Kweli watu wamejitoa kumchangia Lissu

Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.
No hapo c sawa hata kidogo. Wanaomchangia Lisu haijalishi ni Chadema au CCM, wanaomchangia Lisu ni watanzania bila kujali vyama wala dini. Yeyote yule mpenda maendeleo na asiyependa dhuluma. Wanaccm siyo wote wanaomchukia Lisu au Chadema, wanaccm siyo wote waliomtuma Bashite na kundi lake kwenda kumpiga Lisu risasi. Hivyo waachwe watanzania wamchangie mtanzania mwenzao alienusurika kuuwawa na baadhi ya wanaccm
 
Pesa hazina chama , hivyo Lissu azipokee tu hizo pesa zote zitakazokuja kwake. Fisadi ni mtu na siyo pesa, hata mchawi ni mtu na siyo pesa.

Nakumalizia na huu msemo "Guns do not kill people, but people kill people". Pesa haina tatizo, mwenye tatizo ni mtoaji.
 
Ndg. WATANZANIA WAKATI NI SASA!!

TUKAMCHANGIE MH.TUNDU LISSU KWA CHOCHOTE tutakachojaaliwa.

TUNDU LISSU RAIS 2020.
IMG-20190315-WA0024.jpg


"Mopao Mokonzi"
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.
Mwenye shida ya hiyo pesa ni Lissu au wewe? Pesa aombe mwingine, masharti atoe mwingine. Jifunzeni kujua mipaka yenu kwenye maisha ya watu wengine.
 
Safi sana ndugu Mungu akubariki.tulichanga tunachanga na tutaendelea kuchanga.wale waliomkasilikia MUNGU kwa kumponya Lisu. poleni sana.NA ATUKUZWE MUNGU JUU MBINGUNI.
AMINA....,KWELI MWISHO WA UBAYA AIBU..., NDULI NA GENGE LAKE LA WASIOJULIKANA WANAONA AIBU SASA.
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.
wabunge kwa pamoja walimchangia Lissu ambapo majority ni CCM..... utawarudishia wote kwa kutumia account gani?
Mambo ya pesa mwachieni Mbowe tu... Narudia Mbowe tu ... wengine jadilini blah blah kwenye mitandao:D:D
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.


Boss Erythrocyte Kwa hili najua umeteleza tu, Hata kama Unawachukia sana Ma CCM ila umekosea.
Najua kuna baadhi yao MaCCM wameumizwa na shambulio lake ila wafanyaje tena??? !!! Yaani wapo wapo tu, wanaogopa Ugali wao. Pia nafikiri kuna Ma CCM wengi tu wanamkubali na wanamuunga Mkono Lissu ila hawataki kusema wazi wazi, pia nao wanaogopa Fimbo za Ma Boss wao. Nafikiri kama kungekuwa na uwezo wa kujua kila anayechanga ni wa Chama gani, unaweza kushangaa, CCM ndio wanaongoza kwa kumchangia.
Ushauri wangu, Wapokee michango kwa yoyote yule, hata kama ni CCM au Kiumbe yoyote yule.
 
Back
Top Bottom