Chit chat kule wamejaa watoto watoto tuuu hata hela hawana 😂😂😂Wewe hao umewatoa chimbo gani, kwenye jukwaa la siasa, utani, chitchat, au mmu
Mji mzito huu.
We hela wanakutumia kwa njia gani?Una ujasiri umeweza kutoa no? Aisee hakuna kitu naogopa kama kumpa no yangu mtu wa mitandaon hasa jf wasiojulikana
2sexy basiHahahaa ahsante Carlos The Jackal
Kweli maajabu ya uzi mtu kapenda lips
😂😂😂Tatizo papuchi!
Kwahy unanishauri jukwaa gani nikaweke kambi ?Chit chat kule wamejaa watoto watoto tuuu hata hela hawana 😂😂😂
Karibu2sexy basi
Wewe ni pm tu uje utulie kambi ya mtu mmoja..Kwahy unanishauri jukwaa gani nikaweke kambi ?
Kambi ya mtu mmoja haitaprove nadhari ya mleta mada kwamba wanaume wa jf ni warahisi kutoa pesaWewe ni pm tu uje utulie kambi ya mtu mmoja..
Tuna modify tu theory ya mleta mada....na sample zinakua adjusted accordingly..ondoa shakaKambi ya mtu mmoja haitaprove nadhari ya mleta mada kwamba wanaume wa jf ni warahisi kutoa pesa
Nataka sample size iwe kubwa kubwa
Naja MamaKaribu
Basi limepita hilo,Tuna modify tu theory ya mleta mada....na sample zinakua adjusted accordingly..ondoa shaka
Ahahahah.....safiiiiBasi limepita hilo,
Kwahiyo nilikosea kukupa msaada?Hii imenifikirisha sana!
Kwa kawaida mimi huwa si mtu wa kupiga mizinga, kwasababu nina kipato cha kujitosheleza na kubaki akiba kubwa tu.
But last week nikaona nijaribu kuomba watu kadhaa hela kama kuwajaribu tu. Huwezi kuamini, yaani bila hata wao kuwaza mara mbili mbili, wale watu wote 5 walituma hela kwenye simu yangu. Na kilikuwa ni kiasi kikubwa tu cha pesa kwa usawa huu wa Magu.
Swali ninalojiuliza: Inakuwaje katika nyakati hizi za ulimwengu wa mitandao ya kijamii, mtu anakuamini kirahisi rahisi tu na kukutumia pesa zaidi ya laki 1 bila hata ya kuwa anakufahamu? Je JF tuna ukarimu mkubwa kiasi hicho compared to other platforms?