Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Kwa nini unauliza "kwa nini upo single?"

Huna uwezo wa kufikiria mada nyingine?

Unatafuta danga?

Unaongozwa na hoja za mahusiano kuliko kitu kingine?

Huna interest ya kujua mada tofauti?

Wewe ni mmbea?

Unapenda kufuatilia maisha ya watu?
Kwanini umechukulia serious sana tatizo nini mimi kuuliza hivyo ?

Nina mada nyingi sana mchanganyiko za kijamii na zakawaida kama hizi

Sijawahi kukuona ukichangia hizo mada zingine ila una laumu kwanini nimeanzisha hii mada aiseee

Humu ni jukwaa la mahusiano unahisi hii mada haindani?

Yaan namna umeniuliza ni kama vile una shida na mimi aisee

Hua nakuchukulia kama mtu wa heshima sana mkuu naomba ibaki hivyo
 
Kwa nini unauliza "kwa nini upo single?"

Huna uwezo wa kufikiria mada nyingine?

Unatafuta danga?

Unaongozwa na hoja za mahusiano kuliko kitu kingine?

Huna interest ya kujua mada tofauti?

Wewe ni mmbea?

Unapenda kufuatilia maisha ya watu?

Huo ni mfano mdogo tu wa mada zangu nyingi hapa jukwaani
 

Huo ni mfano mdogo tu wa mada zangu nyingi hapa jukwaani
Kwa nini umenichukulia serious kwamba mimi nimekuchukulia serious?
 
Mkuu🙏🙏
ShesRise_1 napenda kukuomba radhi kwa dhati.

Awali hapo juu kuanzia #400 nilighafilika na kukuvamia sana kwa post kwenye uzi wako huu "Kwa nini upo single?", nilipost kitu ambacho mimi niliiona kama cha mzaha, mzaha ambao nilipoufikiria zaidi nikajiona nimevuka mipaka ya utani hususan kwa sababu hatuna mazoea ya utani kihivyo.

Nimekuwa nikiwasema watu mara nyingi kwa kufanya mzaha na matani bila ya kuwa na mazoea hayo, hapa nilikosea kwa kufanya kama watu wengi niliowasema.

Nimefanya kile ambacho huwa nakikemea mara nyingi.

Kama kaka mkubwa wa JF ninayetakiwa kuwa mtu wa mfano hapa naona nimepelea viwango fulani ambavyo mimi mwenyewe navisisitiza kwa wengine na sioni vibaya kujirekebisha na kuomba radhi, pia kutoa mfano wa kujirudi tunapokosea.

Natumaini utanielewa na naomba unisamehe. Nilifanya utani kwa kughafilika bila kufikiri kwa kina utajisikiaje.

Nakuomba radhi.

Kiranga.
 
ShesRise_1 napenda kukuomba radhi kwa dhati.

Awali hapo juu kuanzia #400 nilighafilika na kukuvamia sana kwa post kwenye uzi wako huu "Kwa nini upo single?", nilipost kitu ambacho mimi niliiona kama cha mzaha, mzaha ambao nilipoufikiria zaidi nikajiona nimevuka mipaka ya utani hususan kwa sababu hatuna mazoea ya utani kihivyo.

Nimekuwa nikiwasema watu mara nyingi kwa kufanya mzaha na matani bila ya kuwa na mazoea hayo, hapa nilikosea kwa kufanya kama watu wengi niliowasema.

Nimefanya kile ambacho huwa nakikemea mara nyingi.

Kama kaka mkubwa wa JF ninayetakiwa kuwa mtu wa mfano hapa naona nimepelea viwango fulani ambavyo mimi mwenyewe navisisitiza kwa wengine na sioni vibaya kujirekebisha na kuomba radhi, pia kutoa mfano wa kujirudi tunapokosea.

Natumaini utanielewa na naomba unisamehe. Nilifanya utani kwa kughafilika bila kufikiri kwa kina utajisikiaje.

Nakuomba radhi.

Kiranga.
Brother 🫂 ♥️♥️♥️
 
Back
Top Bottom