Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

Aise basis sawa! Ni kwa nini hadi uumwe saaaaana ndio ufariki? ( najua kuna wachache wanafariki gafla usingizini nk) kama death is such a wonderful experience.????
Hapana sio lazima uumwe sana wengi wameondoka na uzima wao
Ugonjwa ni kiashiria cha kifo kwakuwa huleta ubovu mwilini
 
Hapana sio lazima uumwe sana wengi wameondoka na uzima wao
Ugonjwa ni kiashiria cha kifo kwakuwa huleta ubovu mwilini
Mhhhhh.... Hiyo death meditation unaweza practise alafu ukafa jumla kama ndivyo MTU akijichokea maisha yake anaweza make it real na akafa kweli? Ila usijepractise ukapenda kuendelea kufa tutakumiss mnoo .
 
Mhhhhh.... Hiyo death meditation unaweza practise alafu ukafa jumla kama ndivyo MTU akijichokea maisha yake anaweza make it real na akafa kweli? Ila usijepractise ukapenda kuendelea kufa tutakumiss mnoo .
hapana death meditation is a very powerful tool na ni wachache mno wanaoiweza
Hii huambatana na uwezo wa kukaa si chini ya dakika tano bila kupumua, wengine hukaa mpaka nusu saa kuna post nitaeleza kwa kina
 
hapana death meditation is a very powerful tool na ni wachache mno wanaoiweza
Hii huambatana na uwezo wa kukaa si chini ya dakika tano bila kupumua, wengine hukaa mpaka nusu saa kuna post nitaeleza kwa kina
Haya bwana mshana.
 
Kuwa mbali na Mungu na dunia kututeka kwa sehem kubwa ndio sababu namba moja kukiogopa kifo. Kifo nikutoka hali ya mwili nakuingia hali ya roho sasa hapa ndipo shughuli ipo kwa mtu mwenye usafi wa roho nakumpenda Mungu kama Henock huwezi kukiogopa kifo. Kiukweli yapo maisha mazuri kuliko haya na pia yapo maisha mabaya na mabovu kuliko haya. Kumcha Mungu na kumpenda ni alama namba moja yakushinda adhabu yakaburi.
Wapo wanao kufa kwa kipigo kikali toka kwa malaika wa shetani
Ila wapo wanaokufa kwa kusindikizwa kwa nyimbo nzuri za ajabu kwenda kwa baba. Hawa ukibaatika kuwaona utashangaa sana huwa sura zao zinabadilika pia hata ile harufu ya maiti huwa huisikii yani wanapendeza kama hawajafa. Ndio maana wakati wanampiga Stefano mawe yeye akasema ninamuona Mwana wa Mungu sura yake ikabadilika kipigo alikuwa akikipata cha mawe kikabadilika kuwa ganzi mwilini na kwa furaha alikuwa nayo akasema Baba uwasamehe maana hawajuwi walitendalo. Kiukweli sio jambo rahisi kuwaombea msamaha wale wanaitoa roho yako. Kiukweli ipo miji mizuri na dunia hii ni kama uchafu tena uchafu wa chooni. Kuna majumba ya ajabu na kila mtakatifu anamiliki la kwake huko. Siwezi sema sana nitaendelea...
 
Kifo kipo ila watu mashauzi kama hawafi ... Kutesa wenzao n.k
 
wacha kunilisha tongo pori
mimi nmewahi kuexperience ,vile kama pumzi inakata....
kwanza mawasiliano yanakata unasikia kimya... halafu unaanza kuona ndo basi tena ,kile kitendo cha kuona ndo basi kibaya usisikie...
halafu unaanza kuota vitu vya ajabu unamfata mtu unamuita haitiki, unaongea na watu wanaendelea na mambo yao.
unalia mno
hapo sikufa ,nilionja ⅓ yani nilionja kama punje ya choroko

kufa kubaya sana
kaka mshana sitaki kuamini
kufa kunoga dada
 
Ntakufa lini na nitakufaje au nitakufa nkiwa msafi(kiroho)..ndo kinachofanya niogope kifo.Kwasababu pia ukifa maumivu yapo..stoweza kuhema nakadhalika.Kwa hiyo Lazima niogope kifo,its a once in a lifetime experience.
 
Kimsingi binadamu aliumbwa ili aishi milele kifo si asili yake ndo maana anaogopa,kifo ni moja ya adhabu iliotolewa baada ya mwanadamu kumuasi MUNGU
 
Ni kweli kuna members wamesema kuwa kifo ni kama unapochomwa sindano ya nusu kaputi, huelewi, huhisi, wala husikii chochote kinachoendelea duniani.

Jinsi unavyoshonwa na nyuzi ikiwa unafanyiwa operation, jinsi unavyogeuzwa geuzwa. Mara umehamishwa toka wodi fulani mpaka fulani, mara umechomwa sindano whether wanakuongezea maji/damu hapo hakuna chochote unachohisi ndivyo kifo kilivyo.

Hutahisi chochote, tunachoogopa ni maumivu na hofu kabla hatujafikia moment hiyo ya kutosikia,kuhisi na kuona chochote.

Ndio maana Wakristo wengine tunaamini wafu hawajui neno lolote.
 
hapana death meditation is a very powerful tool na ni wachache mno wanaoiweza
Hii huambatana na uwezo wa kukaa si chini ya dakika tano bila kupumua, wengine hukaa mpaka nusu saa kuna post nitaeleza kwa kina
 
Ni kweli kuna members wamesema kuwa kifo ni kama unapochomwa sindano ya nusu kaputi, huelewi, huhisi, wala husikii chochote kinachoendelea duniani.

Jinsi unavyoshonwa na nyuzi ikiwa unafanyiwa operation, jinsi unavyogeuzwa geuzwa. Mara umehamishwa toka wodi fulani mpaka fulani, mara umechomwa sindano whether wanakuongezea maji/damu hapo hakuna chochote unachohisi ndivyo kifo kilivyo.

Hutahisi chochote, tunachoogopa ni maumivu na hofu kabla hatujafikia moment hiyo ya kutosikia,kuhisi na kuona chochote.

Ndio maana Wakristo wengine tunaamini wafu hawajui neno lolote.
Uko sahihi nafikiri watu wanaogopa ile process ya kufa yaan unavyopitia zile 5 stages of guilty pale ndo balaa
 
Ikifika mwaka ef 3 hakuna kiumbe kitakachosalia humu...wote tushaenda na maji
 
Umejibu vyema kulingana na imani yako, sikuwahi kuwaza kwamba kuna watu hawatoonja mauti
Ndio, wapo watu ambao walilifika Mbinguni na wamaenjoy bila kujua ladha ya KIFO au UMAUTI

Hili pia litatokea kwa wengi tu

Katika Imani ya Kikristo, kuna mahala tunapatamka kiila jumapili kuwa

Naye (YESU) atakuja kuhukumu Walio hai na Wafu.

Hao walio hai hawataonja umauti.
 
Naomba ufafanuzi kidogo unaposema kuelekea mbinguni. Huko mbinguni ni wapi?????
Well,

Sisi Wakristo tunaamini kuwa Mbinguni ni mahali pa juu patakatifu waishipo watakatifu.

Watakatifu hao, ni

-Mungu

-Malaika

-Wazee 24 (waliofanikiwa kuyashinda ya dunia na kufika huko pasipo kupitia Umauti)
 
Back
Top Bottom