Wapi wananitumia? Wa humu ama wa nje ya jf tunaojuana?We hela wanakutumia kwa njia gani?
Dada naomba nikumit..itakuwa Siri yangu Mimi tu😀Basi tuko tofauti mm mwaka wa 7 niko humu na sina lolote baya la kunifanya nisikutane na mtu ila siwezi et nijikute zaid ya mtu mmoja jf ananijuwa? Hapana 😀😀
Kwenye uzi wa usiku wa mananeWanapatikana jukwaa gani Hao[emoji23][emoji23]
Usiamini sana mambo ya binadamu...Hahhahahha
Ebu niambie niamini au nisiamini
😂😂😂😂 Nimewamiss nitakuja kuwaona hao watumaji mapesa huko 😜Kwenye uzi wa usiku wa manane
Kifasihi kivipiKuna kipande hujamalizia sema wa jamii forum baada ya kuvuruga papuchi wanaacha kibunda kirefu kiliko hao wengine. Mi nimekuelewa mada ipo kifasihi sana hahaha .
Miss u moaaah.Hahahahha
Kwamba jf hii haiwezekaniki
Ebu fanya kunitumia na mimi nione utafiti wake ni wa kweli
Aisee mkurya upo right Sana...nishawai Hakiwa na mtu.... Nadhani mpaka leo atakuwa anaona mawasiliano yangu..mwengine ni wapelelezi mshukuru MUNGU nyuzi na comment zako zinaunga mkono JUHUDI ZA SERIKALI YA AWAMU YA 5
[emoji23][emoji23][emoji23]...mkuuu cheko lako lakimasikini kabisa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamekusaidia wakidhani uko serious in need kutokana na sababu ulizowaambia kumbe unawachora tu dah. Utafanya wengine wasisaidike kwa sababu hiyo sasa. Afu watu 5 wote mmh. Hicho ni kizinga planned kabisa[emoji51]
Ukijibiwa nitag.Wanapatikana jukwaa gani Hao[emoji23][emoji23]
Unavyopenda pesa Sasa😂😂Ukijibiwa nitag.