For Men: Wanawake hawathamini ndoa tena, unapooa zingatia yafuatayo

Aramun

Senior Member
Nov 8, 2023
161
729
Katika nyakati hizi, kuna sababu nyingi za kutokuoa kuliko kuoa. Namaanisha wale wazee wa "Kataa Ndoa" have milion reasons ku defend maamuzi yao.

Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.

Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.

Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.

Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.

Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.

1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.

2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.

3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.

4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.

Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.
 
wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.
Mwanamke alipewa 'domestic roles' kipindi cha transformation kutoka matriarch kwenda patriarch baada ya hapo wanaume wakawa wawindaji na wengine wahunzi na wengine wakulima

Kwa hio Mwanamke akawa anaachwa kufanya shughuli za nyumbani na kutunza watoto na shughuli za upishi

Lakini sasa wanachotaka kufanya ni transformation ya kutoka patriarch kwenda matriarch yaan sasa wanataka Mwanaume abakie nyumbani afanye 'domestic roles' na Mwanamke aingie mstuni akapambane na Simba na Chui
 
Umenena vema kabisa ndg...

Hata vitabu vya dini vipo wazi katika hili na baadhi wa waandishi wa kale kabisa waliwahi kuonya jambo hili la wanawake kutamani nafasi isiyowahusu katika maisha, jambo ambalo litaleta taflani ambayo inatokea sasa.

Sielewi yule mama wa Ukelewe alipokwenda Beijing na kuunga mkono lile azimio lao la 50/50 alielewa deep kuna nini?.
 
Katika nyakati hizi, kuna sababu nyingi za kutokuoa kuliko kuoa. Namaanisha wale wazee wa "Kataa Ndoa" have milion reasons ku defend maamuzi yao.

Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.

Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.

Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.

Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.

Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.

1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.

2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.

3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.

4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.

Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.
Nilikutana na Mama Mzungu wa NewYork ana miaka 50 alikuwa mzuri sana huwezi kuamini kwamba ana miaka hiyo kwa umri.

Alinieleza mambo mazito ikiwemo anajuta kwanini Hakuolewa. Alikula sana Bata lakini anajioa ni Mpweke mpaka anaumwa.
Anatamani aolewe ktk umri huo ila hana matumaini ya kupa mume tena.
 
Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa.

🏃🏃🏃hey girl kaeni mbali na hayo maandishi hapo juu
 
Kwenye pita pita zangu za kurasa za vitabu nikakutana na hizi paragraph;

"... Eve had been perfectly happy by her husband’s side in her Eden home; but, like restless modern Eves, she was flattered with the hope of entering a higher sphere than that which God had assigned her ...

In attempting to rise above her original position, she fell far below it. A similar result will be reached by all who are unwilling to take up cheerfully their life duties in accordance with God’s plan ...

In their efforts to reach positions for which He has not fitted them, many are leaving vacant the place where they might be a blessing...

In their desire for a higher sphere, many have sacrificed true womanly dignity and nobility of character, and have left undone the very work that Heaven appointed them..."

Hizo paragraph zimenistua na kuelewa kumbe haya yote tunayoshuhudia ni mapinduzi ya mwanamke ili kuiharibu familia ya dunia.
 
Mwanamke alipewa 'domestic roles' kipindi cha transformation kutoka matriarch kwenda patriarch baada ya hapo wanaume wakawa wawindaji na wengine wahunzi na wengine wakulima

Kwa hio Mwanamke akawa anaachwa kufanya shughuli za nyumbani na kutunza watoto na shughuli za upishi

Lakini sasa wanachotaka kufanya ni transformation ya kutoka patriarch kwenda matriarch yaan sasa wanataka Mwanaume abakie nyumbani afanye 'domestic roles' na Mwanamke aingie mstuni akapambane na Simba na Chui
Kitu ambacho kitawacost sana, nature wont favor them❌
 
Nilikutana na Mama Mzungu wa NewYork ana miaka 50 alikuwa mzuri sana huwezi kuamini kwamba ana miaka hiyo kwa umri.

Alinieleza mambo mazito ikiwemo anajuta kwanini Hakuolewa. Alikula sana Bata lakini anajioa ni Mpweke mpaka anaumwa.
Anatamani aolewe ktk umri huo ila hana matumaini ya kupa mume tena.
Kizazi cha sasa cha wanawake hawajui kinachoenda kuwakuta mbeleni, wanajikuta wao ni wanaharakati mpaka kwenye mambo ambayo hayahitaji harakati...
 
Kwenye pita pita zangu za kurasa za vitabu nikakutana na hizi paragraph;

"... Eve had been perfectly happy by her husband’s side in her Eden home; but, like restless modern Eves, she was flattered with the hope of entering a higher sphere than that which God had assigned her ...

In attempting to rise above her original position, she fell far below it. A similar result will be reached by all who are unwilling to take up cheerfully their life duties in accordance with God’s plan ...

In their efforts to reach positions for which He has not fitted them, many are leaving vacant the place where they might be a blessing...

In their desire for a higher sphere, many have sacrificed true womanly dignity and nobility of character, and have left undone the very work that Heaven appointed them..."

Hizo paragraph zimenistua na kuelewa kumbe haya yote tunayoshuhudia ni mapinduzi ya mwanamke ili kuiharibu familia ya dunia.
Toka enzi na enzi wanawake ndiyo chanzo cha matatizo, toka enzi za Hawa. Na sasa kinachoenda kutokea ni wanawake walewale wanaenda kuharibu utulivu wa mfumo uliokuwepo...
 
Toka enzi na enzi wanawake ndiyo chanzo cha matatizo, toka enzi za Hawa. Na sasa kinachoenda kutokea ni wanawake walewale wanaenda kuharibu utulivu wa mfumo uliokuwepo...
Nakupitia serikali hizi hizi za 50/50 dunia inaenda kuwa tambala bovu, tushangae wadada wadogo kisa wana hela wanakwambia Ndoa ya nini?.

Binti kama yule sauti ya zege na senti anazopata bungeni unadhani utamueleza jambo akakuelewa!. Dalili mbaya sana.
 
Katika nyakati hizi, kuna sababu nyingi za kutokuoa kuliko kuoa. Namaanisha wale wazee wa "Kataa Ndoa" have milion reasons ku defend maamuzi yao.​
Kataa ndoa ni uchaguzi wa vijana wa kisasa ulioibuka sababu ya kukosekana wazee waliodhibiti maadili ya vijana wanaopevuka.

Jamii imekuwa huru kupitiliza, vijana wana uhuru wa kujiongoza bila kujali, hakuna tena kuwajibika kwa wazee wa ukoo wala watu waliowazidi umri, ukishamaliza shule unaamua wewe atakalo na hakuna mtu anayeweza kukufanya uhoji tafsiri ya maamuzi yako.

Kama ni binti ukiamua uishi kwa mwanaume ni sawa tu hata kama mwanaume hajulikani. Lile Swali linalozua hofu tulilokuwa tukijiuliza kuwa "itakuwaje wazee wakijua" halipo tena matokeo yake kukaibuka mabinti wasioitunza miili yao na vijana wasiojali familia.

Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.​
Wanawake wanaothamini ndoa wapo Ila wengi ni WASHAMBA, hawana muonekano wa ukisasa, hawajui social media, bata na hawana ujanja wa wanawake wengi ambao vijana huwataka, si wanamke ambao kijana utajivunia kuwa una pisi kali, misimamo na woga wao wa ngono na kuishi kwa mwanaume huwafanya wasiwe options za vijana wengi, wale wachache wanaojua kuspot mke chap huwaoa hawa na maisha huwa yanaenda sawa tu.

Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.​
Ni kweli, ila na vijana nao wamekuwa dhaifu. Hawajui kuchagua mke na mama wa watoto, wengi wanawakimbilia mabinti wajanja wajanja wenye vidigrii halafu wanafanya kosa moja kubwa mno kuoa huku kipato hakitoshi na hapo hapo binti ana ajira na malengo ambayo ni expensive plus na ni Pisi kali.

Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.​
Wanawake wa 70's na 80's kidogo hili halikuwa tatizo. Hapa 90's kuendelea ni tatizo.

Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.

Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.

1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.​
NAUNGA MKONO HOJA. Na naongeza, majukumu yako ni yako usimpe mwanamke ayafanye.

2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.​
NAUNGA MKONO HOJA.

3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.​
Hapa nakupinga, Mwanaume anamuhitaji mwanamke tena pengine kuliko hata mwanamke anavyomuhitaji mwanaume. Mwanamke anaweza kuachwa mjane na asiolewe na akaishi bila shida ila si sisi wanaume, utatafuta tu mke. Esp ukiwa kwenye 50's na kuendelea. Mwanamke anaweza kaa bila mume na watoto ila ni vigumu sana mwanaume kukaa bila mwanamke.

4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.​
Hii ni kwasababu ya jukumu la mwanaume katika jamii. Lazima iulizwe iwapo ameacha watoto sababu wanabeba jina lake na yeye alipaswa kuwa mlinzi wa hao watoto na kwasababu hayupo basi ni lazima ndugu na marafiki wachukue hilo jukumu. Tatizo ni kuwa kwa jamii ya sasa vijana wanazaa na wala hawawalindi watoto wao, hawajali na mara nyingine hawawatambulishi kwa wazee wao wa ukoo kuwa hii ni damu yetu.

Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.


NDOA NI ZAWADI KWA MWANAUME SABABU MKEO ANAKUZALIA WATOTO WENYE JINA LAKO, ANAWALEA NA KUWAKUZA KWA HESHIMA YAKO, ANAKUHUDUMIA MAHITAJI YAKO YA KIMWILI NA KIJAMII NA ZAIDI YA YOTE ANAKUOMBEA KWA MUNGU ABARIKI KAZI YA MIKONO YAKO ILI UWEZE KUWATUNZA NA KUWALINDA IKIWA NI SEHEMU YA JUKUMU LAKO SABABU UMEUMBWA MWANAUME.
 
Kizazi cha sasa cha wanawake hawajui kinachoenda kuwakuta mbeleni, wanajikuta wao ni wanaharakati mpaka kwenye mambo ambayo hayahitaji harakati...
Ukweli ni kwamba Nature ni kubwa kuliko mwanamke na mwanaume. Itabalance mambo tu na kila kitu kinakuwa kama inavyotakiwa kuwa.
 
Back
Top Bottom