Kwani ulidhani anaomba pesa za kununulia suti? Usiwe akili tope moja kwa moja.Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Kwa hili ntakupinga mpaka mbinguni, rafiki yangu, chembe chembe za "Red Blood Cells".Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.
Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali
Naomba kuwasilisha.
Taratibu mkuu. Ndani ya CCM humo humo kuna watu wanajitambua sana akiwemo Mama Samia na Majaliwa.... Nawakubali.
Dah...leo kwenye mishe nimepiga buku 2....jero nimemtumia TL...aendelee kuaso..[emoji41]
Sent using Beretta ARX 160
umeongea kaa mfalme suleiman mkuuKuna la kujifunza hapo. Ujiulize ni kwa nini wanatoa bila shuruti na walikuwa wanalilia wapatiwe njia za kuwasilisha michango yao. And, people are still longing for such means of contribution to be well informed to them. Watu wana uchungu, hasira na mengi mengineyo.
Hivi inakuwaje mtu unakuwa na roho mbayaa na kikatili mpaka wakati wa mfungo wa kwarema ??Kuna la kujifunza hapo. Ujiulize ni kwa nini wanatoa bila shuruti na walikuwa wanalilia wapatiwe njia za kuwasilisha michango yao. And, people are still longing for such means of contribution to be well informed to them. Watu wana uchungu, hasira na mengi mengineyo.
ASANTE SANA DADA YANGU MUNGU AKUBARIKI POPOTE ULIPOBy Mange Kimambi
Tuendelee kumchangia Mh Tundu Lissu, Mpaka sasa zimefika M28 kwa mwezi March, kutoa ni moyo si utajiri.
.
.
Tafadhali tuma pesa kwenda #M_pesa 0754 616 564 au Tigopesa 0716445360 Jina FRANK MUGHWAI.......... Au kupitia benki ya #CRDB nambari ya akaunti 01J2043045300 TUNDU ANTIPAS LISSU.
View attachment 1046472
Mimi hapa ma 5m , na hata zikikosa kutosha mimi niko tayari kutoa zingine 5m au zaidi, walishindwa kumuua MHE lissu kwa risasi wanafikiri watamuua kwa kukosa hela ya matibabu, wajinga kweli wana ccmHuu ni upendo au ni kukomoa? Sentensi hiyo isitafsiriwe vibaya,
Kuna mtu anaweza kuambiwa kuna majanga au mafuriko akachangia hiyo?
Kuna mambo bwana si yote lazima yaandikwe hata nawatakieni michango miema
Kutoa ni Moyo, Tumchangie mwenzetu
View attachment 1046444
View attachment 1046442
Akiwa katika ziara hizo wewe unaangalia nini? Wenzako tumeona magongo na hata wheel chair yake alikuwa nayo. Nadhani unasema kwa ushabiki wa kuponda tu kama kawaida ya wauaji wengi humu na huko kunako mamlakaCHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
AMEN MKUUsafi sana, kwa wale wenye hela ndigo wasikate tamaa baada ya kuona slip hiyo ya million 5. tutoe hata buku lakn kwa wingi tutamvusha ndugu yetu
barikiwa kutoa ni moyo sio utajiri, mungu anabariki weye kutoa alicho nacho, kumbuka mama mjane aliyetoa sadaka ya cent 3 pekee ny yesu akasema huyu mjane tutamusoma milele,mi nishachangia efu Saba, si haba kwakweli
Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.
Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali
Naomba kuwasilisha.
Haaaaaa ati nini mkuu, umenena ukweli kabisa,najua hata kina mama samia na majaliwa wametoa kisiri, wale kweli hawajatoa ni jiwe na kibaraka wake bashiteUpinzani upo Moyoni na si katika Kusema, Jiwe labda uuwe woote Watanzania hapo utaua Upinzani! Usikute hata Samia, Janeth na Majaliwa wanaweza Mchangia Lissu, labda wewe na Bashite ndiyo hamuwezi.
Utani wako bhana. Ha ha haCHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hio itakuwa kinyume na katibaNaona Risk wanaweza freeze hata hiyo account....
Jina lako halifanani na tabia zako!CHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]