Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,967
- 831,513
- Thread starter
- #161
Hapana sio lazima uumwe sana wengi wameondoka na uzima waoAise basis sawa! Ni kwa nini hadi uumwe saaaaana ndio ufariki? ( najua kuna wachache wanafariki gafla usingizini nk) kama death is such a wonderful experience.????
Ugonjwa ni kiashiria cha kifo kwakuwa huleta ubovu mwilini
kama ndivyo MTU akijichokea maisha yake anaweza make it real na akafa kweli? Ila usijepractise ukapenda kuendelea kufa tutakumiss mnoo
.
