Tatizo Hilo haliko kwa wanaoamini Mingus. Ni tatizo la wanasayansi wa maumbo na maumbile ambao wao wanafikiri Kila kitu lazima kiwe na majibu(uthibitisho), kieleweke kwa akili za nyama(maumbile), au kiwe na maelezo(mantiki ya lugha), kitu ambacho kimewavuka upeo
Huwezi kutaja jambo lolote duniani bila kumhusisha Mungu. Liwe baya au zuri.
Kumtoa Mungu tuu kunadhirisha upeo Mdogo wa akili ya mhusika.
Mfano, wewe unadai Haki na demokrasia kwa misingi ipi? Kama hutotumia imani? Embu eleza.
Kumbuka kisayansi sisi ni wanyama kama wanyama wengine.
Ila kiimani Sisi ni special kutokana na Yale tunayoamini yanatutofautisha na viumbe wengine.
Zipo njia nyingi za kukuza akili. Mojawapo umeitaja. Kujifunza, uzoefu wa maisha,
Lakini kuna revealed knowledge yaani mafunuo au wahyi.
Hiyo njia ya mafunuo ndio msingi mkuu wa teknolojia duniani.
Wengine watajifunza baada ya wewe kubuni teknolojia mpya ambayo umefunuliwa na miungu.
Wewe Fanya tafiti utakavyofanya lakini Bila mafunuo kamwe huwezi kubuni Jambo jipya kwenye huu ulimwengu.
Revealed knowledge msingi wakw mkuu ni tafakuri, fikra tunduizi.
Swali linakuja unajua chanzo kikuu cha mawazo yako?
Yaani unapokaa chemchem ya mawazo yako unaijua. Kwamba mawazo yako yanatokea wapi?
Achana na Yale mawazo ya kumbukumbu, unachoona, kuhisi na kusikia.
Yeye haamini katika miungu(Imani), sio kosa ni uchaguzi wake. Tupo kwenye mjadala. Mimi nipo upande wa kuamini kwenye Mungu.
Naona Hana hoja kutetea upande wake. Kila Tawi analoshika linateleza.
Mimi nimeamua kuleta hoja ya sayansi makusudi kwa sababu ndio silaha atakayokuja kuitumia baadae.
Sasa naye ameshagundua mtego niliomuwekea ambao namfanyi Correction tactics kabla hajafika huko alikokuwa anakutegemea. Ndio unaona.
Nikuambie tuu kwa sasa hajabakiwa na silaha yoyote.
Hivyo tegemea matusi, lugha Kali, na kejeli ambapo ni kiashiria cha kushindwa
Hii nchi tukija kuacha haya mambo ya kufikirika kwa angalau 25% tu yani angalau watanzania 20m kati na 60m wakaacha huu ujinga ndipo tutaanza kuwa binadamu, sio kuwa na maendeleo tu yani tutapungua kama 60% hivi ya usokwe na tutaanza kurudi kwenye mind zetu na kujua purpose ya maisha yetu ni nini. Kwa sasa hivi tunaishi kama wanyama tu wa mbugani unaamka unafikiria supu, vitumbua, asbh then ugali wa mchana na badaye wa usiku then tunalala kusubiri hewala ya kuamka tena km itatokea. Kila tunachowaza kinatupeleka kuhudumia tumbo, usingizi, mapenzi, uzazi, na starehe kikiwepo cha ziada, tunaiba, tunatapeli, tunafanya kazi, nk zote tupate ugali, usingizi na mapenzi baaaasi!
Hata ukimuuliza mama yao na abduli wake hata mkwere na salma wake mnalimbikiza mali za nini mzisitosheka nazo watakwambia wanatafuta huduma ya hayo mambo kwa future. Ukienda Kenya tu wenzetu wakiiba wanaongeza viwanda na ajira, sisi tunapeleka dubai na swiss ili tuje kula baadaye.
Sasa tuna tuna tofauti gani na swala, nyumbu, bata na ngedere wa porini?
Hii nchi tukija kuacha haya mambo ya kufikirika kwa angalau 25% tu yani angalau watanzania 20m kati na 60m wakaacha huu ujinga ndipo tutaanza kuwa binadamu, sio kuwa na maendeleo tu yani tutapungua kama 60% hivi ya usokwe na tutaanza kurudi kwenye mind zetu na kujua purpose ya maisha yetu ni nini. Kwa sasa hivi tunaishi kama wananyama tu wa mbugani unaamka unafikiria supu, vitumbua, asbh then ugali wa mchana na badaye wa usiku then tunalala kusubiri hewala ya kuamka tena km itatokea. Kila tunachowaza kinatupeleka kuhudumia tumbo, usingizi, mapenzi, uzazi, na starehe kikiwepo cha ziada, tunaiba, tunatapeli, tunafanya kazi, nk zote tupate ugali, usingizi na mapenzi baaaasi!
Hata ukimuuliza mama yao na abduli wake hata mkwere na salma wake mnalimbikiza mali za nini mzisitosheka nazo watakwambia wanatafuta huduma ya hayo mambo kwa future. Ukienda Kenya tu wenzetu wakiiba wanaongeza viwanda na ajira, sisi tunapeleka dubai na swiss ili tuje kula baadaye.
Sasa tuna tuna tofauti gani na swala, nyumbu, bata na ngedere wa porini?
Wakoloni sio wajinga walielewa kuwa imani ina nguvu kubwa sana ya kudhibiti mawazo , tabia na maamuzi ya mtu , hauwezi kutawalika kama vitu hivyo havijadhibitiwa.
Wakoloni sio wajinga walielewa kuwa imani ina nguvu kubwa sana ya kudhibiti mawazo , tabia na maamuzi ya mtu , hauwezi kutawalika kama vitu hivyo havijadhibitiwa.
Miaka zaidi ya 100 bado tu tunapiga usingizi mkongwe wa kuamini mungu kakuumba halafu kakukataa ndio ukafeli darasa, maisha, ukaugua kipindupindu, ukakosa mayai ya uzazi, ukakosa furaha, ukakosa ndoa nk? Pamoja na mijisayansi yote na maevidence ya jinsi dunia na mifumo yake inavyofanya kazi?? Hadi na maAI nayo yakaja bado tu tumepiga pono. Tunatazama makalio soft tu, Dah!
Kizazi hiki pia kitapita watu weusi hawajaregister chochote cha maana kwenye maendeleo ya dunia kama vilivyotangulia, japo vya nyuma vilitoa hata nguvu tu kwenye utumwa, cha leo kinalegeza tu suruali na kusubiri miujiza ya kukubalika kwa mungu...
1. Kukataliwa na Mungu wako.
Mungu ni mwingi wa rehema. Mwenye huruma nyingi. Mwenye upendo mwingi.
Ikifikia hatua amekukataa my friend game over. Umekwisha.
Alafu ukikataliwa na Mungu unajua tuu.
Mungu gani mwenye upendo, rehema na huruma nyingi anaacha maelfu ya watoto na wanawake wanateseka na kupitia mateso ya kutisha na kisha kuuwawa?
Maelfu ya watoto wanafanyiwa ukatili wa kutisha na huyo Mungu unayedai ni mwenye upendo hafanyi chochote.
Mafaili ya "Eipstein" yanaonyesha ukatili wa kutisha dhidi ya watoto, Lakini huyo Mungu wenu mnayedai ni mwenye huruma, Hajafanya chochote!!
Maelfu ya watoto wamekufa kwa vita kule Gaza huyo Mungu hajasaidia chochote!
Maelfu ya watoto na wanawake wanateseka na kufa maeneo mbalimbali Duniani kwa vita, njaa, ukatili, mateso na magonjwa. Huyo Mungu mwenye upendo na huruma hasaidii chochote!!
Huyo MUNGU ni Katili, Bandidu, Sadist, Mpumbavu, Mwehu na Mwendawazimu. Huyo Mungu anastahili KUFURUSHWA huko alipo maana ni Kichwa maji kabisa!!
3. Unaweza kupewa Kila kitu duniani lakini ukimkosa Mungu. Unagundua Kila kitu hakina maana.
Ni kweli Kila kitu hakina maana bila uwepo wa Mungu Maishani Mwako.
4. Fuatilia watu wote wasio na furaha, wenye misongo ya mawazo, wapweke, wenye hasira, wenye chuki, wenye maumivu ya moyo. Wengi hawapo na Mungu. Ni aidha walimkataa Mungu au Mungu aliwakataa.
6. Ukiwa na Mungu unakuwa huru hata kama umefungwa jela.
Ukiwa huna Mungu unakuwa mfungwa hata kama haupo jela.
7. Ogopa Mungu akupe kisogo. Yaani akuache ujiamulie mambo yako.
8. Siongei haya kama MTU wa dini, wala kama mtu asiye na uelewa wowote. Nazungumzia uhalisia wa maisha ya mwanadamu.
9. Mtibeli nasema, kwenye maisha yako. Omba ukose yote lakini kamwe usimkose Mungu katika maisha yako.
10. Malengo yako makuu katika maisha yawe kuwa na Mungu Siku zote za maisha yako.
11. Sisi Watibeli, Ombi letu kuu ni kumsapoti Mungu hata kama hatumuelewi.
Kukosa yote lakini kamwe tusimkose Yule Mungu Muumbaji. Yeye ndiye Kila kitu kwetu. Na hiyo ndio siri ya sisi kuwa juu ya yote.
12. Ni Bora tuwe maskini wa kutupwa na kudharauliwa lakini tukiwa na Mungu inatosha. Na kwa bahati tuu ukishakuwa na Mungu huwezi kuwa maskini roho.
13. Ndugu zangu, hiyo ndio siri ya maisha ya furaha wewe na familia yako. Wewe na mkeo,wewe na Watoto wako.
Kuwa na Mungu katika maisha yenu.
14. Sio pesa.
Sio cheo wala mamlaka.
Sio umashuhuri
Sio uzuri
Hayo yote bila kuwa na Mungu ni ubatili. Huwezi kuwa na furaha.
15. Najua wapo waliotoka maisha masking Sana ambao hawajawahi kuwwa na Mali au kuishi na Mali watabisha.
16. Lakini Sisi wengine tulipata Neema ya kuishi maisha ya aina mbalimbali. Kuishi na watu wenye utajiri, wenye mamlaka. Tuna ndugu na marafiki wenye maisha ambayo ni ndoto ya watu wengi. Lakini
Wanamaisha magumu, wanateseka na upweke, depression, ufungwa, hawana furaha.
17. Na ndipo Ile kauli ya pesa au utajiri haikupi furaha inapokuja ingawaje wengi hawaielewi.
18. Ila ukiwa tajiri alafu ukawa na Mungu utaenjoy Sana.
19. Fanya ufanyacho mwombe Mungu kama kuna Jambo litakalomfanya akugeuzie kisogo au akuache Jambo hilo akuepushe nalo.
20. Mara nyingi watu waliokataliwa na Mungu hukosa mambo nyeti kwenye maisha. Kama Amani ya moyo, wanakuwa wapweke, na familia zao zinakuwa zinawasumbua Sana.
21. Ukishasumbuliwa kwenye familia yako mwenyewe hata upewe dunia yote inakuwa haina maana.
Mkeo/mumeo na Watoto wanakukosesha furaha na Amani.
22. Ukishakosa Amani ya Moyo hata upewe umungu Mdogo inakuwa haina mana. Unakuwa mtumwa wa maisha yako mwenyewe.
23. Unazeeka haraka, watu unaowapenda hawakupendi, watu unaowaheshimu hawakuhehimu wanakudharau. Watu unaowatunza na kuwahudumia hawatambui jasho lako, tena kama ni mkeo anahonga wanaume wengine.
My friend ukianza kuhisi mambo kama haya ujue usilalamike, usione ni kawaida, tambua kuna waya mkubwa umekanyaga.
24. Jua uso wa Mungu wako uko mbali na wewe. Na kuna mambo unatakiwa uyafanye. Kumkaribia Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.