Siwez kutabiri!..ila naogopa sana!..na bahati mbaya hata nikienda msibani kwa mtu wangu wa karibu huwa sielewi km kweli amekufa au vipi.?Guess who is the next.....![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaaaaaa unaogopa wale funza?
jogi the secret is very simple! Tunakitazama kifo kwa jicho la huu mwili uozao badala ya ile roho isiyokufa mileleWatu wanajivika hali ya maiti ndio maana wanaogopa.
Mfano kufukiwa na udogo, kuchomwa moto, kuoza, upweke n.k
Even though, time is too short to spend in worries.
Ukifa unakabiliana na hali za wafu. Si hiyari ndivyo huwa.
ukajiskiajeSio kukaribia tu, nimeshawahi kupractice death meditation ile ya kuwekwa kabisa kwenye jeneza na kufungiwa chumba chenye giza totoro kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa ile mida ya wanga
Nadhani, ila pamoja na yote kifo kinatishaNi kwavile ishu ya kifo unaitazama kimwili zaidi kuliko kiroho
wacha kunilisha tongo poriVery very wonderful experience, yani mtu unaweza kutamani kuendelea kufa








