Bwana Banzi
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 464
- 251
Mhhhhh hivo vyuo vikuu vimewasaidiaje na ni wangapi wamefika hivo vyuo vikuu
Wengi sana wamefika vyuo vikuu
Mhhhhh hivo vyuo vikuu vimewasaidiaje na ni wangapi wamefika hivo vyuo vikuu
Hiyo Tanga imegawanyika kuna Tanga Pwani na kuna Tanga Bara.Wenyeji wa Pwani Tanga wako tofauti kimaisha na wenyeji wa Tanga Bara.Wenyeji wa Pwani Tanga si rahisi kumkuta kulala na mbuzi chumba kimoja.hakuna watu wa pwani wanalala na mbuzi chumba kimoja?!!! mkuu ulishawahi kutembelea tanga? me naongea hapa sio kama ni kudhalilisha hapana! nimetembea pwani na mikoa mingine kuna tofauti kubwa sana ya kimaisha kwa ujumla.
Mda wa kuswali hauzidi dakika kumi.Kwa mfano swala ya alfajiri ni saa kumi na moja alfajiri,dakika kumi tu,swala inayofuata ni saa saba mchana,dakika kumi tu,masaa nane mazima kutoka saa kumi na moja alfajiri mpaka saa saba mchana,ni masaa manane ya kufanya kazi.Swala ya Tatu ni saa kumi Jioni,dakika kumi,na ya nne ni saa kumi na mbili unusu,na ya Tano ni saa mbili usiku,zote ni dakika tano tu.Angalia swala ya alfajiri saa kumi na moja mpaka swala ya saa saba tena,zote ni dakika kumi kumi tu,kuna Masaa manane billa swala,masaa manane hayo hajafanya kazi na kupata maendeleo?Umeeleza vizuri kuhusu waarabu lakin ungekuwa straight utamaduini upi wa waarabu...kwangu mm ni Dini walioleta...kwa watu wa pwani pia mikoa iliyotajwa na member mmoja wa hapa kuna mikoa ya kighoma na Tabora kwa ukiangalia hiyo tamaduni zao za dini zimeleta hizo.....
- Kuswali mara 5 kwa siku utafanyaje kazi after 2 hrs unaswali na utazalisha nn
- Taamduni za kiarabu ni kupenda zaidi wake zao..ndio sababu katika majeshi yetu wazaramo na watu wote wa pwani uwezi kuwakuata wengi.....mtu wa pwani awezi kumwacha mke wake aende lindoni usiku..zingatia majeshi yote yameanzia pwani lakini watu wa bara ndio waliomo wengi zaidi.....!!! km wakurya, wanyakyusa nk....mtu wa pwani hakuona kaz ya jeshi muhim kwa wivu wake wa kuacha mke aende Guard Usiku.
- Angalia mikoa ya bara yenye asili ya pwani ni maskin mf Tabora, Ujiji Kighoma, Ilula Iringa...Tanga , Kondoa dodoma, mitaa pia wanaoshi kipwani ni maskini kwa sababu nilizotaja....
- Kama mikoani mf Iringa maeneo mengi wanaendelea kwa kilimo lakin pia biashara ya Kiti moto, pombe, ndio inawoengezea kipato wenyeji ss km uko na tamaduni za kiarabu uwez kukuza kipato....Rungwe mbeya Mfugo kama nguruwe ni km kila mtu anafuga kuku na wanauza sana na wakazi wa rungwe wako vizuri kuichumi
- Ukubwa wa familia...Mitala pia ni tamaduni za kiarabu zinachangia familia kuelemewa na kusababisha umaskin ktk kuahakikisha familia inapata mahitaj stahili au in short ni kutokuwa na quality family watakayoimudu.... tamaduni za kiarabu ni kuzaa na kuoa wake wengi.....
tatizo ni uarabu.
Hii sio ya hapaMzee Mwanakijiji,
Kweli umefunga kazi na tamati ya huu mjadala. hakuna asiyekubaliana na mawazo yako unless huyu mtu ana matatizo yake.
Aljazeera,
Ndugu yangu hukunielewa kabisa. Sikusema kwamba wewe umesema hivyo,isipokuwa maelezo yako kwamba Chadema walikuwa na kila haki ya kutumia helikopta kwa sababu ndio kwanza walimweka mgombea wa ktk kiti cha Urais.
Hii ina maana kwamba kama Mbowe asingesimama kugombe Urais basi hata wewe ungekubali kuwa haikuwepo haja ya kufanya hivyo. Hivyo basi hakuna tofauti na kusema lengo la kutumia hiyo helikopta ni kumweka Mbowe Ikulu.
Anyway, Mzee mwanakijiji kesha hitimisha, mpunga mezani tule na tusambae tuangalie mengine, ikiwa bado una hoja kuhusu swal hili nadhani hakuna haja ya kulimeza. Tunafahamishana hapa na nadhani huum mwisho wa Mzee mwanakijiji umetokana na maelezo yetu sote toka huko tulikoanzia. Kilichobaki J J Mnyika atayachukua yetu na yenu pale penye mapungufu na kuyafanyia kazi huko Chadema.
Kumbuka tu sii vibaya kuwa Optimistic na Pessimistic kwa wakati mmoja.
Kwa kupitia Optimism - Waliweza kuunda ndege Ulaya (airplane) na kupitia Pessimism walitengeneza Parachuti. Hii haina kutengenezwa kwa hilo parachuti ilikuwa kuwekea shaka uundaji na matumizi ya ndege.
Hawa ndio wanamaendeleo huko bara?Wanaolima na jembe la mkono.
Mji wa Dar es salaam,umeanziahwa na waarab,na ndio mji wenye maendeleo kuliko mji wowote Tanzania,miji walioishi wazungu wa kigalatia ni shida tupu,ukianzia Dodoma,wenyeji ni omba omba wa kutupwa,ukija Bukoba ni wakujiuza miili,ukija Morogoro ni vibarua wa mashamba omba omba kila kona,ukienda shinyanya ni vibarua wa mashamba,singinda njaa tupu.Tanga alipoingia Mjerumani aliitia umaskini sana.
kweli hapa napo kuna tatizo cc crabat
Amekuelewa,akijifanya hajakuelewa,ujiwe kakuelewa.Hata mbara namba moja alipenda sana kulicheza hili.
Alihamia nalo butiama.
Pia elewa huu ni ubunifu wa watu wa pwani katika mambo ya ku past time.
Sasa hivi mnaenda kulewa baa mpaka alfajiri.
Huo mchezo ni akili na ni sawa na Chess ambayo inachezwa huko kwa mabosi zenu..jitambueee
Aliyekudanganya Muarabu hakukaa Dar ni nani.Mpaka jina la Dar es Salaam ni jina la kiarabu.Muarabu alileta ujuzi wa kutengeza Majahazi makubwa,kutengeneza zana za kuvulia,amempa ujuzi huo mwenyeji wa pwani mpaka leo anautumia kumuendeshea maisha yake.Pale unapokula samaki na sembe,ujuwe hayo ni matokeo ya kuja muarabu Tanzania.Kihistoria MIJI waliokaa waarabu ilibaki nyuma daima, Dsm kumbuka haikuendelezwa na waarabu hata kidogo na mwarabu hakukaa sana hapa! Na mwarabu hakuendeleza lolote sujui kama ufahamu au shule yako ikoje ila huu ndio uweli! Bora hata Wazungu walijenga reli.
wengi kulinganisha na akina nani,Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.
Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?