Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,059
- 79,412
- Thread starter
- #41
Kama haya ni mambo yanayofungamanishwa na mungu kwa nini Africa ambayo 99% ya raia wanashinda makanisani na misikitini ina uhaba mkubwa wa haya mambo ukilinganisha na nchi za ki-Atheists au upagani huko Japan, Korea, Singapore, Vietnam na Ulaya??
Umeuliza swali zuri na lamsingi.
Kwenda kanisani haimaanishi upo na Mungu.
Unaweza kwenda kanisani au msikitini na usimjue Mungu.
Binadamu au kiumbe chochote automatically kinapozaliwa kimewekewa mifumo ya kumjua Mungu naturally.
Mazingira ndio yanaweza kuua mfumo hip, kuupotosha au kuuimarisha.
Huko ulaya ulikotaja wanamuamini Mungu kuliko Afrika