Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Status
Not open for further replies.
Mkuu ulichoandika ni ukweli 100%

Nyie watu wa bara hamtujui sisi watu wa Pwani, sisi tunaamini kila mtu huja na riziki yake toka kwa Mungu, ushahidi ninao, je umewahi kumuona ombaomba wa kizaramo hapo Dsm, omba omba wote wanatoka bara kwa watu wenye future.

La pili, sisi sio Watwana, watwana ndio wanaohangaika usiku kucha. Nakupa mfano, angalia hapo Dsm, kesi za mipaka ya ardhi ni za ninyi wakuja toka bara.

Nikupe la tatu, future ni moja tu, ni siku ya kiama, upo hapo kaka?
 
naona umewataja wazaramo hapo!ngojea wenyewe waje. mimi nimeshakuandalia jeneza maana nina uhakika watakusema wewe mpaka utapoteza maisha!!
 
cc; mzaramo unaitwa miyangu.... ntarudi asubuhi kusoma kilichoendelea....
 
Last edited by a moderator:
Nimefanya Utafiti huu kwa zaidi ya miaka mitano na nikajiridhisha kuwa ndugu zangu wa mikoa yote ya pwani ni wazito sana ktk kupanga mikakati ya maisha yao ya baadae,nilikuwa London na rafiki yangu mmoja ------ nikiishi naye ktk apartment moja,huyu jamaa ana roho nzuri sana tatizo ni mvivu ile mbaya,akiwa na hela mfukoni haendi kwenye part time job hadi mfuko ukauke(huko ni ngumu kupata kazi ya kudumu kwa wageni) ukija Dar Ndugu Zangu Wazaro,wanaishi Maisha Ya Ajabu Sana,utakuta Kijana Hajihangaishi Kwa Lolote eti anasubiri baba yake afe ili arithi nyumba,au mtu ana nyumba ilala au kariakoo ya mil 200 lakini watoto wake ni vibaka na alishindwa kuwasomesha,wakati angeweza kuuza hiyo nyumba then akajenga mbagala nyumba ya mil 80 ile mil 120 anabuni miradi mbalimbali ya kuingiza kipato then watoto wake waweze kwenda shule,lakini hawa ndugu zangu sijui wakoje,hiyo ni mifano michache kati ya mingi mno ya kushangaza ya hawa watu,sijui labda kama nimekosea natanguliza msamaha maana nisije kuambulia ngeu na kipigo.

SI kweli karikoo kwa sasaivi nyumba ya mil200 haipo
 
Wazaramo wengine tumejichanganya viwanja vikubwa hatuendekezi uvivu usiwe na mawazo finyu ya kufikiri kwa ukabila mshamba wewe.

Umefanya research research yako imetumia methodology gani?

Imetumia control gani?

Ina margin of error gani?

Imekuwa published katika peer reviewed journal gani?

Sio umejidamkia na kujipachika kisirani chako chenye inda juu ya watu wa Pwani, unakuja hapa na kuita "research".
 
Wazaramo wengine tumejichanganya viwanja vikubwa usiwe na mawazo finyu ya kufikiri kwa ukabila mshamba wewe.

Umefanya research research yako imetumia methodology gani?

Imetumia control gani?

Ina margin of error gani?

Imekuwa published katika peer reviewed journal gani?

Sio umejidamkia na kujipachika kisirani chako chenye inda juu ya watu wa Pwani, unakuja hapa na kuita "research".

haya maswali uliomuuliza hatoweza kujibu ,huyu mtoa mada Ana kiranga
 
akili za wakuja siku zote zipo nyuma...nani amekwambia future anapanga binadamu?
Haya sisi hatufanyi kazi na wavivu lini umemuona ombaomba wa kizaramo akikatiza mitaani zaidi yenu nyie unaokurupuka maporini huko kuja mjini kutafuta maisha utadhani uliyapotezea huku kama kweli nyie mahodari kwanini msikae kwenye vijiji vyenu huko mkapaendelezea kuwa kama huku mnapopakimbilia!?
Kwanza mtu mwenyewe huwezi hata kupanga maelezo unasema wavivu tunategema urithi ujiulizi hao wazee wetu hizo nyumba za urithi walizipata wapi kama walikuwa wavivu?
karibu Dar Es Salaam piga kazi ukasaidie familia yako sisi Watoto Dar hatuna muda wa kukimbizana na nyie wakuja
 
Nimefanya Utafiti huu kwa zaidi ya miaka mitano na nikajiridhisha kuwa ndugu zangu wa mikoa yote ya pwani ni wazito sana ktk kupanga mikakati ya maisha yao ya baadae,nilikuwa London na rafiki yangu mmoja ------ nikiishi naye ktk apartment moja,huyu jamaa ana roho nzuri sana tatizo ni mvivu ile mbaya,akiwa na hela mfukoni haendi kwenye part time job hadi mfuko ukauke(huko ni ngumu kupata kazi ya kudumu kwa wageni) ukija Dar Ndugu Zangu Wazaro,wanaishi Maisha Ya Ajabu Sana,utakuta Kijana Hajihangaishi Kwa Lolote eti anasubiri baba yake afe ili arithi nyumba,au mtu ana nyumba ilala au kariakoo ya mil 200 lakini watoto wake ni vibaka na alishindwa kuwasomesha,wakati angeweza kuuza hiyo nyumba then akajenga mbagala nyumba ya mil 80 ile mil 120 anabuni miradi mbalimbali ya kuingiza kipato then watoto wake waweze kwenda shule,lakini hawa ndugu zangu sijui wakoje,hiyo ni mifano michache kati ya mingi mno ya kushangaza ya hawa watu,sijui labda kama nimekosea natanguliza msamaha maana nisije kuambulia ngeu na kipigo.

Watu waliokosa future ni Maiti tu

Ila kila anaepumua ana future yake bro

Au uliwauliza wana future gani wakakwambia 👉atuna future ?

Mi nadhani umekurupuka auna cha miaka tano wala kumi unatupga kamba tu🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Wazaramo wengine tumejichanganya viwanja vikubwa hatuendekezi uvivu usiwe na mawazo finyu ya kufikiri kwa ukabila mshamba wewe.

Umefanya research research yako imetumia methodology gani?

Imetumia control gani?

Ina margin of error gani?

Imekuwa published katika peer reviewed journal gani?

Sio umejidamkia na kujipachika kisirani chako chenye inda juu ya watu wa Pwani, unakuja hapa na kuita "research".

Mkaribishe mjini kwanza huyu mpeleke akatoe funza miguuni
 
akili za wakuja siku zote zipo nyuma...nani amekwambia future anapanga binadamu?
Haya sisi hatufanyi kazi na wavivu lini umemuona ombaomba wa kizaramo akikatiza mitaani zaidi yenu nyie unaokurupuka maporini huko kuja mjini kutafuta maisha utadhani uliyapotezea huku kama kweli nyie mahodari kwanini msikae kwenye vijiji vyenu huko mkapaendelezea kuwa kama huku mnapopakimbilia!?
Kwanza mtu mwenyewe huwezi hata kupanga maelezo unasema wavivu tunategema urithi ujiulizi hao wazee wetu hizo nyumba za urithi walizipata wapi kama walikuwa wavivu?
karibu Dar Es Salaam piga kazi ukasaidie familia yako sisi Watoto Dar hatuna muda wa kukimbizana na nyie wakuja

Nasikia watu wa pwani ni wajuzi wa kupata fedha kwa njia ya chuma ulete,ivi ni kweli maneno haya?Nauliza tu!!
 
hivi kosa la watu wa pwani ni kuwakaribisha nyie wakimbizi uko mikoani kwenu na kuja kuhemea,
yani maskini akipata m.a.**ko hulia mbwata,haya lakini shukrani ya punda kila siku ni mateke.
fanya wewe hiyo future acha wenyeji waendelee na sterehe ulizowakuta nazo.
 
Nani Mvivu kati ya wewe uliyekimbia kwenu kulima kuja mjini na yule aliyebaki kwao kufanya yake....!!usiishi kwa hadithi,wavivu hata kwenu wapo na ndo maana ombaomba mjini hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom