Kweli watu wamejitoa kumchangia Lissu

Kweli watu wamejitoa kumchangia Lissu

Tusisahau hulka ya kitanzania ambayo baba wa taifa letu alitujengea "UMOJA NA MSHIKAMANO". Hata kama ni ccm bado wao pia ni watanzania, pia sio wanaccm wote wanaounga mkono udhalimu wa awamu hii.
Atakayeguswa achangie tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Janet anaweza kua amepanda mbegu ili Lissu apone

Mungu akikunyanyua hakuna wa kumpinga
Lissu alionekana tantalila ila ss matumbo yanawauma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauona mwisho mbaya kwa wabaya wa Tundu Lissu wanaelekea kujuta na wameanza kulaumiana wenyewe kwa wenyewe kwa ubaya waliutenda. Mungu ni mwingi wa rehema na kusamehe wajitokeze tu hadharani watubu na Mungu atawapa wepesi na ujasiri wa wao kujiona ni binadamu tena! Walipo sio binadamu bali wanyama tena waoga na wenye tamaa kama fisi. Wengine kwa msaada wa Mungu wataionja mauti kabla hata ya yule waliomkusudia hivyo basi wajisalimishe kwa Mungu ili watakapolala walale salama.
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.
Kale kaduka kako ka ki.senge hua wananunua nyu.mbu tu? Changieni changieni huyo tapeli yuda eskarioti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Anayechangiwa ni lisu sio hayo magongo.
kama HAKUFA KWA RISASI HATA KWA NJAA HATOKUFA.
Kumpiga chura teke ni KUMUONGEZEA MWENDO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.
Hela iliyojaa DAMU
nimemkumbuka mrembo Akwilina

Ukiwaza mara mbili eti ubani 80m,kuna mambo yanatia uchungu,ufanye ujinga halafu uwanyamazishe na fungu la nchi

Risasi yenyewe imetoka sijui kwa malaika


Maee...

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.

Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali

Naomba kuwasilisha.


😂😂😂😂😂😂😂😂 mamyto umevurugwa..hii tuiite Yesu atazisafisha kwa damu yake
 
Kuna la kujifunza hapo. Ujiulize ni kwa nini wanatoa bila shuruti na walikuwa wanalilia wapatiwe njia za kuwasilisha michango yao. And, people are still longing for such means of contribution to be well informed to them. Watu wana uchungu, hasira na mengi mengineyo.
Ni upepo tu..baada ya muda utaona kimya..take it from me..si unajua chadema kwa mihemko ya muda..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom