Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,611
Ukipendwa na wazaz wako inatosha
Kwani wewe ni Injinia ??.Sure Mkuuu afu tunapigwa sana za mbavu Man[emoji2][emoji2][emoji2]
Nakujaaa tuzae geniousUsijali engineer wako nipo hapa[emoji1] [emoji1]
hahahaha mtego wangu umefanikiwa nilikua namtafuta mwenzangu, habari mkuu?Ona sasa hapa ndipo tunapoharibu!! Aaagh!!
Nipo hapa nakusubiri[emoji39] [emoji39] [emoji39]Nakujaaa tuzae genious
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]True hapa nilipo nakaa na maengeneer wanafanya Kazi site Moja hivi muda wotee mabuti na maelement na makoti yao ya kung'aa Kama taa za barabaranikwasababu mnavaaga yale mabuti yenu makubwa kama wapanda nguzo za tanesco au wapanda mlima kilimanjaro.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nipo hapa nakusubiri[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Utakua ulipata karai mkuuCL for engineers ile ya kichoko tu haina msaada ata kidogo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]True hapa nilipo nakaa na maengeneer wanafanya Kazi site Moja hivi muda wotee mabuti na maelement na makoti yao ya kung'aa Kama taa za barabarani
Hongera sana mkuu mm nilipata course work kimini hatarii cl ilikua maneno mengine ile kituhahahaa nina ka B+ Mkuu japo nilingia na course work ndogo kinomaa