Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kama kufira ni sahihi mbona sijawahi kuona wanyama wakifilana.!? Maana hata mwanadamu yupo ktk kundi la wanyama.
 
Haitakuja kutokea wanaume wote wakawa mashoga.
Mashoga walikuwepo tangu enzi za kale, sasa hivi mnadhani umeshamiri kutokana na hii mitandao, upatikanaji wa habari umekuwa rahisi.
Mnatumia criteria gani kusema "haiwezekani wanaume wote kuwa mashoga"
 
Madawa yanaua. Ushoga ulimuua nani?
Mkuu point ingekuwa ni ridhaa ya mtu basi hata kutumia madawa ya kulevya ingeruhusiwa maadamu anatumia kwa ridhaa yake,sasa wewe unataka waruhusiwe ushoga kisa wamekubaliana wenyewe basi na matumizi ya madawa ingekuwa hivyo hivyo.
 
NI UAMUZI WAO.

SIO WAJIBU WA SERIKALI KULAZIMISHA WATU KUZAA
Kwanini utake serikali iruhusu ushoga lakini ipige marufuku matumizi ya dawa za kulevya. Kwani mtuamiaji si anatumia kwa raha zake?
 
Ni kuulize wewe ni criteria ipi inawaaminisha kuwa wanaume wengi watakuwa mashoga?
Kama wewe huwezi kuwa shoga iweje ufikirie kuwa wanaume watafata ushoga?
Mnatumia criteria gani kusema "haiwezekani wanaume wote kuwa mashoga"
 
Mkuu point ingekuwa ni ridhaa ya mtu basi hata kutumia madawa ya kulevya ingeruhusiwa maadamu anatumia kwa ridhaa yake,sasa wewe unataka waruhusiwe ushoga kisa wamekubaliana wenyewe basi na matumizi ya madawa ingekuwa hivyo hivyo.
MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA YANAPOTEZA NGUVU KAZI YA TAIFA.
 
Kama ushoga utaruhusiwa maana yake kila mwanaume anakuwa na option ya kuwa shoga.

Sasa tuelezeni ni kwanini mnahisi wanaume wote hawawezi kuwa mashoga at once
Ni kuulize wewe ni criteria ipi inawaaminisha kuwa wanaume wengi watakuwa mashoga?
Kama wewe huwezi kuwa shoga iweje ufikirie kuwa wanaume watafata ushoga?
 
MADAWA YA KULEVYA YANAPOTEZA NGUVU KAZI YA TAIFA.
Kwanini utake serikali iruhusu ushoga lakini ipige marufuku matumizi ya dawa za kulevya. Kwani mtuamiaji si anatumia kwa raha zake?
 
Tunahitaji takwimu.
Nachojua kuwa ile sehemu ya nyuma ni sooooo tight (ha haaa) kwahiyo kuna friction na joto la kufa mtu.
Usipotumia condom uwezekano wa kupata maambukizi ni mkubwa.
Elimu kwa mashoga inahitajika .
Mashoga several times wamekuwa wakifariki kutokana na matatizo yasababishwayo na Ushoga.
 
Tunahitaji takwimu.
Nachojua kuwa ile sehemu ya nyuma ni sooooo tight (ha haaa) kwahiyo kuna friction na joto la kufa mtu.
Usipotumia condom uwezekano wa kupata maambukizi ni mkubwa.
Elimu kwa mashoga inahitajika .
Unapenda kweli huo mchezo, aghhhhhh
 
Back
Top Bottom