kufa masikini Tanzania ni kujitakia

kufa masikini Tanzania ni kujitakia

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,157
Reaction score
8,178
Wanasema kuzalliwa masikini sio chaguo lakini, kufa ukiwa masikini ni KUJITAKIA ikiwa umezaliwa Tanganyika.

Kufuatia tafiti yangu fupi niliyoifanya kupitia matukio ya kisiasa na Yale ya kijamii nchini ,ni wazi Tanganyika yetu ni miongoni mwa mataifa yenye watu, wavivu, waoga na wabinafsi kupindukia.

Unahitaji ujasiri kidogo tu kuwa vyovyote vile unavyotaka na haijalishi ni kwa njia gani.

Nchi imejiozea na wananchi wake wengi majuha wameamua kutafuta furaha katika ujinga na upumbavu. Akili za watanganyika zimejaa ganzi ya upumbavu na ujinga , usiwaonee huruma unapotafuta jambo lako ila kua jasiri na usiwaangalie usoni .

Hawasaidiki, kabla hujajutia huruma yako jineemeshe kupitia upumbavu wao
 
FB_IMG_1786776684049.jpg
 
Wanasema kuzalliwa masikini sio chaguo lakini, kufa ukiwa masikini ni KUJITAKIA ikiwa umezaliwa Tanganyika.

Kufuatia tafiti yangu fupi niliyoifanya kupitia matukio ya kisiasa na Yale ya kijamii nchini ,ni wazi Tanganyika yetu ni miongoni mwa mataifa yenye watu wapumbavu, wavivu, waoga na wabinafsi kupindukia.

Unahitaji ujasiri kidogo tu kuwa vyovyote vile unavyotaka na haijalishi ni kwa njia gani .

Kill if you can , wabongo watasahau na kuendelea na maisha, dhulumu pia ukiweza sababu hili taifa neno haki halipo tena na ukilemaa wewe ndie utakua muhanga.

Nchi imejiozea na wananchi wake wengi majuha wameamua kutafuta furaha katika ujinga na upumbavu. Akili za watanganyika zimejaa ganzi ya upumbavu na ujinga , usiwaonee huruma unapotafuta jambo lako ila kua jasiri na usiwaangalie usoni .

Hawasaidiki , kabla hujajutia huruma yako jineemeshe kupitia upumbavu wao
Yote uliyosema ni sahihi kabisa. Wewe ni muelewa sana. Na yote uliyoyaongea ndio kete yao kuu ujinga wetu,uoga wetu na ndio utajiri wao
 
Back
Top Bottom