Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

IMG_20170404_095814_825.jpg
tafuta movie hiyo..... Kifo kinatsha sana. Usiitazame usiku.
 
Death is not to be feared! It's one of the state of which you should smile at. When you know 'Why you have Life ' and start to live accordingly, you'll find Death to be a motivator and not an inhibition fact. Live Fully, Die empty, smile at your Death.

LIVE BEFORE YOU DIE!
Acha kudanganya wewe.Tupo duniani kwa sababu maalum ebu fikiria.
Kila mmoja ni mchunga ataulizwa kwa kile alichokuwa anachunga,kila nafsi itaonja umauti,na kwangu mtarudishwa tuu kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake. Mi namini kifo ni daraja
 
Swali zuri sana.

Sisi Wakristo tunaoiamini Biblia, tunaamini mambo makubwa mawili kuhusiana na suala hili.

MOSI,

Wapo manabii wakubwa wawili ambao ni Elia (Elijah) na Henoko (Enock) waliotwaliwa na Farasi wa moto kuelekea Mbinguni.

Kuna ushahidi katika hilo kwani Henoko alimwona Elia akitwaliwa kisha akamwachia joho (wakiwa pamoja)


PILI,

Tunaamini kwa HAKIKA kuwa Yesu Kristo atarudi mara ya pili wakati wa unyakuo na wapo watakaotwaliwa wakiwa HAI na wengine wakiwa makaburini yaani maiti.

Hao watakaotwaliwa wakiwa hai watakuwa ni miongoni mwa Nafsi ambazo zitahukumiwa ila "HAZITAONJA UMAUTI"

Sawa?
Kwa imani yangu kila nafsi itaonja umauti(kila kiumbe) hata malaikawatakufa atabaki m/Mungu tu
 
Hizo habar za kufa ukifikiria unagundua umuhimu wa kuishi maisha ya kumpendeza mungu
 
Greeting!!
So mkuu unaamin katia incarnation? Me nilipitia kusoma mahala nikajawa na iman kuhusu roho kuishi milele.. ila nawaza mf nipo mwanza nikifa roho itawonder hapa hapa mwanza au itaenda mbali na hivo kuweza kua kiumbe i.e congo or oman or mafia etc?Cc; mshana jr
Ulimwengu wa roho hauna mipaka ya kibinadamu na roho ikishazaliwa haifi milele
 
Utavaa uhusika mwingine ama utakuwa hungry ghost au kubaki kaburini kwenye blissful state (pepo)
Naomba maelezo ya blissfull state, hungry ghost (usinchoke plz)

Yaaan I am wondering all the souls.. mana dunian kwa karne na karne kuna watu billions and trillions wamekufa i.e kupitia vita maradhi umri tu kuzeeka etc etc Je wamekua viumbe wengine i.e binadamu? Au wamekuwa wanyama?

Na je kuku ngombe mbuzi na wanyama wengine waliowao souls zao zinakuaje? Na wale wa porini je? Fisi simba popo faru hippotamus tembo? Process ni hyohyo?

Nadhan kuna mengi zaidi yakuhitajika kujua hapa!!
 
Ulimwengu wa roho hauna mipaka ya kibinadamu na roho ikishazaliwa haifi milele
Sawa, kwa hiyo roho Yangu itaenda chins Russia Kenya nknk na sio mbinguni...

Baada ya kifo ni hukumu!
 
Back
Top Bottom