ngoma ya ukae
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 611
- 621
Tatizo engineers mnasubiri sana kusaini certificates za malipo na siku hizi ndio hivyo hadi ulipwe inachukua zaidi ya nusu mwaka. ..!! Wanawake wanapenda papo kwa papo cash sio ooh ...nasubiri malipo bado yapo kwenye process...!