama muda wa kutambulishana rasmi kwa wazazi haujafika, vipi kwa marafiki, wafanyakazi wenzie au makaka na madada!!. Unawafamu marafiki zake wawili wakati anao 30? Utambulisho huwa ni swala gumu kama mwanaume hakupendi na hajivunii kuwa na wewe. mwanaume ambae tayari ana mpenzi mwingine na anatambulika kwa watu wake wa karibu ni mzito kukutambulisha na wewe. inabidi ustuke hapo.
[/QUOTE
Hus mpenzi utatambulishwa hata kwa ukoo mzima lakini ndugu yangu utakuta mawifi,wakwe wanachekeaa pembeni wanajua kuna wa zaidi yako hahahaaaa.......usicheze na wanaume banaaa. Hii nimeiona sana tu kwkweli inatia huruma bora hata ujulikane kwa wachache kuliko kuchoreka aiseee yataka moyo ukishaujua ukweli. Maana kuna wadada wanajitambaga mimi najulikana mpaka kijijni kwao maskini yangu mwisho wa siku anakuja kuolewa mwingine ambae hata mawifi hawamjui. Hawa viumbe hawatabirikiiiiii.
KWA WANAUME:
Nakaribisha maoni, nyongeza, masahihisho etc. karibuni, jisikieni kama mmeuanza mwaka mpya wa2012, anaetaka vinywaji achukue kwenye jokofu.
niko hapa,mambo?Mie napita tu, kuna mtu namtafuta
sijamwona siku nzima
tufungukeje jamani zaidi ya kuwanunulia rav4 na kuwafugulia saluni?Huu ni ukweli mtupuuuuu
Hapa kidogo ni utata, naomba niseme kwamba unaweza kushirikishwa kwa 100% lakini penzi lake liko pande ingine kabisaaaa......kushirikishwa kwako ni kwa vile anaona kuwa una busara za kumshauri na mara zote umekua ukimpa ushauri unaofaa kuliko kile kipenzi chake cha rohoni lol! Kwahiyo msijidanganye hapa na kujipa moyo kuwa maadamu umeshirikishwa na anaendelea kukushirikisha mambo mengi basi wewe ndio chaguo lake la hashaa
Hapa ndio patamu ninapopataka kupasikia.......fungukeni wajameniiiiii tupate darasa hapa.
Samahani nime type fastaaa hapa sijui kama nitakua nimekosea. I'll be back......asante sana Hus uzi mtamu kwelkwel
rebecca bwana......Mama Tuli....