Kingdeeper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 262
- 164
Kwelii kabisaa sasa...nakuungaa mkono huyu mtoa mjadalaa hana budi kukuelewaaa ila ndo ivo ameshaa ingia ktk kundii LA maadili mabovuBadala ya kujutia na kuachana na huo uchafu, mashoga na mabasha wao wanalazimisha kuhalalisha uovu wao kwa kutafuta kuungwa mkono na kila mtu, hatujasikia wafanya maovu wengine mfano wezi wa wake za watu wakitokwa povu humu ili watambuliwe na serikali na jamii ili waendelee kuiba wake za watu
