Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kama ni ugonjwa wa akili au ulemavu iweje leo tuwakatae na kuwapinga? Haki za walemavu zinasemaje?
Ukisasa unaivuruga dunia. Hivi pamoja na wanawake kuwa wengi zaidi duniani!! . Na wengine wamekosa waoaji,
Unaanzaje kumtamani mwanaume mwenzio mwenye misuli kama na wewe ?!

HUU NI UGONJWA AMA ULEMAVU WA AKILI.
 
Unafanya vizuri kutoa ushauri na ndivyo inavyotakiwa, toa ushauri umwambie mtu madhara yake, akifanya kwa matakwa yake haina shida, wewe umetekeleza wajibu wako.
By the way sijakuelewa..mimi siwezi kuwa shoga maana ni mwanamke.
Naona umechanganya ushoga na kuingiliwa kinyume na maumbile.
Siamini kama umewahi kushuhudia nikizibuliwa mtaro.
Lakini hata hiyo naitetea..mtu asiingiliwe matumizi ya mwili wake labda tuambiwe leo kuwa mnduku wangu ni nyara/mali ya serikali.
Usiupende sana huo mchezo wa kuingiliwa kinyume na maumbile sio Mzuri.
 
Mwanafunzi wanasema Bado hajafikia umri wa kuwa na rational decision ndiyo maana Huwa ni kosa.ni kuwa unapata kesi ya kubaka
Huyo mwanafunzi akifanya jambo ambalo ni kinyume na sheria watamuachia kwa sababu kama hizo au wanasema hivyo kwenye mahusiano ya kimapenzi tu?

Unakuta mwanafunzi ameshatoa hadi mimba tena zaidi ya mara moja,halafu et ukinibambanae uniambie nambaka wakati watu tumekubaliana wenyewe.
 
Inaonesha wewe ni shoga mkongwe,unadandia wanaume kinyumenyume,utaliwa mkundu wewe!!.Mimi ni ninapinga ushoga kwa nguvu zote.
Hoja hapa kuna mtu kaleta hoja kuhusiana na ushoga tunachangia huyo#mbao za mawe kadandia na kututusi sie.Mimi sitetei ushoga ila nampa vidonge vyake aache kutukana watu kwenye jukwaa huru.MIMI SIYO SHOGA NA SIWAPENDI MASHOGA KAMA CCM.
Mtoa mada+wewe ni mashoga. Malinda hamna
 
Tatizo lao mashoga wanataka uhalali wa kisheria kuhusu upumbavu wao. Kwani wakifirana faraghani nani anawaingilia? Shida ni pale wanapoandamana kudai haki zao! Wapumbavu kabisa
NA KWANINI KUWEPO SHERIA ZA KUWAKANDAMIZA?

KWANI WAMEMKOSEA NANI?
 
Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.

Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!

Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)

Ok.. let's go!

Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?

Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!

Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
tatizo ni kuwa hivyo viungo wanavyovitumia mashoga kwa sex vina matumizi mengine rasmi ni sawasawa na MTU alazimishe kula kupitia sikioni
 
Sikumbuki kama Tanzania mashoga wamewahi kuandamana kudai haki.
Watu wanafanya yao private ila watu wanawapigia kelele.
Na ukiona sehemu wanaandamana basi ujue kuna haki ya kweli wamenyimwa.
Kumbagua Shoga ni sawa sawa na kumbagua ALBINO
Tatizo lao mashoga wanataka uhalali wa kisheria kuhusu upumbavu wao. Kwani wakifirana faraghani nani anawaingilia? Shida ni pale wanapoandamana kudai haki zao! Wapumbavu kabisa
 
Back
Top Bottom