macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,467
- 38,742
Hili ni jambo la kawaida kabisa. Picha lazima iendane na mazingira ya tukio. Umewahi kuona matangazo ya mashirika makubwa kama Red Cross, Unicef au mashirika makubwa ya misaada wanapoomba donation kwenye TV? Umewahi kuhudhuria mazishi? Sauti ya ma-MC inakuwaje? Kw kifupi ni lazima picha inayotumika kwenye kuomba msaada imkumbushe au kumwonyesha mtoa msaada mtarajiwa ni kwanini msaada unaombwa.CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue😀😀😀😀