Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Bills ilikuwa nomaa 🔥🔥 Vibe la pale lilikuwa kivingine
View attachment 3607685
View attachment 3607686
Kuwa na Jirani ana Music taste kama yako ni underrated blessing!
Mwana hua anagonga ngoma za The Weeknd kwenye Sound Bars zake anaburudisha kampaundi yote!
Unakaa kibarazani Bonyokwa unaburudika bure tu!
😂🫡
 
Kuwa na Jirani ana Music taste kama yako ni underrated blessing!
Mwana hua anagonga ngoma za The Weeknd kwenye Sound Bars zake anaburudisha kampaundi yote!
Unakaa kibarazani Bonyokwa unaburudika bure tu!
😂🫡
😅😅 Hii nimeifanya sana miaka ya 2005-2009, nilikuwa na Hi-Fi ( Kenwood ) nikiwasha mtaa mzima inabidi wasikilize nachosikiliza, sasa hivi nina Sonny yangu moja nakula mziki kizee kabisa
 
Nipo single sababu napenda kujiamulia mambo..!!
Kila mwanaume ninayempa sikio kumsikiliza lazima nitaona mapungufu yake..!!

Hapa nishajisikia kichefuchefu tayari nimemkumbuka mmoja anaongea kama chiriku, ujuaji ChatGpt ikasome..!!
Punguza kipaji cha kujiamulia mambo binti uache kulala kama panga🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom