Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,570
- 94,864
Huo ni ubaguzi. Kwanini uone bora mwanamke malaya lkn sio shoga?
Ina maana hakuna madhara kwa mwanamke akiwa malaya.
Ni sawa na kusema bora mwanamke afumuliwe marinda na si mwanaume. Kitu ni kile kile
Ina maana hakuna madhara kwa mwanamke akiwa malaya.
Ni sawa na kusema bora mwanamke afumuliwe marinda na si mwanaume. Kitu ni kile kile
Tatizo wengi mnaangalia madhara ya madawa kwa wale mateja ila kwenye ushoga hamuangalii wale ambao wameathiriwa zaidi na huo ushoga jinsi walivyo,maana bora mwanamke malaya kuliko kuliko wale mashoga.
