Aramun
Senior Member
- Nov 8, 2023
- 161
- 729
Katika nyakati hizi, kuna sababu nyingi za kutokuoa kuliko kuoa. Namaanisha wale wazee wa "Kataa Ndoa" have milion reasons ku defend maamuzi yao.
Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.
Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.
Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.
Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.
Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.
1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.
2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.
3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.
4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.
Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.
Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.
Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.
Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.
Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.
Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.
1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.
2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.
3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.
4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.
Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.