Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 822
- 343
Ndugu yangu Mungu hadhihakiwi.Acha maneno yasio na staha.Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app