Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,421
Kwani huwezi kukataa bila kulazimishwa?
KWANI UMELAZIMISHWA?? AU UNAJIPENDEKEZA PENDEKEZA TU MKUU?
KWANI UMELAZIMISHWA?? AU UNAJIPENDEKEZA PENDEKEZA TU MKUU?
UMELAZIMISHWA KUMTAMANI JAMES DELICIOUS, AU USHOGA WAKO UNAKUSUMBUA TU MKUU?Sasa kama kile ki-delicious. Kinatamanisha.
Yaani kinalazimisha wote tuingie motoni.
Hata madawa ya hospitali yanaua,kuna watu wanatumia madawa ya kulevya pengine hata wewe kabla haujakomaa akili na bado hadi leo bado wapo.
Watu wanazuia hadi misaada ya kimaendeleo kisa et umekataza mwanaume kumuingilia mwanaume mwenzake,sasa kama sio wana ajenda za kufanya ushoga usambaye zaidi ni nini? Maana usiufikirie ushoga kwa watu wazima bali unaanzie utotoni.Ni kuulize wewe ni criteria ipi inawaaminisha kuwa wanaume wengi watakuwa mashoga?
Kama wewe huwezi kuwa shoga iweje ufikirie kuwa wanaume watafata ushoga?
We unaona madawa yanaathari sawa na ushoga?Huo mtazamo ni kwa ushoga tu au hata masuala mengine kama madawa ya kulevya,mtu kujiua n.k?
Nafikiri mashoga wasiitumie mitandao kujitangaza na wala kufanya ushoga wao hadharani. Mji wangu sipo tayari kuangamizwaLakini ushoga haukuwahi kuisha na watu wote hawajawahi kuwa mashoga.Mashoga watakwepo na wasio mashoga watakwepo maisha yataendelea.Kiongozi mzima wa serikali unaanza kupambana na ushoga wakati kuna mambo lukuki ya kupambana Nayo ni ujinga
Mkuu sikutukani wala siku kashifu kwa namna yoyote ile ila naona haukosawa kiakili kwa namna fulani. Emagine amber ruty angekuwa ni mdogo ako ama dada yako alafu anakutwa na kashfa ile ya kuffffffirana ungejisikia vipi.?
Mathalani unajua kabisa kila kiungo cha mwili wa mwanadamu kipo kwa ajili ya kazi ambayo muumba alikusudia unaposema swala la ushoga ulionei maanani napata wasi wasi na wewe kuwa mteteza wa hawa mahanithi...!!
Kumfumua mwanaume mwenzangu hapana kabisa.
Mzee Mama majibu yote ushapewa, tusichoshane. Nenda kapumuliwe si ndio hisia zako zilipoUMELAZIMISHWA KUMTAMANI JAMES DELICIOUS, AU USHOGA WAKO UNAKUSUMBUA TU MKUU?
SIDHANI KAMA AKILI YAKO IKO SAWA.Kwani huwezi kukataa bila kulazimishwa?
Sijaona akijitangazaTufanye sipingi kitu.
Mwanaume anapatia wapi guts za kujitangaza yeye ni shoga kama huyu muanzisha uzi
Dhambi za kukuingiza motoni ni nyingi,ulevi,uzinzi wizi,uongo,kuua,nk usiangalie ushoga tu aiseeeeSasa kama kile ki-delicious. Kinatamanisha.
Yaani kinalazimisha wote tuingie motoni.
Basi acha kumtamani james wa watu
Wawe treated kvp?Sina uelewa kuhusu madawa so siwezi nikayazungumzia. Ninachojua yana madhara tena yanayoonekana.
Kama ndio hivyo basi mashoga wawe treated kama watumia madawa
Mzee Mama majibu yote ushapewa, tusichoshane. Nenda kapumuliwe si ndio hisia zako zilipo
Ulitaka atembee na bango kifuani kama yule waziri.Sijaona akijitangaza
Mkuu wafanye faragha,hao wanaoleta hadharani waadhibiwe vikali.Kuna mtu kakamatwa akiwa chumbani kwake na mwanaume mwenzake? Fanyieni huko huko inatosha. Mkiyaleta public ni hakika tutawapopoa mawe.
Watu wanazuia hadi misaada ya kimaendeleo kisa et umekataza mwanaume kumuingilia mwanaume mwenzake,sasa kama sio wana ajenda za kufanya ushoga usambaye zaidi ni nini? Maana usiufikirie ushoga kwa watu wazima bali unaanzie utotoni.
Basi acha kumtamani james wa watu
Nenda vituo vya polisi uone kesi hizo umetaja zilivyo nyingi. Wizi, uongo, kuua, ubakajiDhambi za kukuingiza motoni ni nyingi,ulevi,uzinzi wizi,uongo,kuua,nk usiangalie ushoga tu aiseeee