mizarb
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,402
- 1,290
Nadhani tatizo ni ma-engineer wa kibongo kukosa ubunifu. Ukiulizwa hata ni nini umekitenda katika engeneering yako huna, unategemea mwanamke akupe priority vipi?Nimeona mara nyingi wanawake wakiwashobokea Waalimu, Madaktari, Wanasheria na baadhi ya watu wa career fulani fulani cha ajabu nimeona ma Engineer hatupewi priority wala kushobokewa na wanawake sasa swali linakuja hapa; kwanini nyinyi wanawake hamtushobokei sisi ma Engineer au kutupa kipaombele sawa na hao wengine?