Kwanini watu wengi wa Dar wana umbo la mviringo?

Kwanini watu wengi wa Dar wana umbo la mviringo?

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,183
Reaction score
8,334
Watu wa Dar waume kwa wanawake ni kama watu wa familia moja. Walio wengi wanaumbo mviringo kama kiazi ulaya!

Ningumu kujua kama mtu wa Dar anakwenda au anarudi, ngumu kujua mgongo ni upi na tumbo na kifua ni vipi .Miili Yao imeunganika kama matikiti maji.

Shida ni nini hapo Daslamu?
 
downloadfile-152.jpg
 
Hii ni Tanzania nzima, sio Dar tu.

Mtindo wa maisha ni wa kushindia nafaka kama wali, ugali na chapati.

Pirika pirika za utafutaji haziruhusu muda wa kufanya mazoezi. Pia hatuna utamaduni wa mazoezi.

Mwisho ni imani potofu kwamba unene ni "mwili wa kiutu uzima" na mwanamke mnene ni mrembo kwasababu ya makalio yake makubwa.

Ukifikisha umri wa makamo(35-50) bila kiriba tumbo una bahati.
 
Watu wa dar waume kwa wanawake ni kama watu wa familia moja. Walio wengi wanaumbo mviringo kama kiazi ulaya!

Ningumu kujua kama mtu wa dar anakwenda au anarudi, ngumu kujua mgongo ni upi na tumbo na kifua ni vipi .Miili Yao imeunganika kama matikiti maji.

Shida ni nini hasa hapa Daslamu?

View attachment 3626377
Huyo atakuwa Mwijaku
 
Hii ni Tanzania nzima, sio Dar tu.

Mtindo wa maisha ni wa kushindia nafaka kama wali, ugali na chapati.

Pirika pirika za utafutaji haziruhusu muda wa kufanya mazoezi. Pia hatuna utamaduni wa mazoezi.

Mwisho ni imani potofu kwamba unene ni "mwili wa kiutu uzima" na mwanamke mnene ni mrembo kwasababu ya makalio yake makubwa.

Ukifikisha umri wa makamo(35-50) bila kiriba tumbo una bahati.
"na mwanamke mnene ni mrembo kwasababu ya makalio yake makubwa."


Hili huwa linashangaza sana
 
Hii ni Tanzania nzima, sio Dar tu.

Mtindo wa maisha ni wa kushindia nafaka kama wali, ugali na chapati.

Pirika pirika za utafutaji haziruhusu muda wa kufanya mazoezi. Pia hatuna utamaduni wa mazoezi.

Mwisho ni imani potofu kwamba unene ni "mwili wa kiutu uzima" na mwanamke mnene ni mrembo kwasababu ya makalio yake makubwa.

Ukifikisha umri wa makamo(35-50) bila kiriba tumbo una bahati.
Screenshot_20260523_213707_Instagram.jpg
Screenshot_20260710_163330_Instagram.jpg


RRONDO
 
Watu wa Dar waume kwa wanawake ni kama watu wa familia moja. Walio wengi wanaumbo mviringo kama kiazi ulaya!

Ningumu kujua kama mtu wa Dar anakwenda au anarudi, ngumu kujua mgongo ni upi na tumbo na kifua ni vipi .Miili Yao imeunganika kama matikiti maji.

Shida ni nini hasa hapa Daslamu?

View attachment 3626377
Huyu kwenye picha ni AI au IA?
 
Back
Top Bottom