Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Waacheni watu wabanduane

Wanakulana wengine nyie roho zinawatoka kwanini?
Pombe anywe karubanziga kulewa alewe kurunzinza,,,, shoga atakuwa nani sasa kama mliwaji/mlaji anafurahia iweje wewe ambae sio shoga ulalame?

Chunguza kwa makini utagundua wanaojifanya kukereka na hili jambo ndio mashoga waliokubuhu
 
We unaona madawa yanaathari sawa na ushoga?
Tatizo wengi mnaangalia madhara ya madawa kwa wale mateja ila kwenye ushoga hamuangalii wale ambao wameathiriwa zaidi na huo ushoga jinsi walivyo,maana bora mwanamke malaya kuliko kuliko wale mashoga.
 
Tukienda hivi, ipo siku pia utahoji kuna ubaya gani Baba au mama kumuua mtoto wao au kumtesa? Wao si ndo walimzaa, wao si ndo wanamlea na ndo waliosikia uchungu. Ukinielewa hapa tayari ushaelewa.
HUO MFANO WAKO NI SAWA NA MBINGU NA ARDHI.

HAKUNA MAKUBALIANO YA KUUANA.

LAKINI MAKUBALIANO YA KUFANYA MAPENZI YANAWEZEKANA BAINA YA WATU WAWILI WENYE AKILI TIMAMU NA MAAMUZI HURU.
 
Usijidanganye kuwa mashoga tu watapigwa kiberiti kumbuka waongo,wezi,wazinzi walevi kiberiti kinahusika.Sasa Kila kundi litengwe? Dhambi zipo kibao Ila watu wanaitolea macho dhambi ya ushoga tu
Ushoga ni laana ndo maana hukumu yake ni tofauti na dhambi au uovu mwingine ambapo mtu alikuwa anapewa nafasi ya kufanya toba. Ila kwa mashoga hukumu ilikuwa ni hapohapo kupigwa mawe hadi kufa, hawakustahili kuendelea kuishi
 
Ulitaka majibu ya Kizungu? Kama unaona ushoga ni jambo lisilo na ubaya wowote siku moja mjaribu baba yako hata mdogo wake/mkubwa wako akufirrre au umfirre mbona unapata hasira kuhusu ushoga?

Mfirre mzazi wako si mtakuwa Mmeamua sisi itatuumiza kwa lipi?
Hii philosophy yako nimeielewa sana, mtoa mada naona kumbe uelewa wake ni mdogo, ukitaka kujua ubaya wa jambo fikiria kama unaweza kumtendea mtu wako wa karibu, ajaribu kumfira tu hata mtoto wake ndo ataona kwa nini ni uchungu.
 
WEWE UMEWASHAWAFIRA WATOTO WAKO?
Hii philosophy yako nimeielewa sana, mtoa mada naona kumbe uelewa wake ni mdogo, ukitaka kujua ubaya wa jambo fikiria kama unaweza kumtendea mtu wako wa karibu, ajaribu kumfira tu hata mtoto wake ndo ataona kwa nini ni uchungu.
 
Wabongo walivyomuattack huyu jamaa, kweli bongo imejaa mazezeta ile research waliyosema 1 in 10 ni chizi nadhani waifanye upya, wabongo kati ya 10 nadhani 8 ni vichaa.

Matatizo ya ushoga scientifically ni kama ifuatavyo
1. Kuingia mlango wa nyuma kuchafu ni rahisi sana kuambukizana magonjwa kuliko mlango wa mbele

2. Biologically kile kiungo kilitengenezwa kutoa uchafu nje sio kuingiza dushe ndani so mtu atakayejaribu kuexpand ile misuli atapata tabu kuzuia haja kubwa, ndiyo misuli inaweza ikajirudi ilivyokua lakini kuna point ikifika you can’t turn back

3. Kama nchi tunahitaji watu wazae ushoga ukiwa extreme say 50% wangekua mashoga population ingeshuka kwa speed sana hiyo inapunguza manpower (hili si tatizo kubwa sana ila ushoga ukiwa encouraged tunaweza fikia huko)

Sasa points mbili hapa juu hazihusiani na wadada wasagaji kwa sababu wao hawaingiliani kinyume na maumbile, wao ni mbele kwa mbele either kwa kutumia mdomo au wengine hununua sex toys kujiridhisha.

Swali
1. Je sababu hizo zinatosha kumfunga mtu jela miaka 30 au maisha?
- Hell No, kumfunga mtu kwa sababu hizi ni upuuzi

2. Na dini je?
- Dini ni upuuzi uliletwa waafrika mmekaa mmemeza sasa hivi mnaishi kimasikini kila kitu mnakaa kusingizia mungu sijui shetani, nonsense, uislamu na ukristo vyote vinasupport utumwa, ndoa za watoto wadogo, ubakaji, uuaji, na upuuzi mwingine mwingi. Anayejifanya anaelewa dini anajidanganya. Tanzania crime rate ipo juu sana pamoja na kuwa na washika dini wengi, South korea, Japan 60% ya watu hawana dini angalia walivyo na heshima, unaangusha wallet mtu anakuletea hadi unapoishi.

Mimi niko upande gani?
Sipendi ushoga hasa kwa wanaume ila wakifanya then sitaki nijue hata nikijua hayo ni matatizo yao mimi hayanihusu, kwa upande wa wanawake wak wasagane tu wakitaka honestly sina tatizo nao kabisa maana biologically hakuna tatizo lolote kwa wanachokifanya.

Nikiwa na mtoto sitokaa niencourage mtoto wangu awe shoga ndiyo maana nitampa malezi ya kumuongoza asiende njia hiyo, its possible na very easy zaidi ya wajinga wengi bongo wanavyofikiria.
Haya ndo majibu ya kisomi na weledi
 
Ushoga ni laana ndo maana hukumu yake ni tofauti na dhambi au uovu mwingine ambapo mtu alikuwa anapewa nafasi ya kufanya toba. Ila kwa mashoga hukumu ilikuwa ni hapohapo kupigwa mawe hadi kufa, hawakustahili kuendelea kuishi
HIZI NI HADITHI ZA KALE TU ZISIZO NA MANTIKI YOYOTE.
 
Waacheni watu wabanduane

Wanakulana wengine nyie roho zinawatoka kwanini?
Pombe anywe karubanziga kulewa alewe kurunzinza,,,, shoga atakuwa nani sasa kama mliwaji/mlaji anafurahia iweje wewe ambae sio shoga ulalame?

Chunguza kwa makini utagundua wanaojifanya kukereka na hili jambo ndio mashoga waliokubuhu
Hahaaaa WANA WIVU.
 
Wewe ni lishoga
Ila baba yako amezidi anavaa hadi shanga vikuku,ana mauno huyo baba yako kama feni mbovu. Leo nampitia jioni hii uje unipokee machungwa mwanangu wakufikia nirarue tulinda tulitobakia baba yako nitahakikisha habaki na linda hata moja nasafisha yote!!
 
Demi hoja inayotakiwa hapa ni nini ?! Kwamba wanaume wawaache wapendwa wao (wanawake) wawafuate mijanaume au ?!

Kwanza nasikia scientific inamharibu muingiliwaji awe mwanaume au mwanamke .
Nasikia valve za kuzuia vinyesi hutepeta kwa sababu ya kuingiliwa kinyume. Sasa faida gani ?! Tena naambiwa akiwa wa kike ndo hawezi hata kubana wakati wa kujifungua.

Demi kila kitu kina asili ya maumbile yake tusiende kinyume .

Hoja si mwanaume amuache mwanamke aende kwa mwanaume mwenzie. Bali ikitokea mwanaume anapenda kuingiliwa hivyo basi aachwe na starehe yake, mimi na wewe ni nani hadi tutake kumzuia? Kwa manufaa ya nani?
Hayo madhara yanajulikana na sikatai kweli yapo. Ni vitu vingapi vina madhara tunafanya kwa kujua na hakuna mtu anayetuingilia.
Unadhani wanaofanya hawayajui hayo madhara unayoyazumzia?
Tunakunywa pombe, tunavuta sigara, tunakunywa energy drink, mavyakula ya makopo na mengine mengi tu ambayo madhara yake yapo wazi kabisa lakini hakuna mtu anayepiga kelele kukemea hayo makitu.
Why ushoga tu ndo uonekane haramu kuliko vitu vingine.
Yaani binadamu linapokuja suala la uchi wa mtu wapo sensitive sana lkn nikifanya kitu cha kuharibu moyo wangu hakuna anayepiga kelele.
 
Ila baba yako amezidi anavaa hadi shanga vikuku,ana mauno huyo baba yako kama feni mbovu. Leo nampitia jioni hii uje unipokee machungwa mwanangu wakufikia nirarue tulinda tulitobakia baba yako nitahakikisha habaki na linda hata moja nasafisha yote!!
Hahahahaaaaaaa
 
WEWE UMEWASHAWAFIRA WATOTO WAKO?
Hapana mkuu, maana najua uchungu wake bila hata ya kufanya practical, kwa kuwa wewe umeshindwa kujua uchungu wake ndo maana nimekuambia ufanye practical ili uelewe kirahisi, preliminary test haimo basi fanya confirmatory test.
 
Back
Top Bottom