Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Status
Not open for further replies.
Kwa sababu wanamidomo sana, maneno mengi, ushirikina wa kidini, kufuata dini ya amani ambayo haithamini maisha ya kibinadamu zaidi ya umwinyi, umbeya, wivu na majungu. Na ukiangalia maeneo yote tanzania yanaokaliwa na watu wa dini ya amani hayana mwelekeo.
Ingelikuwa bar a kwenye dini ya mzungu,kungekuwa na utajiri msingekimbilia Pwani.Wabara mmejazana Pwani ya Tanganyika mpaka ya Zanzibar.Kama bara kuna neema Pwani mwaja fanya nini?
 
Kwa ujumla, umaskini chanzo chake kikubwa ni "Ufahamu" wa mtu ama watu wahusika wenyewe na katika huo "Ufahamu" wa mtu au watu ndipo unakuja kuona ama kukutana na vitu ambavyo mtu ama watu wanavipokea kama ndiyo ukweli/viyu wanavyoamini yaani "Imani"; na kutoka kwenye "Imani" ndipo sasa kunajitokeza vitu ambavyo mtu ama watu wanapenda kuvifanya yaani "Matendo". Pi a ikumbukwe kwamba "Ufahamu" wa mtu ama watu mahali popote pale unategemea zaidi mtu ama watu hao wanasikia kitu ama vitu gani. Hivyo "Ufahamu" wa mtu utajengeka kutokana na kile ambacho amekuwa akisikia mara kwa mara. Mfano, endapo wewe umekuwa ukisikia mara kwa mara kuhusiana na ushirikina na 'UkasikIa' (Kumbuka; kuna 'kusikia' na 'KUSIKIA') yaani "Imani" yako ikajengeka katika hilo basi "Matendo" na nyenendo zako zitakuwa ni zile za kishirikina shirikina; au kama mazingira yako yametawaliwa na "ufahamu" kidogo basi hata wewe mwenyewe "ufahamu" wako utaishia kuwa mdogo tu. Kumbuka kujikwamua na umaskini kunahitaji upana wa mawazo/uwezo wa kuchanganua mambo au pengine naweza kusema "Ufahamu" wa kuchanganua mambo na nyakati ambao utaendana sambamba na ni vitu gani ama mambo yapi ambayo wewe kama mhusika unayapokea kama ndiyo ukweli, yaani unaamini vitu gani (Imani) na hatimaye Kusikia; Ufahamu pamoja na Imani yako vitapelekea "Matendo" na nyenendo zako katika maisha yako ya kila siku. Kwa mtazamo huo, endapo mtu amekuwa akisikia maovu/mambo yasiyo na faida basi vivyo hivyo ufahamu wake utakuwa hauna faida, imani yake itajengeka katika mambo ya hovyo na yasiyo na faida pia na hali kadhalika matendo yake kamwe hayataleta matokeo mazuri ikiwemo kujikwamua na umaskini n.k.

Samahani, huo ndio mtazamo wangu kuhusiana na umaskini wa mtu wa kabila lolote, nchi yoyote, mahali popote pale na rangi yoyote ile. Hii inatokana na ukweli kwamba kila mtu mahali popote pale Mwenyezi Mungu yuko tayari kumpa "Kibali" endapo tu atafanya vyema (Mwanzo 4:6-7).
 
Ingelikuwa bar a kwenye dini ya mzungu,kungekuwa na utajiri msingekimbilia Pwani.Wabara mmejazana Pwani ya Tanganyika mpaka ya Zanzibar.Kama bara kuna neema Pwani mwaja fanya nini?
mkuu ukiona watu wanakimbilia sehemu ujue pale wanapokimbilia wenyeji wamelala hawajui kuchangamkia opportunity. wabara wamekimbilia pwani wakanunua dsm yote wakawafukuzia wazaramo kwenye mabonde ya kulima mchicha na wengine wako pembeni ya mji wanazidi kufukuzwa. wasingekuwa na utajiri wangewezaje kununua ardhi? wenyeji wachache sana dsm wanamiliki ardhi kwa sasa. wengi wao wameuza na hela walishakula wamerudi kupanga nyumba kwa wabara waliokuwa wamewauzia ardhi.
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?


Ngono sana hao
 
Ngono sana hao

Ngono asili yake watu kujiachia kama haina bei..hutoka bara kuja pwani ati nayo ni kazi .
Sasa ngono hio inamaliza wabara kwa ukimwi.
Vijiji ukienda mayatima watupu.
Tuache ujinga huu wa kutukana watu ......wabara hebu msitukane mkunga wakati uzazi ungalipo
Jitambueni hamna lolote
 
mkuu,nishakuchoka sasa na ajenda zako za kidini,hata mambo yanayohitaji akili ya kawaida kabisa lazima uchomekee udini,nyerere hivi nyerere vile,mbona tumeshakuwa na maraisi waislamu wawili?mwinyi na sasa kikwete hajaondoa tu mfumo kristu?.hivi waisalamu ni akina nani?kwanini kila kitu uislam?kwendeni zenu huko.hata common sense uislamu?to hell with shit

Hizi Mada ni kwa wenye akili tu. Wakati wa Utawala wa Mwinyi, Nyerere alivyoona Mwinyi analeta Mafanikio kutoka kwenye Njaa Alio iacha hadi Neema, akanza kumuandama Mwinyi akisaidiwa na KKKT. Rejea kikao alichokifanya Mwinyi na Wazee wa Dar-es-salaam pale Starlight. Usisahau Majibu ya Mwinyi pale Uwanja wa Taifa alio Mjibu Nyerere kutokana na kauli yake kua nchi inaongozwa na Mwanamke. Mwinyi alisema hivi. ''Ukiwa Mtoni unaoga, akaja chizi akachukua nguo zako, Usimfukuze, Maana watu watashindwa kujua ni nani chizi". Babu yenu aliku anasumbuliwa na Udini hadi nchi ikamshinda akakimbia eti akajidai nangatuka. Nchi ilikua kwenye njaa, Viwanda vyote vimekufa, Mfumuko wa Bei n.k.
 
Swali lilikuwa ni kwa nini watu wa pwani ni maskini? Nikaseema upashkuna na ushrikina. Sasa unaongezea hoja kwamba ni kweli hawana ufahamu wa mali diyo maana pamoja na kwamba wanaishi kwenye mali bado ni maskini sana.

Kwa hiyo kusema twaja fanya nini pwani, jibu lake, twaja kuchuma hizo mali ambazo wapwani hawanakazi nazo kwa sababu kwanza hawajui maendeleo ni nini, wamekalia maneno ya uswahili kama wewe hapa, na ushirikina wa dini yao ya machinjio ya amani, wivu, malalamiko na midomo mirefuuuu kama wako. Wala hawahitaji kuwa na mali kwa sababu kwao maisha ni maneno, bao na kuvaa misuri.

Ingelikuwa bar a kwenye dini ya mzungu,kungekuwa na utajiri msingekimbilia Pwani.Wabara mmejazana Pwani ya Tanganyika mpaka ya Zanzibar.Kama bara kuna neema Pwani mwaja fanya nini?
 
Hizi Mada ni kwa wenye akili tu. Wakati wa Utawala wa Mwinyi, Nyerere alivyoona Mwinyi analeta Mafanikio kutoka kwenye Njaa Alio iacha hadi Neema, akanza kumuandama Mwinyi akisaidiwa na KKKT. Rejea kikao alichokifanya Mwinyi na Wazee wa Dar-es-salaam pale Starlight. Usisahau Majibu ya Mwinyi pale Uwanja wa Taifa alio Mjibu Nyerere kutokana na kauli yake kua nchi inaongozwa na Mwanamke. Mwinyi alisema hivi. ''Ukiwa Mtoni unaoga, akaja chizi akachukua nguo zako, Usimfukuze, Maana watu watashindwa kujua ni nani chizi". Babu yenu aliku anasumbuliwa na Udini hadi nchi ikamshinda akakimbia eti akajidai nangatuka. Nchi ilikua kwenye njaa, Viwanda vyote vimekufa, Mfumuko wa Bei n.k.
Alisema eti anajaribisha ujamaa na kujitegemea.
kujitegemea watoto wanatembea makalio yako wazi?
 
Swali lilikuwa ni kwa nini watu wa pwani ni maskini? Nikaseema upashkuna na ushrikina. Sasa unaongezea hoja kwamba ni kweli hawana ufahamu wa mali diyo maana pamoja na kwamba wanaishi kwenye mali bado ni maskini sana.

Kwa hiyo kusema twaja fanya nini pwani, jibu lake, twaja kuchuma hizo mali ambazo wapwani hawanakazi nazo kwa sababu kwanza hawajui maendeleo ni nini, wamekalia maneno ya uswahili kama wewe hapa, na ushirikina wa dini yao ya machinjio ya amani, wivu, malalamiko na midomo mirefuuuu kama wako. Wala hawahitaji kuwa na mali kwa sababu kwao maisha ni maneno, bao na kuvaa misuri.
Uliona wapi watu wa Pwani wakenda Bara na kuwa omba omba.Dar imejaa omba omba kutoka Bara,kila wakikamatwa kurudishwa kwao,wanarudi tena.Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar,Makamba alijitahidi kuwarudisha omba omba,lakini wapi wanarudi tena.
 
Hawahhitaji kwenda kokote kwa lolote kwa sababu hawajui hata kama ni maskini. Hawajui kama wanahitai maendeleo na kwanza maendeleo hawayajui wakaombe nini wakti hakuna wanalojua zaidi ya kula, majungu, kuvaa misuri, umbeya na kuua watu?

Siku wakijui coastal area is fertile for various crop productions, watasafiri sehemu nyingi kutafuta mbegu bora za kuzalisha na masoko ya bidhaa. sasa unataka wasafiri ndotoni wakati hawana hata ufahamu? Ni kama wewe hapa unayedhani pwani maana yake ni Dar na kuonyesha dhahiri kwamba hamfahamu kama niyin imaskini na hamjui hata watu wa bara wanafuata nini pwani.

Watu wa bara wanakwenda pwani kwa sababu kuna fursa za maendeleo zisizotumika kwa sababu ya ujinga wa wenyeji wanaodhani maendeleo ni kula na kupiga midomo!.


Kwanza tuyaache haya mambo ni utani mbaya. Hakuna mtu anapenda kuwa maskini. Hujambo lakini mtani wangu???
Asubuhi njema jamaa yangu!.


Uliona wapi watu wa Pwani wakenda Bara na kuwa omba omba.Dar imejaa omba omba kutoka Bara,kila wakikamatwa kurudishwa kwao,wanarudi tena.Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar,Makamba alijitahidi kuwarudisha omba omba,lakini wapi wanarudi tena.
 
acheni kuleta mada ya za kibaguzi na za udini, wewe kama unajuaa sehemu fursa ipo na unaona watu wamelala changamkia kivyako siyo kuanza kuwaponda watu kutokana na kabila lao au tamaduni zao na dini yao ya kutoka sehemu fulani......
 
Unalinganisha pwani na kanda ipi kwani hadi utoe hiyo conclusion yako kwamba pwani masikini?
 
Mpwani namba moja kati ya maproffessa 10 duniani Ali Mazrui amefariki dunia na kila tv inaonesha historia yake.
Hawa ndo wapwani .
Wabara mna nini?
Zaidi ya kunywa pombe hamna chengine ndo maana urais nchi hii wataendelea kuwa wapwani
 
Wabara kuitisha waandishi tu anamwaga bia ...ndio maendeleo hayo
 

Attachments

  • 1413393040060.jpg
    1413393040060.jpg
    57.9 KB · Views: 135
Unanichekesha mleta mada, kwani mpaka ujue walokua navyo au mpaka waandike kwenye magazeti ndio ujue wanavyoo eeh? Pole yako....
 
Pwani....ndio kila kitu, vyuo vikuu vipo vingi na ardhi yenye rutuba na pia wenyeji sio wa binafsi, kuwakaribisha isiwe nongwa...
 
Pwani....ndio kila kitu, vyuo vikuu vipo vingi na ardhi yenye rutuba na pia wenyeji sio wa binafsi, kuwakaribisha isiwe nongwa...

Mhhhhh hivo vyuo vikuu vimewasaidiaje na ni wangapi wamefika hivo vyuo vikuu
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara. ...

Acha uwongo wewe Mkoa Tajiri kuliko wote Tanzania ni Dar es salaam upo pwani ...
Nyinyi wote kutoka maporini na mapangoni huko bara mnakimbilia hapa kila siku ...
Bakini kwenu kama nyinyi matajiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom