Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,922
- 183,343
Hebu nitumie hela kwanza ndio nitakuelewa.Mama mkweee....
Hebu nitumie hela kwanza ndio nitakuelewa.Mama mkweee....
Aiseeeh!!Laki pesa ndogo sana,humu sisi wote tunajulikana kama WAKUU AU MKUU.
Tumia tu mama mkweeeHebu nitumie hela kwanza ndio nitakuelewa.
Sema ka vipi nikupe laki ya vochaaa hata kama hauna shida kama mtoa mada.Aiseeeh!!
We jitoe ufahamu tu.Tumia tu mama mkweee
Mie nipe tu kwakweli, nina shida nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema ka vipi nikupe laki ya vochaaa hata kama hauna shida kama mtoa mada.
Code zinafunguka taratibu taratibuNilimtumia laki MOJA na ishirini
Na inbox akaniblock
Ila haina shida malipo hapa hapa jf
Jiandae kwenda kwa wakala ntatuma na ya kutolea.Mie nipe tu kwakweli, nina shida nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa sawa.Jiandae kwenda kwa wakala ntatuma na ya kutolea.
Wewe Malaika, nionee huruma .. Izo Lips ni hatare kwa Afya yangu ya Kihisia
Muwe mnaweka picha hata maua, matunda
In order for me 2sexy with you should i send money?Wewe hao umewatoa chimbo gani, kwenye jukwaa la siasa, utani, chitchat, au mmu
Mji mzito huu.
But whyCcm wenzako wameona wanakusaidia kumbe upo kwenye utafiti
May beUcheshi wako na ukarim wako umepelekea ukapewa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwahiyo umeamua kuja kunitangaza huku?
kumbe tupo watu wa aina tofauti sanaHii imenifikirisha sana!
Kwa kawaida mimi huwa si mtu wa kupiga mizinga, kwasababu nina kipato cha kujitosheleza na kubaki akiba kubwa tu.
But last week nikaona nijaribu kuomba watu kadhaa hela kama kuwajaribu tu. Huwezi kuamini, yaani bila hata wao kuwaza mara mbili mbili, wale watu wote 5 walituma hela kwenye simu yangu. Na kilikuwa ni kiasi kikubwa tu cha pesa kwa usawa huu wa Magu.
Swali ninalojiuliza: Inakuwaje katika nyakati hizi za ulimwengu wa mitandao ya kijamii, mtu anakuamini kirahisi rahisi tu na kukutumia pesa zaidi ya laki 1 bila hata ya kuwa anakufahamu? Je JF tuna ukarimu mkubwa kiasi hicho compared to other platforms?