Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,328
- 24,211
Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe.
Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya tofauti kwa wananchi kuliko CCM.
Hilo nilikuwa nalisubiri kwa makini, lakini in that regards ilikuwa dissapointment.
~ Ni kweli ameonewa.
~ Ni kweli ana stahiki zake binafsi anazodai.
~ Ni kweli CHADEMA ilimimnywa kisiasa kwa wananchama wake kufungiwa abatini.
Lakini ni bora CHADEMA ijifikirie kwanza kuwa ni kitu gani kitawashauri Watanzania kuwachagua, na kuwa mbadala wa CCM. Hilo sijalisikia toka kwa Lissu au Mbowe mwenyewe.
~ Sera za uchumi.
~ Sera za Maendeleo.
~ Sera za Ulinzi na usalama.
~ Sera za Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Wasiishie eti kulia tu Katiba Mpya ya kuwapeeka Ikulu, ili na wao wakale keki ya Taifa. Wananchi hawataki eti kuichagua CHADEMA kwa vile tu Lissu na Mbowe yuko kule. Wanataka kuona FAIDA ya sera zao kubinafsi na kitaifa kwa ujumla.
Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya tofauti kwa wananchi kuliko CCM.
Hilo nilikuwa nalisubiri kwa makini, lakini in that regards ilikuwa dissapointment.
~ Ni kweli ameonewa.
~ Ni kweli ana stahiki zake binafsi anazodai.
~ Ni kweli CHADEMA ilimimnywa kisiasa kwa wananchama wake kufungiwa abatini.
Lakini ni bora CHADEMA ijifikirie kwanza kuwa ni kitu gani kitawashauri Watanzania kuwachagua, na kuwa mbadala wa CCM. Hilo sijalisikia toka kwa Lissu au Mbowe mwenyewe.
~ Sera za uchumi.
~ Sera za Maendeleo.
~ Sera za Ulinzi na usalama.
~ Sera za Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Wasiishie eti kulia tu Katiba Mpya ya kuwapeeka Ikulu, ili na wao wakale keki ya Taifa. Wananchi hawataki eti kuichagua CHADEMA kwa vile tu Lissu na Mbowe yuko kule. Wanataka kuona FAIDA ya sera zao kubinafsi na kitaifa kwa ujumla.