Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,707
- 3,563
Huu ndio uchawi wenyewe.i bet, wewe haujachanga, wala hautachanga
SafiHivi ile hela iliyochangwa kwa ajili ya tetemeko mliwafikishia wahanga!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe wewe na uzao wakomi nishachangia efu Saba, si haba kwakweli
Ni kitu kikubwa sana coz huo ndo utu, mwenyew nasubir nivute mpunga nmchangie. Kwani ni binadam kama mimi wala hakujipga risasi anaebeza juhudi hizi siku yakimkuta yeye au ndugu yake ndo ataona thamani ya uhai.
Kaka, mtanzania wa kawaida ukimwambia kwamba Raisi Magufuli anaharibu hawezi kukuelewa kabisa. Lakini sisi tunaofanya kilimo na biashara tunajua kabisa kwamba Raisi nchi imeshamshinda ila analazimisha akiamini kwamba There's is a magic hand ambao unaweza kurudisha things to default.At first I trusted Magufuli. Sasa hivi simwamini kabsaaa! Naamin kuwa wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya mazuri ya awamu hii bila kutekana,kupotezana wala kupigana risasi au kuwekana ndani kwa kukomoana.
Hawaelewi binadamu akifunga mlango mmoja mungu anafungua saba.kama walivyojaribu kufunga kwa mwele malechela ili afe njaaCcm wanataka kumtajirisha lissu, kumyima mshahara lissu ni blessing in disguise,akina bill gate, Warren buffet wakisikia hii habari watampa hela ndefu.
Halafu kuna mtu asema siyo mgonjwa nyuma ya mikameraHuu ni upendo au ni kukomoa? Sentensi hiyo isitafsiriwe vibaya,
Kuna mtu anaweza kuambiwa kuna majanga au mafuriko akachangia hiyo?
Kuna mambo bwana si yote lazima yaandikwe hata nawatakieni michango miema
Kutoa ni Moyo, Tumchangie mwenzetu
View attachment 1046444
View attachment 1046442
Huu ni upendo au ni kukomoa? Sentensi hiyo isitafsiriwe vibaya,
Kuna mtu anaweza kuambiwa kuna majanga au mafuriko akachangia hiyo?
Kuna mambo bwana si yote lazima yaandikwe hata nawatakieni michango miema
Kutoa ni Moyo, Tumchangie mwenzetu
View attachment 1046444
View attachment 1046442
Mimi ni miongoni mwao, japo ni mwaka wa pili sasa sijalipia kadi yangu ya ccm. Dhamira inanisuta. Sitoondoka ccm maana ndiko hazina yangu iliko. Tangu utoto tumeimba ccm no. 1, hadi sasa uikache tu kisa kuna jambo halijakufurahisha? Big no.Wako wana ccm wengi ambao hawakubaliani na alivyotendewa Lissu. Hawawezi kusema lakini wanaumia sana. Msiwakatie michango yao. Damu ya Yesu itashughulika na pesa za majini. Kilangila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja leo nimtafute kanji M-BET, akiingia 18 Zangu, 18% ya mkwanja kwa lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Avunjike kiuno aone shida ya ulemavu...akae hospitali mwaka mmoja tuMkuu hujafa hujaumbika Lissu hakuomba kupigwa risasi tunakuombea na wewe yakukute Mabaya Mungu hadhihakiwi Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hadanganyiki wala hadhihakiwi mwisho wa hawa watu ni mbaya hata ngonjera za viwanda hazisikiki kwenye tungo za kina Roma, Daimond na harmonizer.Hela iliyojaa DAMU
nimemkumbuka mrembo Akwilina
Ukiwaza mara mbili eti ubani 80m,kuna mambo yanatia uchungu,ufanye ujinga halafu uwanyamazishe na fungu la nchi
Risasi yenyewe imetoka sijui kwa malaika
Maee...
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Watanzania wote wanajuwa si mali kitu ni hasara kwa taifa ngapi zote za maisha wamekuwa kuanzia kitongoji kijiji tarafa silaha mkoa jiji taifaKaka, mtanzania wa kawaida ukimwambia kwamba Raisi Magufuli anaharibu hawezi kukuelewa kabisa. Lakini sisi tunaofanya kilimo na biashara tunajua kabisa kwamba Raisi nchi imeshamshinda ila analazimisha akiamini kwamba There's is a magic hand ambao unaweza kurudisha things to default.
Ameshachelewa sana na watanzania tumeshamjua yeye ni mtu wa aina gani. Kiongozi mimi nasema hivi, ifike mahali tuachane na kutegemea taasisi ya Uraisi katika kusubiri maendeleo maana kwa mifumo hii iliyopo hata upinzani wakishika ikulu watavuruga tu.
It's about time we change for the better. Ile katiba ya mwaka 1977 tuiweke kwenye makumbusho na tuangalie ni mbinu gani mbadala inaweza kulitibu hili tatizo.
Acha zifike hata 2b kwani unapomfungia mtu bomba, basi Mungu anafungulia mto mazima.Kama watu wamehamasika kiwango hiki basi zitafika zaidi ya 1b
Acha maneno yasiyo na staha.CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue
Hiyo akaunti yake si sahihi sana.Inaweza pigwa pini.By Mange Kimambi
Tuendelee kumchangia Mh Tundu Lissu, Mpaka sasa zimefika M28 kwa mwezi March, kutoa ni moyo si utajiri.
.
.
Tafadhali tuma pesa kwenda #M_pesa 0754 616 564 au Tigopesa 0716445360 Jina FRANK MUGHWAI.......... Au kupitia benki ya #CRDB nambari ya akaunti 01J2043045300 TUNDU ANTIPAS LISSU.
View attachment 1046472