Kweli watu wamejitoa kumchangia Lissu

Kweli watu wamejitoa kumchangia Lissu

Tena tunasema, Ndugui asitubabaishe. TL hatakufa njaa, hatasalimu amri kwa sababu ya njaa na wala hatafedheheka kwa sababu mawakala wa shetani wameamua kumkomoa TL, ntu asiye na hatia yoyote

Maana kwa unyama huu waliomfanyia, hata shetani halisia huwa ana huruma.

Tutamchangia TL. Atapata hela ya kula, atapata hela ya kuwasomesha watoto wako na kuitegemeza familia yake. Huyu

TL amejitoa nafsi yake, mwili na uhai wake kwaajili kuwatetea watanzania na Taifa kwa ujumla dhidi ya watu waliodhamiria kuua misingi ya Taifa letu ambayo ni upendo, umoja na mshikamano kwa kuheshimu utu wa kila mtu, uhuru wa kila raia katika kutoa maoni, haki ya kuchagua na kuchaguliwa, haki ya kujieleza na kujitetea, uhuru na haki ya kukusanyika, na wajibu wa serikali kutii mamlaka iliyo juu ya mamlaka zote, yaani wananchi wa Tanzania.
 
CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
risasi zenyu zimefeli KAMWE KAMWE!!hamuwezi kushindana na nguvu ya Mungu na hapo ulipo tambua wewe kibaraka [emoji196] [emoji196] [emoji241] wa lumumba na mabwana zenu wote mlioshiriki umafia huu
MUNGU HATOWAACHA SALAMA....kwenye ujinga wako ukumbuke na hili.. HAMTOKUWA SALAMA HATA NDANI YA MAISHA YAKO NA MUMEO KAMA ULIMSHIRIKISHA NAE ADHABU YA MUNGU INAMUHUSU.
MUDA TU NDIO JIBU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue😀😀😀😀
1552716637774.png

Haya Magongo alikuwa anashuka Chato Airport na siyo Marekani?
 
CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Linapokuja jambo la haki zake za msingi kuzuiwa kibabe huwezi kuweka picha tofauti na inayoonyesha kilichompata. Inashangaza sana mtu aliyepatwa na maswahiba yaliyoshangaza na kusikitisha na kukasirisha wengi, leo hii spika wa bunge akiwa na akili zake timamu anasema hajui jambo linalomfanya TL asiwepo jimboni mwake. Hata dunia inamshangaa. Kutembea kwake America na kwingine kule anaitwa na binadamu wanaotaka kujua kulichompata huyu mtu na jinsi alivyopona kimiujiza. Kule haendi kwa gharama zake bali zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taratibu mkuu. Ndani ya CCM humo humo kuna watu wanajitambua sana akiwemo Mama Samia na Majaliwa.... Nawakubali.
Samia ndio mfadhili mkuu wa Lipumba akishirikiana na Seif Idd , hakuna mwanaccm mcha Mungu
 
IMG_20190316_102057_071.jpg

Huyu ndo kachangia milioni 5? Mbona hata hafananii
 
La mhimu zaidi, pamoja na michango hii ni kwa waTanzania kuonyesha ubinaadam wao kwa mTanzania mwenzao.

Hili linatakiwa liwe somo mhimu sana kwa wale wachache wetu wanaotaka kulifanya Taifa hili liwe la mifarakano.

WaTanzania wapeleke ujumbe usio na shaka kwa viongozi, kwamba inapohusu maisha na usalama wa waTanzania, sote tunasimama pamoja bila kujali siasa zinazotumiwa kutugawa.

Mungu Ibariki Tanzania.
Huu ujumbe wako naupa 100% kwa ubora. Watanzania tunatakiwa tuwe wamoja linapokuwa swala la maisha ya mtanzania mwenzetu. Tukiwa na umoja huo na tukawa na rais anaye-uphold umoja huo, adui wa nje hawezi kutugusa.
 
Hii inaitwa Back-Lash. Watu wanachanga kwa huruma, lakini pia kukomoa kwa hasira. Ila tuseme za ukweli Raisi Magufuli hapendwi na wengi, ni makada wachache wanaonufaika ndiyo wamekomaa kumsifia.
At first I trusted Magufuli. Sasa hivi simwamini kabsaaa! Naamin kuwa wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya mazuri ya awamu hii bila kutekana,kupotezana wala kupigana risasi au kuwekana ndani kwa kukomoana.
 
At first I trusted Magufuli. Sasa hivi simwamini kabsaaa! Naamin kuwa wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya mazuri ya awamu hii bila kutekana,kupotezana wala kupigana risasi au kuwekana ndani kwa kukomoana.
Tuna bahati kumwona shetani kabla ya maandiko hayajatimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Risk wanaweza freeze hata hiyo account....
wakiganya hivyo basi watakuwa wanamwogopa sana lisu sasa tutakwenda kumlipia chakula mahotli yote anayotaka kwe da kula na gamilia yake na tutampa ctedit za kufanya manunuzi kwenye maduka ya hadhi hiyo ...... Ndo amshaanza kula mshahara wa Urasi
 
Kwa hili hapana umeteleza erthocyte

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa.
Najua uchungu alionao Erythrocyte, lakini kukataa michango ya mtu kwa sababu ana kadi ya kijani sio sawa. Kuna wanaccm wana sympathy na upinzani. Binafsi nawafahamu.
Lakini pia ngoja nimpe mfano wa Haji Manara (Msemaji wa Simba). Wakati Lissu aliposhambuliwa kule Dodoma, alitoa pole katika akaunti yake ya Insta. Na alisema wazi yeye si shabiki wa Lissu, wala chama chake; ila ni ubinadamu tu.
Kwa hivi hata katika hili, kuna wanaccm watachangia katika muktadha wa ubinadamu tu.
 
Back
Top Bottom