Tulia sindano iwaingie na bado.CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia sindano iwaingie na bado.CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue
Hii inaitwa Back-Lash. Watu wanachanga kwa huruma, lakini pia kukomoa kwa hasira. Ila tuseme za ukweli Raisi Magufuli hapendwi na wengi, ni makada wachache wanaonufaika ndiyo wamekomaa kumsifia.Kuna la kujifunza hapo. Ujiulize ni kwa nini wanatoa bila shuruti na walikuwa wanalilia wapatiwe njia za kuwasilisha michango yao. And, people are still longing for such means of contribution to be well informed to them. Watu wana uchungu, hasira na mengi mengineyo.
pole mkuu.Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Safi sana ndugu Mungu akubariki.tulichanga tunachanga na tutaendelea kuchanga.wale waliomkasilikia MUNGU kwa kumponya Lisu. poleni sana.NA ATUKUZWE MUNGU JUU MBINGUNI.La mhimu zaidi, pamoja na michango hii ni kwa waTanzania kuonyesha ubinaadam wao kwa mTanzania mwenzao.
Hili linatakiwa liwe somo mhimu sana kwa wale wachache wetu wanaotaka kulifanya Taifa hili liwe la mifarakano.
WaTanzania wapeleke ujumbe usio na shaka kwa viongozi, kwamba inapohusu maisha na usalama wa waTanzania, sote tunasimama pamoja bila kujali siasa zinazotumiwa kutugawa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Hahahahaha! yaani jiwe shetani has a eti msemakweli mpenzi was Mungu wakati yeye ndo muongo was kutupwaKama Jiwe anavyotaka kuwadanganya Watanzania huongea kwa sauti ya upole huku akisema "msema kweri ni Mpenzi wa Mungu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno yako ya kejeli, dhihaka na dharau yatakurudia mwenyewe kabla ya 2020Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Kama Jiwe anavyotaka kuwadanganya Watanzania huongea kwa sauti ya upole huku akisema "msema kweri ni Mpenzi wa Mungu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuendelea kupata vichekesho Kama hivi tuma neno UKIWA kwenda namba 2025.Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.
Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali
Naomba kuwasilisha.
Kutapeliwa ni haki yako kikatiba.Haikuhusu. Nyie subirini ajali na matetemeko mkapige hela ya rambi rambi, lakini sisi tunamchangia TL. Over
Kutapeliwa ni haki yako kikatiba.
Na Kuna majamaa walifunguliwa mashitakaHivi ile hela iliyochangwa kwa ajili ya tetemeko mliwafikishia wahanga!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Upinzani upo Moyoni na si katika Kusema, Jiwe labda uuwe woote Watanzania hapo utaua Upinzani! Usikute hata Samia, Janeth na Majaliwa wanaweza Mchangia Lissu, labda wewe na Bashite ndiyo hamuwezi.
Tatizo tukichanga za kwenye majanga mnatumia kununulia madiwani sasa huo ni ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachangaaa when one door is closed many more is oppenedNaona Risk wanaweza freeze hata hiyo account....