Kwanini wanaume JF wepesi sana kutuma hela?

Kwanini wanaume JF wepesi sana kutuma hela?

Watu wenye mioyo ya kusaidia wapo tu,haijalishi ni nyakati zipi,wala nini walichonacho. Kwa watu wenye choyo kama wewe hili daima litabaki kuwa fumbo
veeeeeeeeeeeeery goood!
 
Hii imenifikirisha sana!

Kwa kawaida mimi huwa si mtu wa kupiga mizinga, kwasababu nina kipato cha kujitosheleza na kubaki akiba kubwa tu.

But last week nikaona nijaribu kuomba watu kadhaa hela kama kuwajaribu tu. Huwezi kuamini, yaani bila hata wao kuwaza mara mbili mbili, wale watu wote 5 walituma hela kwenye simu yangu. Na kilikuwa ni kiasi kikubwa tu cha pesa kwa usawa huu wa Magu.

Swali ninalojiuliza: Inakuwaje katika nyakati hizi za ulimwengu wa mitandao ya kijamii, mtu anakuamini kirahisi rahisi tu na kukutumia pesa zaidi ya laki 1 bila hata ya kuwa anakufahamu? Je JF tuna ukarimu mkubwa kiasi hicho compared to other platforms?
kwa vile una salio la kutosha tuma bas kwa konda msafi amalizie simulizi mkuu
 
Hii imenifikirisha sana!

Kwa kawaida mimi huwa si mtu wa kupiga mizinga, kwasababu nina kipato cha kujitosheleza na kubaki akiba kubwa tu.

But last week nikaona nijaribu kuomba watu kadhaa hela kama kuwajaribu tu. Huwezi kuamini, yaani bila hata wao kuwaza mara mbili mbili, wale watu wote 5 walituma hela kwenye simu yangu. Na kilikuwa ni kiasi kikubwa tu cha pesa kwa usawa huu wa Magu.

Swali ninalojiuliza: Inakuwaje katika nyakati hizi za ulimwengu wa mitandao ya kijamii, mtu anakuamini kirahisi rahisi tu na kukutumia pesa zaidi ya laki 1 bila hata ya kuwa anakufahamu? Je JF tuna ukarimu mkubwa kiasi hicho compared to other platforms?
Inategemea na uliomba kwa lengo gani,, maana kama ulidanganya labda u mgonjwa ulitaka wakutose ili uje hapa tena kusema wanaJF ni watu wa hovyo!!!
 
Nadhani wamefanya yote hayo kukujengea uaminifu ujisahau ili siku wakiamua kukupiga tukio heavy ambalo litakuja kutikisa jf usiwe na hofu yeyote ile kwa kuamini wao ni waungwana. Lol

Nb: Sio wote wengine tu huwa roho zao ni nzuri wanajuaga kusaidia. Teh.
Nakazia hapa.
 
Kwahiyo kumbe humu kuna wenzetu mnafaidi eeh!!


Wakaka wa watu masikini walijitolea pesa zao kwa moyo wakijua mwenzao ana shida kumbe yuko kwenye utafiti[emoji1787]
Nyie ndio mnasababisha joto linakuwa kali kila siku.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] lol
 
Amefanya sivyo. Ni heri angewarudishia then ndio aje kuleta thread kama hii. Kwa vyovyote vile wahusika lazima wajisikie vibaya [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwani hukua unajua, wanaume wa JF wote ni matajiri?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom