Nipo serious maana mkiwa kwa 6 Kwa 6 utasikia twende mpaka km 20 hun nawapenda Sana maeengeneer na Nataman nizae nae mtoto atakuwa geniousbe serious please!
acha uongo mkuu wakati watu wanasoma UDBS wakitongoza wanadanganya wanasoma Electrical CoET sema wewe ndo hukua na time nao.since university sisi wa CoET mademu hawakuwa na time na sisi kabisaa
Kweli asee yani wahandisi apo tu ndio tunazingua yani mahala ambapo identity yako haitajiki vile mtu ndio anakomaa Eng naniTatizo huwa mnapenda mtambuliwe kwa uhandisi wenu, kwa kupenda kwenu kujitambulisha kila sehemu kwa kuanza Eng. Flani hata kwenye vikao vya kijamii vya kawaida vya kuchangia uji wa watoto (wanawaona kama mna complication wakati sio kweli)
Mimi nafikiri tatizo liko kwetu wahandisi, kwa sababu niliwahi kuktana na mama mmoja katika mazungumzo ya hapa na pale akasema kwamba mainjinia wengi wameishia kuoa masekretari!!! Nilivyojiongeza kidogo tu nikakuta kuna kaukweli!!!!Nimeona mara nyingi wanawake wakiwashobokea Waalimu, Madaktari, Wanasheria na baadhi ya watu wa career fulani fulani cha ajabu nimeona ma Engineer hatupewi priority wala kushobokewa na wanawake sasa swali linakuja hapa; kwanini nyinyi wanawake hamtushobokei sisi ma Engineer au kutupa kipaombele sawa na hao wengine?
kwanini wanaoa masekretari boss?Mimi nafikiri tatizo liko kwetu wahandisi, kwa sababu niliwahi kuktana na mama mmoja katika mazungumzo ya hapa na pale akasema kwamba mainjinia wengi wameishia kuoa masekretari!!! Nilivyojiongeza kidogo tu nikakuta kuna kaukweli!!!!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hamna swaga mna fact hapo ndo mnapowashindwa kila kitu calculation na kukuta umevaa suti na raba ni kawaida