Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Mwili wa mwanadamu una matundu 7.

Pua (2) :iko wa ajili ya kuvuta hewa na kunusa.

Masikio (2): kusikia.

Mdomo: kupitisha vitu vinavyoingia tumboni hasa chakula na vinywaji.

Tundu la uke au Uume: kukojoa manii (Mwanaume)/mkojo na mwanamke hutumia kwa ajili ya uzazi pamoja na kukojoa.

PURU: BAADA YA MWANADAMU KULA CHAKULA, MABAKI HUTOKA NJE KUPITIA PURU. sasa vuta picha umekuta Baba yako anatumia PURU lake kuingiziwa uume utajiuliza anataka kuzaa au anataka kutoa chakulataka kwa kutumia mdomo!
Op
 
Wabongo walivyomuattack huyu jamaa, kweli bongo imejaa mazezeta ile research waliyosema 1 in 10 ni chizi nadhani waifanye upya, wabongo kati ya 10 nadhani 8 ni vichaa.

Matatizo ya ushoga scientifically ni kama ifuatavyo
1. Kuingia mlango wa nyuma kuchafu ni rahisi sana kuambukizana magonjwa kuliko mlango wa mbele

2. Biologically kile kiungo kilitengenezwa kutoa uchafu nje sio kuingiza dushe ndani so mtu atakayejaribu kuexpand ile misuli atapata tabu kuzuia haja kubwa, ndiyo misuli inaweza ikajirudi ilivyokua lakini kuna point ikifika you can’t turn back

3. Kama nchi tunahitaji watu wazae ushoga ukiwa extreme say 50% wangekua mashoga population ingeshuka kwa speed sana hiyo inapunguza manpower (hili si tatizo kubwa sana ila ushoga ukiwa encouraged tunaweza fikia huko)

Sasa points mbili hapa juu hazihusiani na wadada wasagaji kwa sababu wao hawaingiliani kinyume na maumbile, wao ni mbele kwa mbele either kwa kutumia mdomo au wengine hununua sex toys kujiridhisha.

Swali
1. Je sababu hizo zinatosha kumfunga mtu jela miaka 30 au maisha?
- Hell No, kumfunga mtu kwa sababu hizi ni upuuzi

2. Na dini je?
- Dini ni upuuzi uliletwa waafrika mmekaa mmemeza sasa hivi mnaishi kimasikini kila kitu mnakaa kusingizia mungu sijui shetani, nonsense, uislamu na ukristo vyote vinasupport utumwa, ndoa za watoto wadogo, ubakaji, uuaji, na upuuzi mwingine mwingi. Anayejifanya anaelewa dini anajidanganya. Tanzania crime rate ipo juu sana pamoja na kuwa na washika dini wengi, South korea, Japan 60% ya watu hawana dini angalia walivyo na heshima, unaangusha wallet mtu anakuletea hadi unapoishi.

Mimi niko upande gani?
Sipendi ushoga hasa kwa wanaume ila wakifanya then sitaki nijue hata nikijua hayo ni matatizo yao mimi hayanihusu, kwa upande wa wanawake wak wasagane tu wakitaka honestly sina tatizo nao kabisa maana biologically hakuna tatizo lolote kwa wanachokifanya.

Nikiwa na mtoto sitokaa niencourage mtoto wangu awe shoga ndiyo maana nitampa malezi ya kumuongoza asiende njia hiyo, its possible na very easy zaidi ya wajinga wengi bongo wanavyofikiria.
 
Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.

Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!

Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)

Ok.. let's go!

Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?

Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!

Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
Tukienda hivi, ipo siku pia utahoji kuna ubaya gani Baba au mama kumuua mtoto wao au kumtesa? Wao si ndo walimzaa, wao si ndo wanamlea na ndo waliosikia uchungu. Ukinielewa hapa tayari ushaelewa.
 
Awe shoga au sio shoga jibuni hoja.
Demi hoja inayotakiwa hapa ni nini ?! Kwamba wanaume wawaache wapendwa wao (wanawake) wawafuate mijanaume au ?!

Kwanza nasikia scientific inamharibu muingiliwaji awe mwanaume au mwanamke .
Nasikia valve za kuzuia vinyesi hutepeta kwa sababu ya kuingiliwa kinyume. Sasa faida gani ?! Tena naambiwa akiwa wa kike ndo hawezi hata kubana wakati wa kujifungua.

Demi kila kitu kina asili ya maumbile yake tusiende kinyume .
 
Huyo mwanafunzi akifanya jambo ambalo ni kinyume na sheria watamuachia kwa sababu kama hizo au wanasema hivyo kwenye mahusiano ya kimapenzi tu?

Unakuta mwanafunzi ameshatoa hadi mimba tena zaidi ya mara moja,halafu et ukinibambanae uniambie nambaka wakati watu tumekubaliana wenyewe.
Mbna jamaa amekujibu vizuri.. kwamba hawezi kuwa na rational decision kwa kifupi sheria inatambua kwamba makubaliano yoyote ambayo unafanya na yeye ni umemrubuni... Pia do you think wewe na mtoto wa miaka 14 mkifanya kosa linalolingana hukumu yenu itakuwa moja???

Naona umeenda mbaaali.... hoja yako ni nini?
 
Back
Top Bottom