Kwenye mahojiano yake Lissu hajaonesha ni kivipi CHADEMA itakuwa mbadala wa CCM

Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe.

Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya tofauti kwa wananchi kuliko CCM.
Hilo nilikuwa nalisubiri kwa makini, lakini in that regards ilikuwa dissapointment.

~ Ni kweli ameonewa.
~ Ni kweli ana stahiki zake binafsi anazodai.
~ Ni kweli CHADEMA ilimimnywa kisiasa kwa wananchama wake kufungiwa abatini.

Lakini ni bora CHADEMA ijifikirie kwanza kuwa ni kitu gani kitawashauri Watanzania kuwachagua, na kuwa mbadala wa CCM. Hilo sijalisikia toka kwa Lissu au Mbowe mwenyewe.

~ Sera za uchumi.
~ Sera za Maendeleo.
~ Sera za Ulinzi na usalama.
~ Sera za Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Wasiishie eti kulia tu Katiba Mpya ya kuwapeeka Ikulu, ili na wao wakale keki ya Taifa. Wananchi hawataki eti kuichagua CHADEMA kwa vile tu Lissu na Mbowe yuko kule. Wanataka kuona FAIDA ya sera zao kubinafsi na kitaifa kwa ujumla.
Mtego alioutega Lissu wa KATIBA MPYA , KATIBA MPYA , KATIBA MPYA kama una akili ya kawaida huwezi kuelewa .

Utaratibu wa kuongoza nchi hautokani na utashi wa vyama , unawekwa ndani ya Katiba ya Nchi , mle itajulikana ukivurunda utafanywaje , Lissu angekuwa katibu mwenezi wa Chadema tungemwambia asome sera za chama .

Lakini huyu ni Presidential Material
 
Kwa hiyo Katiba Mpya ambayo wala huijui ikoje ndiyo itakupa hoja.
You are like a blind man walking towards a cliff edge.
Uko NJE ya mada uliyoianzisha wewe mwenyewe!!

Au umesahau ume - raise hoja gani kwenye bandiko lako?

Tundu Lissu asingeweza kueleza kitu ambacho wenyeji wake ITV hawajauliza au hawajataka kukifahamu toka kwake..!

Angefanya vile unavyofikiri wewe bila shaka angekuwa mwehu kama wewe..

Hizo zilikuwa dakika 45 tu. Mambo ni mengi. Kwa sasa ni KATIBA MPYA, KATIBA MPYA, KATIBA MPYA. Hutaki jinyoge ufie mbali huko..!!

Hizo dakika 45 haukuwa mwisho wa dunia wala wa TL kusikika na kuonekana. Ndiyo tu mwanzo mchakamchaka

Unataka kujua zaidi, basi endelea kufuatilia mikutano na makongamano ya CHADEMA na Tundu Lissu, utaelewa tu unachotaka kukielewa.
 
Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe...

Alikuwa anajibu maswali anayoulizwa na muongozo kipindi. Labda ungewashauri waongoza vipindi wajikite kuuliza kwenye maeneo hayo.
 
Uko NJE ya mada uliyoianzisha wewe mwenyewe!!

Au umesahau ume - raise hoja gani kwenye bandiko lako?

Tundu Lissu asingeweza kueleza kitu ambacho wenyeji wake ITV hawajauliza au hawajataka kukifahamu toka kwake..!

Angefanya vile unavyofikiri wewe bila shaka angekuwa mwehu kama wewe..

Hizo zilikuwa dakika 45 tu. Mambo ni mengi. Kwa sasa ni KATIBA MPYA, KATIBA MPYA, KATIBA MPYA. Hutaki jinyoge ufie mbali huko..!!

Hizo dakika 45 haukuwa mwisho wa dunia wala wa TL kusikika na kuonekana. Ndiyo tu mwanzo mchakamchaka

Unataka kujua zaidi, basi endelea kufuatilia mikutano na makongamano ya CHADEMA na Tundu Lissu, utaelewa tu unachotaka kukielewa.
Ukilinganisha interviw za Mwalimu ni hizi za Lissu, ni mbingu na nchi.
One is ashamed kumwita Lissu a politucian, kulilia mafao publicly badala ya kufikiria future ya nchi-shame.
 
Uko NJE ya mada uliyoianzisha wewe mwenyewe!!

Au umesahau ume - raise hoja gani kwenye bandiko lako?

Tundu Lissu asingeweza kueleza kitu ambacho wenyeji wake ITV hawajauliza au hawajataka kukifahamu toka kwake..!

Angefanya vile unavyofikiri wewe bila shaka angekuwa mwehu kama wewe..

Hizo zilikuwa dakika 45 tu. Mambo ni mengi. Kwa sasa ni KATIBA MPYA, KATIBA MPYA, KATIBA MPYA. Hutaki jinyoge ufie mbali huko..!!

Hizo dakika 45 haukuwa mwisho wa dunia wala wa TL kusikika na kuonekana. Ndiyo tu mwanzo mchakamchaka

Unataka kujua zaidi, basi endelea kufuatilia mikutano na makongamano ya CHADEMA na Tundu Lissu, utaelewa tu unachotaka kukielewa.
Sukuma Gang wamepoteana kama kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachwa
 
Basi ninaona Lissu kuwa a very poor politician, not to see rare opportunities kukitangaza chama chake.
Pale ameongea mambo ya kuchumia tumbo tu n hana lolote lq maana aliloongea kwa Mtanzania kwa ujumla.
Akilipwa, na atalipwa tu stahiki zake- so what?
Siku zote tunasema humu, ccm na wapinzani wote wanatembelea kwenye upumbavu wetu, vinginevyo tungekuwa na responsible political parties.
 
Mtego alioutega Lissu wa KATIBA MPYA , KATIBA MPYA , KATIBA MPYA kama una akili ya kawaida huwezi kuelewa .

Utaratibu wa kuongoza nchi hautokani na utashi wa vyama , unawekwa ndani ya Katiba ya Nchi , mle itajulikana ukivurunda utafanywaje , Lissu angekuwa katibu mwenezi wa Chadema tungemwambia asome sera za chama .

Lakini huyu ni Presidential Matereo
Presidential material?
My foot, kwa mihemuko Lissu hana tofauti na Magufuli!
 
Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe.

Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya tofauti kwa wananchi kuliko CCM.
Hilo nilikuwa nalisubiri kwa makini, lakini in that regards ilikuwa dissapointment.

~ Ni kweli ameonewa.
~ Ni kweli ana stahiki zake binafsi anazodai.
~ Ni kweli CHADEMA ilimimnywa kisiasa kwa wananchama wake kufungiwa abatini.

Lakini ni bora CHADEMA ijifikirie kwanza kuwa ni kitu gani kitawashauri Watanzania kuwachagua, na kuwa mbadala wa CCM. Hilo sijalisikia toka kwa Lissu au Mbowe mwenyewe.

~ Sera za uchumi.
~ Sera za Maendeleo.
~ Sera za Ulinzi na usalama.
~ Sera za Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Wasiishie eti kulia tu Katiba Mpya ya kuwapeeka Ikulu, ili na wao wakale keki ya Taifa. Wananchi hawataki eti kuichagua CHADEMA kwa vile tu Lissu na Mbowe yuko kule. Wanataka kuona FAIDA ya sera zao kubinafsi na kitaifa kwa ujumla.
Naona S gang mnahenyeshwa sana na Lissu. CDM hoyeeeeeee!
 
Siku zote tunasema humu, ccm na wapinzani wote wanatembelea kwenye upumbavu wetu, vinginevyo tungekuwa na responsible political parties.
Hongera kwa kujitambua.
Ndiyo maana nasema Lissu kulia lia kama ndugu yake Nalaila Kiula miaka hiyo ni upungufu mkubwa kisiasa na ubinafsi.
 
Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe.

Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya tofauti kwa wananchi kuliko CCM.
Hilo nilikuwa nalisubiri kwa makini, lakini in that regards ilikuwa dissapointment.

~ Ni kweli ameonewa.
~ Ni kweli ana stahiki zake binafsi anazodai.
~ Ni kweli CHADEMA ilimimnywa kisiasa kwa wananchama wake kufungiwa abatini.

Lakini ni bora CHADEMA ijifikirie kwanza kuwa ni kitu gani kitawashauri Watanzania kuwachagua, na kuwa mbadala wa CCM. Hilo sijalisikia toka kwa Lissu au Mbowe mwenyewe.

~ Sera za uchumi.
~ Sera za Maendeleo.
~ Sera za Ulinzi na usalama.
~ Sera za Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Wasiishie eti kulia tu Katiba Mpya ya kuwapeeka Ikulu, ili na wao wakale keki ya Taifa. Wananchi hawataki eti kuichagua CHADEMA kwa vile tu Lissu na Mbowe yuko kule. Wanataka kuona FAIDA ya sera zao kubinafsi na kitaifa kwa ujumla.
Wee Chawa wee. Acha Uchawa.
 
Back
Top Bottom